Mabaharia mwenzangu, Hivi unajua "UMALAYA" ni gharama Sana?

After kudiscuss madili na bakhresa na unapata hela unakufa shughuli inaishia hapo.
We live once, take moment and enjoy life bro.
Kama umalaya ni gharama bas oa utulie na mmoja.
Sio kutaka utelezi kwa gharama za ajabu ajabu.
Si amini kama kuhonga na kula mbunye mpya kila siku ndio "KUISHI MAISHA"

#YNWA
 
Hahahahah we jamaa hebu agiza Cafe-latte moja na kashata ya 200 bill kwangu😅!

Nilifikiri ni mimi tu ambaye huwa nashangaa hizi gharama zinazoainishwa humu mbona mie sikutanagi nazo kumbe ni mbinu tu zinatofautiana😅
😁😁😁 Shukran mkuu.
 
Kwa hizo sawa mkuu na bahati mbaya zinakukuta una ugwadu na pesa ya mavuno uko nayo kwa mfuko 😁😁
Sasa braza ile natoka zangu Mkoani naingia Dar kuponda raha.
Mimi nipo siti ya G1 dirishani kabisaa.

G2 kakaa mtoto ana chura na toto jeupee, halafu anakwambia anaingia Dar ila hajui analala wapi...

Come onnnn 😎😎😎

Kuumbwa mwanaume MATESO..!!!

#YNWA
 
Sasa braza ile natoka zangu Mkoani naingia Dar kuponda raha.
Mimi nipo siti ya G1 dirishani kabisaa.

G2 kakaa mtoto ana chura na toto jeupee, halafu anakwambia anaingia Dar ila hajui analala wapi...

Come onnnn 😎😎😎

Kuumbwa mwanaume MATESO..!!!

#YNWA
Njia nzima unawaza jinsi utamvomgegeda ila pesa inavotekeketea utakuja jutia mwishoni.
 
Nimeanza kukuhis negative wewe,kuoa hutaki,,kufanya pia unaleta visingizio kibao
Madam tatizo ni gharama tuu...
Kwani Bure hamuwezi tupa?

Maana ukinipa nakufikisha juu mawinguni.

Nikufikisha kilele si inatosha au mpaka pesa zinitoke?

#YNWA
 
Back
Top Bottom