Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,125
- 8,627
Ndo matatizo ya kuamkia kwenye vijiwe vya kahawa,eti walitaka kumuua Kabudi!!!! ShtUmeleta kitu kizuri sana, ila umekosea sana kutumia lugha ya matusi kiasi kwamba sisi wazalendo umetufikirisha sana, na hasa ktk kipindi hiki cha mabeberu kuwatumia baadhi ya watanzania kupindisha ukweli. Kwa maoni ya watanzania wengi, acha madini yabaki, acha wanyonyaji waondoke ili tubaki na madini yetu kuliko ule mtindo wa kuibiwa. Prof Kabudi ni mzalendo sana na ndiyo maana hata mabeberu walimtafuta wamuue au wampe hela nyingi sana na hawakuweza maana vijana wa kazi walikuwa kazini 24/7. Pole mleta hii habari najua unaumia sana kwa sababu wezi tumewafukuza
Sent using Jamii Forums mobile app