Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,431
- 2,436
Mimi nilikuwa nnikisikiw watu wanasema ni msafi nacheka tu nasema msafi hatumii nguvu nyingi kuwazuia wanaomsema bali hutumia nguvu nyingi kuendeleza usafi ili wanaomzunguka wote wajue yeye ni msafi hasa.Kazi zake zitaonesha yeye ni safi au mchafu sasa huyu wetu tangu aanze kubagua wapinzani nikajua huyu ni wale wale wajanjawajanja