KAKA A TAIFA
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 566
- 80
Kambarage aliona mbali,akasema mabadiliko yatatoka ndani ya chama tawala.Kwasababu aliye ndani anayajua vyema ya ndani hivyo akitoka nje akachanganya na ya wengine ndiyo tunaweza kuona mabadiliko Makubwa
Na pia nyuma yake ana watu wengi ndani na nje ya chama tawala.
Na pia alikuwa ameshajipanga toka 2015 sema tu upepo wa kisulisuli ulioletwa na Lowasa ulifanya majani na mavumbi yaangukie Chato.
Binafsi nadhani tumpe aliye madarakani miaka 5 mingine kwani ni mchapa kazi na mwenye uchungu na wa Tanzania wenzake na maendeleo yanaonekana,ANALINDA RASILIMALI NA KODI ZA WANANCHI WAKE,ANAKABILIANA NA UBEBERU BILA WOGA NA SIYO MNAFIKI
Ila akubali ushauri,aitendee Katiba haki,na apunguze uongozi wa kikanda
Na pia nyuma yake ana watu wengi ndani na nje ya chama tawala.
Na pia alikuwa ameshajipanga toka 2015 sema tu upepo wa kisulisuli ulioletwa na Lowasa ulifanya majani na mavumbi yaangukie Chato.
Binafsi nadhani tumpe aliye madarakani miaka 5 mingine kwani ni mchapa kazi na mwenye uchungu na wa Tanzania wenzake na maendeleo yanaonekana,ANALINDA RASILIMALI NA KODI ZA WANANCHI WAKE,ANAKABILIANA NA UBEBERU BILA WOGA NA SIYO MNAFIKI
Ila akubali ushauri,aitendee Katiba haki,na apunguze uongozi wa kikanda