Mabadiliko ya mwonekano wa iPhone tangu kuzinduliwa hadi sasa

Sam Gidori

Senior Member
Sep 7, 2020
165
414
Januari 9, 2007 Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Apple, Steve Jobs alitangaza kuzinduliwa kwa simu ya iPhone, simu iliyokuwa na iPod, kamera na uwezo wa kutumia intaneti, kati ya vingine vingi. Tangu wakati huo hadi sasa, tumeshuhudia mabadiliko ya vizazi vya iPhone, kila toleo jipya likionekana kuwa bora kuliko lililopita.

Kwa miaka 13, iPhone imeuza zaidi ya simu bilioni 2.2 duniani, iPhone 6 na 6Plus zikitajwa kuwa simu za Apple zilizouzwa kwa wingi zaidi, mauzo ya mwaka 2014 yakifikia simu milioni 222.

Angalia mabadiliko ya mwonekano wa iPhone tangu kuzinduliwa kwake mwaka 2017 hadi mwaka 2020.

2007 - iPhone
first-iphone-2007.png

2008 -
iPhone 3G
apple-iphone-3g-01.jpg


2009 - iPhone 3GS
iphone 3gs.jpg


2010 - iPhone 4
Iphone 4g.jpg



2011 -
iPhone 4s
iphone 4s.jpg


2012 -
iPhone 5
iphone 5.jpg



2013 - iPhone 5s na iPhone 5c
iPhone-5s.jpg


2014 - iPhone 6 na iPhone 6 Plus
iphone 6.jpeg


2015 - iPhone 6s and iPhone 6s Plus

Iphone 6s plus.jpg


2016 - iPhone 7 na iPhone 7 Plus

iphone 7.jpg



2017 - iPhone 8 na iPhone 8 Plus

iPhone 8s.png


2017 - iPhone X

iPhone x.jpg


2018 - iPhone XR, iPhone XS, na iPhone XS Max

iPhone XR na XS Max.png


2019 - iPhone 11, iPhone 11 Pro, na iPhone 11 Pro Max


iphone 11.jpg



2020 - iPhone 12 mini, iPhone 12, iPhone 12 Pro, na iPhone 12 Pro Max

iphone12.jpg
 
ipone 6s naukubali mwonekano wake mnoo achana namwonekano wa kiboya wa iX pro..
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom