SoC01 Mabadiliko ya Mfumo wa Rufaa ya Matibabu (Medical Referral System)

Stories of Change - 2021 Competition

MulegiJr

Senior Member
Sep 5, 2018
125
88
MFUMO WA RUFAA YA MATIBABU ni mfumo ambao unamwezesha mgonjwa kutoka kituo kimoja kwenda kigine kwaajili ya kujipatia Matibabu, kulingana na ukubwa wa tatizo, au uhaba wa wataalum , au kulingana na kutokuwepo kwa vifaa vya kutosha katika kituo husika.

Rufaa ya Matibabu hutolewa kulingana na ngazi ya kituo husika, kwa Mfano kutoka zahanati hadi kituo cha Afya, kutoka kituo cha Afya kwenda hospitali ya wilaya, kutoka Hospitali ya wilaya kwenda mkoa, kutoka mkoa kwenda Hospitali ya kanda na kutoka kanda kwenda Hospitali ya Taifa na kutoka Taifa kwenda nje ya nchi au Msaada kutoka hospitali private kulingana na ushauri wa wataalum husika.

Tokea tupate Uhuru nchi yetu ina Mfumo mmoja tu wa RUFAA YA MATIBABU(PHYSICAL LETTER), mtu anakuwa pewa barua hiyo toka mwanza hadi Dar es Salaam, anatoka Katavi hadi Muhimbili, anatoka mwananyamala hadi Muhimbili.

Rufaa ya matibabu inaandikwa na Jopo la madaktari kuja kwenďa kwa mganga mkuu wa Level husika.

CHANGAMOTO YA MFUMO HUU.
1. Kwa mujibu wa Shirika la Ifakara Health Institute, mfumo huu wa kizamani unaotumika nyakàti hizi za Sayansi unaendelea kugharimu maisha ya watanzania kwa mamia, na unasababisha vifo kwa Mamia, kwa maana siyo rahisi utokea Mbinga ifike muhimbili na kesho yake upate mtibabu, maana yake, itakuchukua wiki au mwezi kufanyiwa checkup upya.

2. Mfumo huu unasababisha mrudikano wa wagonjwa pia kwa madaktari maana ni rahisi kwa hospitali kama muhimbili kwa siku kuwa na Rufaa zaidi ya 200+ kulingana na uhaba wa matabibu bingwa ùko kwenye hospitali zetu za wilaya au mikoa.

3. UPOTEVU WA MUDA NA GHARAMA, mfumo huu siyo rafiki kwa sababu unasababisha mtu kutoka sehemu moja kwenda ingine na kwa maana hiyo ni rahisi mtu kutumia wiki mbili kutoka ukerewe hadi BUGANDO MEDICAL HOSPITAL akisubiri kufanyiwa checkup ya jino , kwa wiki hizo akitumia fedha, bila kuzalisha na bado gharama ya matibabu.

NINI KIFANYIKE(SOLUTION).
1. Tubadilike kutoka kwenye Physical letter, twende na kasi ya mabadiliko ya Dunia lengo likiwa ni kupunguza msongamano wa Rufaa, kuwapunguzia Madaktari Rufaa nyingi, kusaidia kupunguza gharama kwa Watanzania ambao wanatumia gharama kubwa kufikia matibabu yao.

2. INTEGRATED AND AUTOMATIVE DIGITAZED MEDICAL REFERRAL system ambayo itafungwa katika level ya wilaya, mkoa, kanda na Taifa , mfumo huu utakuwa na taarifa zote za mgonjwa na taarifa za Hospitali husika, mfano, unamrufaa Mgonjwa kwenda Bugando kumbe Tarehe uliompeleka bugando Daktari husika hatokuwepo kwa muda wa wiki nzima lakini wakati huo Hospitali ya kanda ya Mara inadaktari hisika na hana mzigo wa wagonjwa wengi, unakuta ni rahisi kutoa huduma kuliko kwenda kurundika watu sehemu moja na kwa mrefu.

3. Mfumo huu utapunguza gharama kwa mgonjwa lakini pia utampa muda wa yeye kujipanga kwa ajili ya kusubiri tarehe, muda na gharama za matibabu halisi akiwa nyumbani.

4. Mfumo huu utatambua pia uharaka wa matibabu kwa Mgonjwa kwa maana hiyo mfumo utaruhusu Madaktari kushauriana, na kutoa taarifa ambazo ni sahihi na kufanya maamuzi kwa haraka zaidi.

