Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,499
- 70,298
Tatizo kubwa la sisi watanzania huwa hatuendi na wakati (saa). Wengi wanajua kuwa ikifika saa moja asubuhi siku mpya, kumbe siku inabadilika saa sita usiku.
duh! Ahsante sana kwa kunikumbusha jambo muhimu 👍Bila kusahau, leo ni siku ya WAJINGA.
Mimi narudi voda rasmi... 3000 gb 3 haloteli 3000 gb 1? Ujinga huuNimeingia leo kujiunga kifurushi cha internet cha usiku chenye walau GB 5 mara paaah! Hakipo. Alafu wanajifanya kutuletea kifurushi kisichoisha muda kisicho na category ya internet pekee. Nimewavua thamani.
Dah tunaanza kumkumbuka hayati. Huyu mama anajua YouTube inavyokula bundle kweli?Keshasepa mwenda zake,usukani kimeshika chuma kingine cha pua.
Kishanuka huko mkuungoja tuone
Napo watapafunga maana limit ni 50MB per day kwa sasa.Labda vishuke, wallah vikipanda Free Basic itakua kimbilio langu 24-7.
HahahahaPia kuanzia tarehe 1/04/2021 GB moja itauzwa 9'000/-
Ndungulile oyeee
KabisaUkiona unapewa taarifa basi ujue kuna maumivu.
Mtandao gani huo?!!!1GB 9000/-
Sawa April 2 itafika pia tutaona