Yanaweza kutokana na:Mabadiliko ya mzunguko wa hedhi husababishwa na nini,je ni kweli husababishwa kutokushika mimba?
Naomba tiba yake
Yanaweza kutokana na:
1: Mabadiliko ya hali ya hewa/kusafiri
2: Msongo wa mawazo/stress...
Mkuu, mimba ikinasa hedhi inawezaje kutokea! Au sijakuelewa!Tayari mimba ishanasa.
Mjiandae kulea.
Hakuna mabadiliko ya mzunguko was hedhi hapo bali mimba
Yanaweza kutokana na:
1: Mabadiliko ya hali ya hewa/kusafiri
2: Msongo wa mawazo/stress
3: Maambukizi kwenye viungo vya uzazi
4: Kutokupata lishe bora
5: Kazi ngumu/mazoezi
6: Kunyonyesha
7: Matumizi ya dawa za uzazi wa mpango
8: Kuwa mjamzito bila kutarajia
Tiba: hutegemea na chanzo husika, fika hospitali.
Wengine wanasema kutokana na kutumia majiraWengine wanasema inasababishwa na kutumia vidonge aina ya P2
Naomba kuuliza
Kwanza kabisa nlikua na mzunguko wa hedhi wa siku 28
Kwa kumbukumbu zangu mwaka jana kila ikifika tarehe 21 nlikua napata hedhi nkabadilisha mazingira tokea january mpaka sasa naingia period kila baada ya siku 35 nahitaji kushika mimba kwa sasa .
Je ni siku zipi ntapata mimba nilijarbu siku ya 14 imegoma.