Kuna mifumo ambayo imefaulu na inafanya kazi kwa uhakika, Mfumo wa maabara za LANCET LABORATORIES na Hospitali nyingi za Private kama Agakhan wana mfumo wa referral kutoka hospitali zao. Kwa nchi yetu ni rahisi kama taifa likashirikiana na Wadau.

Mwisho japo siyo kwa ùmuhimu kubadili mfumo wa Rufaa ya Matibabu, tutapunguza Vifo vya mama na mtoto, tutapunguza vifo wa wakati wa kujifungua, tutapunguza vifo vya wazee, lakini tutapunguza Mzigo mkubwa kwa madaktari Bingwa ambao ni wachache kulingana na mahitaji.

Ni Jozi yangu kuona napata Msaada wa Kifedha au kimfumo ambao unaweza Rahisisha unafuu wa Huduma wa Rufaa,ukizingatia saivi tuna Comolex mpya za kufikisha taarifa za Miundo mbinu za Upatikanaji na kuokoa Muda.

Naomba kuwasilisha.
View attachment 1856906 #wizarayaafya.
 
MFUMO WA RUFAA YA MATIBABU ni mfumo ambao unamwezesha mgonjwa kutoka kituo kimoja kwenda kigine kwa ajili ya kujipatia Matibabu, kulingana na ukubwa wa tatizo, au uhaba wa wataalum , au kulingana na kutokuwepo kwa vifaa vya kutosha katika kituo husika..

Rufaa ya matibabu hutolewa kulingana na ngazi ya kituo husika, kwa Mfano kutoka zahanati hadi kituo cha Afya, kutoka kituo cha Afya kwenda hospitali ya wilaya, kutoka Hospitali ya wilaya kwenda mkoa, kutoka mkoa kwenda Hospitali ya kanda na kutoka kanda kwenda Hospitali ya Taifa na kutoka Taifa kwenda nje ya nchi au Msaada kutoka hospitali private kulingana na ushauri wa wataalum husika.

Tokea tupate Uhuru nchi yetu ina Mfumo mmoja tu wa RUFAA YA MATIBABU(PHYSICAL LETTER), mtu anakuwa pewa barua hiyo toka mwanza hadi Dar es Salaam, anatoka Katavi hadi Muhimbili, anatoka mwananyamala hadi Muhimbili.

Rufaa ya matibabu inaandikwa na Jopo la madaktari kuja kwenďa kwa mganga mkuu wa Level husika.

CHANGAMOTO YA MFUMO HUU.
1.Kwa mujibu wa shirika la Ifakara health institute, mfumo huu wa kizamani unaotumika nyakàti hizi za Saynsi unaendelea kugharimu maisha ya watanzania kwa mamia, na unasababisha vifo kwa Mamia, kwa maana siyo rahisi utokea Mbinga ifike muhimbili na kesho yake upate mtibabu, maana yake, itakuchukua wiki au mwezi kufanyiwa checkup upya.

2. Mfumo huu unasababisha mrudikano wa wagonjwa pia kwa madaktari maana ni rahisi kwa hospitali kama muhimbili kwa siku kuwa na Rufaa zaidi ya 200+ kulingana na uhaba wa matabibu bingwa ùko kwenye hospitali zetu za wilaya au mikoa.

3. UPOTEVU WA MUDA NA GHARAMA, mfumo huu siyo rafiki kwa sababu unasababisha mtu kutoka sehemu moja kwenda ingine na kwa maana hiyo ni rahisi mtu kutumia wiki mbili kutoka ukerewe hadi BUGANDO MEDICAL HOSPITAL akisubiri kufanyiwa checkup ya jino , kwa wiki hizo akitumia fedha, bila kuzalisha na bado gharama ya matibabu.

NINI KIFANYIKE(SOLUTION).
1. Tubadilike kutoka kwenye Physical letter, twende na kasi ya mabadiliko ya Dunia lengo likiwa ni kupunguza msongamano wa Rufaa, kuwapunguzia Madaktari Rufaa nyingi, kusaidia kupunguza gharama kwa Watanzania ambao wanatumia gharama kubwa kufikia matibabu yao.

