Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,689
- 39,754
Mpeg 4Kwa risiva gani sasa mpg2 au mpg 4 maana Mimi mwenyewe fundi
Mpeg 4Kwa risiva gani sasa mpg2 au mpg 4 maana Mimi mwenyewe fundi
OkMpeg 4
Ehee fundi tushauri tufaidi free to airKwa risiva gani sasa mpg2 au mpg 4 maana Mimi mwenyewe fundi
Kama receiver niya MPG4 basi utafaidi tree to airEhee fundi tushauri tufaidi free to air
Kama receiver niya MPG4 basi utafaidi tree to air
Mediacom ilishauzwa kwa wachina, na ni ngumu sana kupata receiver ya mpeg 4 isiyotoka china maana dunia ya kwanza si sana kutumia satelite.Kuna Mediacom ya MPG 4 ya Korea?
Haaaaa kumbe dunia ya kwanza wanatumia DTT eti bro? Mie Mediacom 930 ni ya kotea bro sijui niitupe?Mediacom ilishauzwa kwa wachina, na ni ngumu sana kupata receiver ya mpeg 4 isiyotoka china maana dunia ya kwanza si sana kutumia satelite.
Aisee kumbe itakua poa Sana! Maaana sometimes kuwa na midish mikubwa nymba zwnyewe za kupangaAzam ni dishi dogo na pia ni mpeg 4,
Na kwenye hio site pia wameonyesha unaweza kuipata kwa ku
Mbona hapa naona MPEG-2? Pia hiyo satelait 'intelsat 22' naipataje?Mpeg 4
Receiver ya mpg 4 kwa kariakoo hata kwa sh 50,000 mpaka 60,000 unapataAu ununue mpeg4?
Nilinunua kama miaka 4 iliopita 80k pengine sasa hivi unapata hata chini ya hapo.
Halafu ilikohamia intesat 22@72e kwa tanzania mpaka uwe na futi 8 iliyonyooka,ikiwa futi 8 yenye matege baadhi za channel hazitaingiaHuyo anazungumzia dishi lake dogo, wewe si tayari una dishi lako? Upgrade tu receiver.
Wasafi,TVE,clouds na TBC safari iko hukoHapo naona za kenya tu, ila sababu ITV inahama inamaana capital na Eatv pia zinahama. Sijajua wengine.
Mimi nina MPEG 2 Mediacom 930 nisiitupe bro? Kwani ilibaki ITV eatv na msumbiji basi nyingine ziko MPEG 4 nifanyaje?ukiwa na receiver ya mpeg 2 hizo itv utazipata vizuri sana hapa 72e na kama ukiwa na mpeg4 utazipata na za kenya maana wao wametumia mpeg4 kuzipata kwahiyo wewe mwenye mediacom usitupe
Azam ni dishi dogo na pia ni mpeg 4,
Na kwenye hio site pia wameonyesha unaweza kuipata kwa ku
Mkuu samahani risiva Tiger T245+ pro ni mpg2 au mpg4?Azam ni dishi dogo na pia ni mpeg 4,
Na kwenye hio site pia wameonyesha unaweza kuipata kwa ku
Ni mpg4Mkuu samahani risiva Tiger T245+ pro ni mpg2 au mpg4?
...Naona Ting haina signal kwenye dish sijui na wenyewe wamehama.