miradibubu
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 312
- 84
Leo magazetini hasa gazeti la mwananchi limeelezea juu ya mabadiliko hasa ya wakurugezi na nafasi mbili za manaibu makatibu wakuu bara na visiwani yametangazwa, Kwa upande wa bara Ndugu Mtatiro ndio amekuwa naibu katibu mkuu.
Kilichonishangaza ni hizi Threads za jamii nforum kutoongelea chochote juu ya mabadiliko haya,, lakini je Mtatiro ataiweza hii nafasi na unadhani kwa nini amewekwa katika nafasi hiyo?
Kilichonishangaza ni hizi Threads za jamii nforum kutoongelea chochote juu ya mabadiliko haya,, lakini je Mtatiro ataiweza hii nafasi na unadhani kwa nini amewekwa katika nafasi hiyo?