2. INTEGRATED AND AUTOMATIVE DIGITAZED MEDICAL REFERRAL system ambayo itafungwa katika level ya wilaya, mkoa, kanda na Taifa , mfumo huu utakuwa na taarifa zote za mgonjwa na taarifa za Hospitali husika, mfano, unamrufaa Mgonjwa kwenda Bugando kumbe Tarehe uliompeleka bugando Daktari husika hatokuwepo kwa muda wa wiki nzima lakini wakati huo Hospitali ya kanda ya Mara inadaktari hisika na hana mzigo wa wagonjwa wengi, unakuta ni rahisi kutoa huduma kuliko kwenda kurundika watu sehemu moja na kwa mrefu.

3. Mfumo huu utapunguza gharama kwa mgonjwa lakini pia utampa muda wa yeye kujipanga kwa ajili ya kusubiri tarehe, muda na gharama za matibabu halisi akiwa nyumbani.

4. Mfumo huu utatambu pia uharaka wa matibabu kwa Mgonjwa kwa maana hiyo mfumo utaruhusu madaktari kushauriana, na kutoa taarifa ambazo ni sahihi na kufanya maamuzi kwa haraka zaidi.
Kuna mifumo ambayo imefaulu na inafanya kazi kwa uhakika, Mfumo wa maabara za LANCET LABORATORIES na Hospitali nyingi za Private kama Agakhan wanamfumo wa referral kutoka hospitali zao... kwa nchi yetu ni rahisi kama taifa likashirikiana na Wadau.

Mwisho japo siyo kwa ùmuhimu kubadili mfumo wa Rufaa ya Matibabu, tutapunguza Vifo vya mama na mtoto, tutapunguza vifo wa wakati wa kujifungua, tutapunguza vifo vya wazee, lakini tutapunguza Mzigo mkubwa kwa madaktari Bingwa ambao ni wachache kulingana na mahitaji.

Naomba kuwasilisha.
View attachment 1856906 #wizarayaafya.
Kura yako ya muhimu kwani itasaidia kuboresha huduma za Afya.
 
MFUMO WA RUFAA YA MATIBABU ni mfumo ambao unamwezesha mgonjwa kutoka kituo kimoja kwenda kigine kwa ajili ya kujipatia Matibabu, kulingana na ukubwa wa tatizo, au uhaba wa wataalum , au kulingana na kutokuwepo kwa vifaa vya kutosha katika kituo husika..

Rufaa ya matibabu hutolewa kulingana na ngazi ya kituo husika, kwa Mfano kutoka zahanati hadi kituo cha Afya, kutoka kituo cha Afya kwenda hospitali ya wilaya, kutoka Hospitali ya wilaya kwenda mkoa, kutoka mkoa kwenda Hospitali ya kanda na kutoka kanda kwenda Hospitali ya Taifa na kutoka Taifa kwenda nje ya nchi au Msaada kutoka hospitali private kulingana na ushauri wa wataalum husika.

Tokea tupate Uhuru nchi yetu ina Mfumo mmoja tu wa RUFAA YA MATIBABU(PHYSICAL LETTER), mtu anakuwa pewa barua hiyo toka mwanza hadi Dar es Salaam, anatoka Katavi hadi Muhimbili, anatoka mwananyamala hadi Muhimbili.

Rufaa ya matibabu inaandikwa na Jopo la madaktari kuja kwenďa kwa mganga mkuu wa Level husika.

CHANGAMOTO YA MFUMO HUU.
1.Kwa mujibu wa shirika la Ifakara health institute, mfumo huu wa kizamani unaotumika nyakàti hizi za Saynsi unaendelea kugharimu maisha ya watanzania kwa mamia, na unasababisha vifo kwa Mamia, kwa maana siyo rahisi utokea Mbinga ifike muhimbili na kesho yake upate mtibabu, maana yake, itakuchukua wiki au mwezi kufanyiwa checkup upya.

2. Mfumo huu unasababisha mrudikano wa wagonjwa pia kwa madaktari maana ni rahisi kwa hospitali kama muhimbili kwa siku kuwa na Rufaa zaidi ya 200+ kulingana na uhaba wa matabibu bingwa ùko kwenye hospitali zetu za wilaya au mikoa.

3. UPOTEVU WA MUDA NA GHARAMA, mfumo huu siyo rafiki kwa sababu unasababisha mtu kutoka sehemu moja kwenda ingine na kwa maana hiyo ni rahisi mtu kutumia wiki mbili kutoka ukerewe hadi BUGANDO MEDICAL HOSPITAL akisubiri kufanyiwa checkup ya jino , kwa wiki hizo akitumia fedha, bila kuzalisha na bado gharama ya matibabu.

