Mabadiliko ya Sheria: Rais, Makamu wake, Jaji Mkuu, Waziri Mkuu na Spika wa Bunge kutofunguliwa kesi Mahakamani

Wakati dunia inapambana kuweka Sheria za kulinda nchi na Mali zake kuzuia uharifu sisi tunatengeneza Sheria za kulinda waharifu, ukisema mtu hatoshitakiwa akifanya makosa maana ake umetafsiri alindwe akifanya makosa nihatari Sana hii kwamaana nyingine mtu huyu hatokuwa mwoga kufanya makosa, anajuwa hata akifanya hatoshitakiwa yeye atashitakiwa mtu mwingine ambaye nae atajitetea kwakusema yeye kazi take nikushauri serikali ktk masuara yakisheria juu ya utekelezaji siswala lake kesi itaishia hapo,mwabasheria anatafsir nakushauri tu,,
 
Nimetoka kusoma kitabu cha state of blood kilichoandikwa na Henry Kyemba aliyekuwa waziri kwenye serikali ya Idd Amini kuna mambo mengi yanayofanana na kinachoendelea sasa.
Who cares? JPM kaza hapo hapo hawa wapigaji walizoea vya kunyonga.
 
Wakati dunia inapambana kuweka Sheria za kulinda nchi na Mali zake kuzuia uharifu sisi tunatengeneza Sheria za kulinda waharifu, ukisema mtu hatoshitakiwa akifanya makosa maana ake umetafsiri alindwe akifanya makosa nihatari Sana hii kwamaana nyingine mtu huyu hatokuwa mwoga kufanya makosa, anajuwa hata akifanya hatoshitakiwa yeye atashitakiwa mtu mwingine ambaye nae atajitetea kwakusema yeye kazi take nikushauri serikali ktk masuara yakisheria juu ya utekelezaji siswala lake kesi itaishia hapo,mwabasheria anatafsir nakushauri tu,,

Unaongelea dunia ipi? Tukianza hapa kuichambua nchi moja moja hakuna nchi itakayosimama.
 
Viongozi wanatakiwa kuongoza kwa mfano.

Kama wananchi wanaweza kushitakiwa, viongozi, wote, waweze kushitakiwa.

Tena viongozi ndiyo wanatakiwa waweze kushitakuwa kirahisi zaidi ya wananchi wengine.

Noblesse oblige.

To whom much is given, much shall be required.

Ukimpa mtu A mtaji wa shilingi milioni mia moja, na mtu B mtaji wa shilingi milioni moja, kimantiki, utataka upate faida kubwa kwa mtu aliyepewa mtaji mkubwa.

Hata misahafu imeongelea suala hili.

The parable of talents talks about this. I am quoting this from a historical and philosophical context, not a religious one.

Matthew 25:14–30 Luke 19:11–27

Sasa, uongozi ni mtaji wa kijamii. Ni dhamana. Ukipewa uongozi, umepewa nguvu kubwa.

Kwa nini tunataka waliopewa nguvu kubwa wasidaiwe kuwajibika, na wale ambao hawajapewa nguvu ya uongozi wawajibike?

Yani ni kama tunasema mtu aliyepewa mtaji wa shilingi milioni mia moja akafanye biashara, tusimdai faida ya biashara, halafu mtu aliyepewa shilingi milioni moja tumdai faida ya 100% !

Huu ujinga wa kufanya mambo kinyumenyume tunauhalalisha vipi?
 
Jambazi magufuli alijua uovu mkubwa alioufanya nchini hivyo akaja na sheria ya kidikteta eti asishtakiwe kwa maovu yake na kuficha kama sheria haimuhusu yeye pekee yake akatupia wachache ili kuwazuga Wapumbavu.
 
Jambazi magufuli alijua uovu mkubwa alioufanya nchini hivyo akaja na sheria ya kidikteta eti asishtakiwe kwa maovu yake na kuficha kama sheria haimuhusu yeye pekee yake akatupia wachache ili kuwazuga Wapumbavu.
JK mmemsema wee hadi mmechoka na sasa mnasema hadi maiti,kuna tatizo mahali.
 
Kwani wapi kusema maiti imepigwa marufuku? Mbona Baba wa Taifa anazungumziwa mpaka kesho kutwa wakati kafariki miaka 21 iliyopita itakuwa huyu wa juzi!? Hebu acha kuonyesha ujuha wako hadharani.,
JK mmemsema wee hadi mmechoka na sasa mnasema hadi maiti,kuna tatizo mahali.
 
Tatizo mama anataka katiba mpya..wakati anamuapisha makamu wa raisi alitaja bunge la katiba Mara mbili..waunganisha dots mnafikiri ilikuwa bahati mbaya ..Wanzanzibar wamechoka kutawaliwa na mkoloni mweusi...
 
Back
Top Bottom