ACHA ujinga MbowesioGaidi malipo Ni hapa hapa duniani litakutokea na wew usingiziwe Utajuta!mmbw wewMimi ni mwana CCM, Lakini kwanini tunabadili sheria kwa kuangalia manufaa ya wachache badala ya manufaa ya Taifa
Sheria inaweza kutumika kwa kurudi nyuma au kwenda mbele, mfano wa sheria zilizotumika kwa kurudi nyuma baada ya kutungwa ni sheria ya Bodi ya MIKOPO ya wanafunzi wa elimu ya juu( HESLB) hii iliathiri hata wale waliochukua mkopo zamani kuanza kulipa 15%
Sasa hii sheria mpya ikipita hasa Kipengele tajwa msije sema hatukusema au tunatetea ccm, Tutasimama na sheria irudi nyuma au iende mbele kwa matumizi
Kipengele cha Undercover kimeongezwa ghafla kwenye sheria ya Criminal procedure Act Cap 20 section 47 Subsection 47A, Lengo kuwa police waliohusika kwa siri kwenye uchunguzi wa uhalifu wasiwe sehemu ya uhalifu huo
Sheria inapasa iangalie mbele na sio kuangalia matukio ya watu wachache
Mapendekezo yanayopelekwa Bungeni tena kwa tangazo la Bunge la ghafla watu wakatoe maoni kwa siku moja Dodoma yanalenga kitu gani?
Someni mabadiliko hayo kwa umakini sana sana, Msije baadae mkaanza kulaumu Serikali.
View attachment 2105978
Serikali imepeleka Bungeni mabadiliko ya sheria mbalimbali, ni muhimu watu mkasome vizuri hizi sheria
Luteni Urio na wenzake baada ya kubanwa mahakamani ilionekana moja kwa moja wao ndio waliotengeneza hiyo picha ya kesi ya Mbowe kwa kuwatafuta Makomandoo ili wakafanye uharifu
Fuatilia vizuri Mahojiano ya Kibatala na Urio utangundua Urio anajitetea yeye kama Undercover
Kwa sheria hii ikipita Urio hiyo kesi haimuhusu anaokoka mapema sana, Ongezeko la neno Undercover kwenye sheria hii moja kwa moja Urio na wenzake hawahusiki na kesi hii ya Mbowe