NINI KIFANYIKE(SOLUTION).
1. Tubadilike kutoka kwenye Physical letter, twende na kasi ya mabadiliko ya Dunia lengo likiwa ni kupunguza msongamano wa Rufaa, kuwapunguzia Madaktari Rufaa nyingi, kusaidia kupunguza gharama kwa Watanzania ambao wanatumia gharama kubwa kufikia matibabu yao.

2. INTEGRATED AND AUTOMATIVE DIGITAZED MEDICAL REFERRAL system ambayo itafungwa katika level ya wilaya, mkoa, kanda na Taifa , mfumo huu utakuwa na taarifa zote za mgonjwa na taarifa za Hospitali husika, mfano, unamrufaa Mgonjwa kwenda Bugando kumbe Tarehe uliompeleka bugando Daktari husika hatokuwepo kwa muda wa wiki nzima lakini wakati huo Hospitali ya kanda ya Mara inadaktari hisika na hana mzigo wa wagonjwa wengi, unakuta ni rahisi kutoa huduma kuliko kwenda kurundika watu sehemu moja na kwa mrefu.

3. Mfumo huu utapunguza gharama kwa mgonjwa lakini pia utampa muda wa yeye kujipanga kwa ajili ya kusubiri tarehe, muda na gharama za matibabu halisi akiwa nyumbani.

4. Mfumo huu utatambu pia uharaka wa matibabu kwa Mgonjwa kwa maana hiyo mfumo utaruhusu madaktari kushauriana, na kutoa taarifa ambazo ni sahihi na kufanya maamuzi kwa haraka zaidi.
Kuna mifumo ambayo imefaulu na inafanya kazi kwa uhakika, Mfumo wa maabara za LANCET LABORATORIES na Hospitali nyingi za Private kama Agakhan wanamfumo wa referral kutoka hospitali zao... kwa nchi yetu ni rahisi kama taifa likashirikiana na Wadau.

Mwisho japo siyo kwa ùmuhimu kubadili mfumo wa Rufaa ya Matibabu, tutapunguza Vifo vya mama na mtoto, tutapunguza vifo wa wakati wa kujifungua, tutapunguza vifo vya wazee, lakini tutapunguza Mzigo mkubwa kwa madaktari Bingwa ambao ni wachache kulingana na mahitaji.

Naomba kuwasilisha.
View attachment 1856906 #wizarayaafya.
Uwekezaji, katika mifumo ya kielektroniki ni njia rahisi na Sahihi itakayowezesha huduma ya Afya kupatikana kila kona ya nchi na kwa wakati sahihi.
 
MFUMO WA RUFAA YA MATIBABU ni mfumo ambao unamwezesha mgonjwa kutoka kituo kimoja kwenda kigine kwa ajili ya kujipatia Matibabu, kulingana na ukubwa wa tatizo, au uhaba wa wataalum , au kulingana na kutokuwepo kwa vifaa vya kutosha katika kituo husika..

Rufaa ya matibabu hutolewa kulingana na ngazi ya kituo husika, kwa Mfano kutoka zahanati hadi kituo cha Afya, kutoka kituo cha Afya kwenda hospitali ya wilaya, kutoka Hospitali ya wilaya kwenda mkoa, kutoka mkoa kwenda Hospitali ya kanda na kutoka kanda kwenda Hospitali ya Taifa na kutoka Taifa kwenda nje ya nchi au Msaada kutoka hospitali private kulingana na ushauri wa wataalum husika.

Tokea tupate Uhuru nchi yetu ina Mfumo mmoja tu wa RUFAA YA MATIBABU(PHYSICAL LETTER), mtu anakuwa pewa barua hiyo toka mwanza hadi Dar es Salaam, anatoka Katavi hadi Muhimbili, anatoka mwananyamala hadi Muhimbili.

Rufaa ya matibabu inaandikwa na Jopo la madaktari kuja kwenďa kwa mganga mkuu wa Level husika.

CHANGAMOTO YA MFUMO HUU.
1.Kwa mujibu wa shirika la Ifakara health institute, mfumo huu wa kizamani unaotumika nyakàti hizi za Saynsi unaendelea kugharimu maisha ya watanzania kwa mamia, na unasababisha vifo kwa Mamia, kwa maana siyo rahisi utokea Mbinga ifike muhimbili na kesho yake upate mtibabu, maana yake, itakuchukua wiki au mwezi kufanyiwa checkup upya.

