Umofia kwenu wananzengo.
Mwaka ndo unaishia hivyo na siku zimebaki chache sana lakini zinaweza kuwa mbaya sana kwa wapendwa wetu wengi.Vifo vya ghafla na matatizo kibao.
Kwa kusema hayo niwapashe matukio yaliyojiri Huku mikoani moja ikitokea KILOLO huko IRINGA ambapo baharia mmoja ameshindiliwa visu vya kutosha mwilini mwake Hadi kupelekea kupoteza maisha.
Tukio Zima lipo hivi,hapo majuzi baharia deiwaka hiyo alimset dereva mkuu kwa kumnunulia bia kadhaa ili amuache aendelee kubwia ulabu huo Huku yeye akikimbilia nyumbani kwa dereva mkuu ili wavunje Ile amri ngumu.Hiyo ilikuwa yapata saa 3 Usiku.Baada ya hiyo deiwaka kumpiga Kandi hiyo dereva mkuu Kama zile za Dinho.Mungu si Athumani maana hajawahi kuwa na jina la mtu,dereva mkuu akanyetishwa kuwa umechezewa muvi palepale akaamua kwenda home na hamadi akamkuta deiwaka akifanya take ndani ya kuta nne.Kilichofuata hapo muungane nami kusema R.I.P baharia mpumbavu.Namuita ni mpumbavu maana jamaa mwenyewe anakaribia kujijukuu kabisa Tena alikuwa ni mwenyekiti wa kitongoji na Sasa ameacha mama mjane.
Tukio la pili ni huko Makambako usiku wa kuamkia jana,kijana mmoja naye kalazwa usingizi wa milele baada ya kubambwa red handed na kwenye malkia na kumcharanga na mapanga.
Siongezi neno Ila mbogo yako ichakate juu ya mienendo yetu.
Mwaka ndo unaishia hivyo na siku zimebaki chache sana lakini zinaweza kuwa mbaya sana kwa wapendwa wetu wengi.Vifo vya ghafla na matatizo kibao.
Kwa kusema hayo niwapashe matukio yaliyojiri Huku mikoani moja ikitokea KILOLO huko IRINGA ambapo baharia mmoja ameshindiliwa visu vya kutosha mwilini mwake Hadi kupelekea kupoteza maisha.
Tukio Zima lipo hivi,hapo majuzi baharia deiwaka hiyo alimset dereva mkuu kwa kumnunulia bia kadhaa ili amuache aendelee kubwia ulabu huo Huku yeye akikimbilia nyumbani kwa dereva mkuu ili wavunje Ile amri ngumu.Hiyo ilikuwa yapata saa 3 Usiku.Baada ya hiyo deiwaka kumpiga Kandi hiyo dereva mkuu Kama zile za Dinho.Mungu si Athumani maana hajawahi kuwa na jina la mtu,dereva mkuu akanyetishwa kuwa umechezewa muvi palepale akaamua kwenda home na hamadi akamkuta deiwaka akifanya take ndani ya kuta nne.Kilichofuata hapo muungane nami kusema R.I.P baharia mpumbavu.Namuita ni mpumbavu maana jamaa mwenyewe anakaribia kujijukuu kabisa Tena alikuwa ni mwenyekiti wa kitongoji na Sasa ameacha mama mjane.
Tukio la pili ni huko Makambako usiku wa kuamkia jana,kijana mmoja naye kalazwa usingizi wa milele baada ya kubambwa red handed na kwenye malkia na kumcharanga na mapanga.
Siongezi neno Ila mbogo yako ichakate juu ya mienendo yetu.