2. Mfumo huu unasababisha mrudikano wa wagonjwa pia kwa madaktari maana ni rahisi kwa hospitali kama muhimbili kwa siku kuwa na Rufaa zaidi ya 200+ kulingana na uhaba wa matabibu bingwa ùko kwenye hospitali zetu za wilaya au mikoa.

3. UPOTEVU WA MUDA NA GHARAMA, mfumo huu siyo rafiki kwa sababu unasababisha mtu kutoka sehemu moja kwenda ingine na kwa maana hiyo ni rahisi mtu kutumia wiki mbili kutoka ukerewe hadi BUGANDO MEDICAL HOSPITAL akisubiri kufanyiwa checkup ya jino , kwa wiki hizo akitumia fedha, bila kuzalisha na bado gharama ya matibabu.

NINI KIFANYIKE(SOLUTION).
1. Tubadilike kutoka kwenye Physical letter, twende na kasi ya mabadiliko ya Dunia lengo likiwa ni kupunguza msongamano wa Rufaa, kuwapunguzia Madaktari Rufaa nyingi, kusaidia kupunguza gharama kwa Watanzania ambao wanatumia gharama kubwa kufikia matibabu yao.

2. INTEGRATED AND AUTOMATIVE DIGITAZED MEDICAL REFERRAL system ambayo itafungwa katika level ya wilaya, mkoa, kanda na Taifa , mfumo huu utakuwa na taarifa zote za mgonjwa na taarifa za Hospitali husika, mfano, unamrufaa Mgonjwa kwenda Bugando kumbe Tarehe uliompeleka bugando Daktari husika hatokuwepo kwa muda wa wiki nzima lakini wakati huo Hospitali ya kanda ya Mara inadaktari hisika na hana mzigo wa wagonjwa wengi, unakuta ni rahisi kutoa huduma kuliko kwenda kurundika watu sehemu moja na kwa mrefu.

3. Mfumo huu utapunguza gharama kwa mgonjwa lakini pia utampa muda wa yeye kujipanga kwa ajili ya kusubiri tarehe, muda na gharama za matibabu halisi akiwa nyumbani.

4. Mfumo huu utatambu pia uharaka wa matibabu kwa Mgonjwa kwa maana hiyo mfumo utaruhusu madaktari kushauriana, na kutoa taarifa ambazo ni sahihi na kufanya maamuzi kwa haraka zaidi.
Kuna mifumo ambayo imefaulu na inafanya kazi kwa uhakika, Mfumo wa maabara za LANCET LABORATORIES na Hospitali nyingi za Private kama Agakhan wanamfumo wa referral kutoka hospitali zao... kwa nchi yetu ni rahisi kama taifa likashirikiana na Wadau.

Mwisho japo siyo kwa ùmuhimu kubadili mfumo wa Rufaa ya Matibabu, tutapunguza Vifo vya mama na mtoto, tutapunguza vifo wa wakati wa kujifungua, tutapunguza vifo vya wazee, lakini tutapunguza Mzigo mkubwa kwa madaktari Bingwa ambao ni wachache kulingana na mahitaji.

Naomba kuwasilisha.
View attachment 1856906 #wizarayaafya.
Uwekezaji, katika mifumo ya kielektroniki ni njia rahisi na Sahihi itakayowezesha huduma ya Afya kupatikana kila kona ya nchi na kwa wakati sahihi.
 
MFUMO WA RUFAA YA MATIBABU ni mfumo ambao unamwezesha mgonjwa kutoka kituo kimoja kwenda kigine kwa ajili ya kujipatia Matibabu, kulingana na ukubwa wa tatizo, au uhaba wa wataalum , au kulingana na kutokuwepo kwa vifaa vya kutosha katika kituo husika..

Rufaa ya matibabu hutolewa kulingana na ngazi ya kituo husika, kwa Mfano kutoka zahanati hadi kituo cha Afya, kutoka kituo cha Afya kwenda hospitali ya wilaya, kutoka Hospitali ya wilaya kwenda mkoa, kutoka mkoa kwenda Hospitali ya kanda na kutoka kanda kwenda Hospitali ya Taifa na kutoka Taifa kwenda nje ya nchi au Msaada kutoka hospitali private kulingana na ushauri wa wataalum husika.

Tokea tupate Uhuru nchi yetu ina Mfumo mmoja tu wa RUFAA YA MATIBABU(PHYSICAL LETTER), mtu anakuwa pewa barua hiyo toka mwanza hadi Dar es Salaam, anatoka Katavi hadi Muhimbili, anatoka mwananyamala hadi Muhimbili.

Rufaa ya matibabu inaandikwa na Jopo la madaktari kuja kwenďa kwa mganga mkuu wa Level husika.

CHANGAMOTO YA MFUMO HUU.
1.Kwa mujibu wa shirika la Ifakara health institute, mfumo huu wa kizamani unaotumika nyakàti hizi za Saynsi unaendelea kugharimu maisha ya watanzania kwa mamia, na unasababisha vifo kwa Mamia, kwa maana siyo rahisi utokea Mbinga ifike muhimbili na kesho yake upate mtibabu, maana yake, itakuchukua wiki au mwezi kufanyiwa checkup upya.

2. Mfumo huu unasababisha mrudikano wa wagonjwa pia kwa madaktari maana ni rahisi kwa hospitali kama muhimbili kwa siku kuwa na Rufaa zaidi ya 200+ kulingana na uhaba wa matabibu bingwa ùko kwenye hospitali zetu za wilaya au mikoa.

3. UPOTEVU WA MUDA NA GHARAMA, mfumo huu siyo rafiki kwa sababu unasababisha mtu kutoka sehemu moja kwenda ingine na kwa maana hiyo ni rahisi mtu kutumia wiki mbili kutoka ukerewe hadi BUGANDO MEDICAL HOSPITAL akisubiri kufanyiwa checkup ya jino , kwa wiki hizo akitumia fedha, bila kuzalisha na bado gharama ya matibabu.

NINI KIFANYIKE(SOLUTION).
1. Tubadilike kutoka kwenye Physical letter, twende na kasi ya mabadiliko ya Dunia lengo likiwa ni kupunguza msongamano wa Rufaa, kuwapunguzia Madaktari Rufaa nyingi, kusaidia kupunguza gharama kwa Watanzania ambao wanatumia gharama kubwa kufikia matibabu yao.

2. INTEGRATED AND AUTOMATIVE DIGITAZED MEDICAL REFERRAL system ambayo itafungwa katika level ya wilaya, mkoa, kanda na Taifa , mfumo huu utakuwa na taarifa zote za mgonjwa na taarifa za Hospitali husika, mfano, unamrufaa Mgonjwa kwenda Bugando kumbe Tarehe uliompeleka bugando Daktari husika hatokuwepo kwa muda wa wiki nzima lakini wakati huo Hospitali ya kanda ya Mara inadaktari hisika na hana mzigo wa wagonjwa wengi, unakuta ni rahisi kutoa huduma kuliko kwenda kurundika watu sehemu moja na kwa mrefu.

3. Mfumo huu utapunguza gharama kwa mgonjwa lakini pia utampa muda wa yeye kujipanga kwa ajili ya kusubiri tarehe, muda na gharama za matibabu halisi akiwa nyumbani.

4. Mfumo huu utatambu pia uharaka wa matibabu kwa Mgonjwa kwa maana hiyo mfumo utaruhusu madaktari kushauriana, na kutoa taarifa ambazo ni sahihi na kufanya maamuzi kwa haraka zaidi.
Kuna mifumo ambayo imefaulu na inafanya kazi kwa uhakika, Mfumo wa maabara za LANCET LABORATORIES na Hospitali nyingi za Private kama Agakhan wanamfumo wa referral kutoka hospitali zao... kwa nchi yetu ni rahisi kama taifa likashirikiana na Wadau.

Mwisho japo siyo kwa ùmuhimu kubadili mfumo wa Rufaa ya Matibabu, tutapunguza Vifo vya mama na mtoto, tutapunguza vifo wa wakati wa kujifungua, tutapunguza vifo vya wazee, lakini tutapunguza Mzigo mkubwa kwa madaktari Bingwa ambao ni wachache kulingana na mahitaji.

Naomba kuwasilisha.
View attachment 1856906 #wizarayaafya.
Huduma ya Afya ni rahisi kama kuna urahisi wa kutoa huduma hiyo.
Huduma ya Afya unatakiwa kuwa kivutio kwa Watu na siyo Mateso kwa Watu.
 
MFUMO WA RUFAA YA MATIBABU ni mfumo ambao unamwezesha mgonjwa kutoka kituo kimoja kwenda kigine kwa ajili ya kujipatia Matibabu, kulingana na ukubwa wa tatizo, au uhaba wa wataalum , au kulingana na kutokuwepo kwa vifaa vya kutosha katika kituo husika..

Rufaa ya matibabu hutolewa kulingana na ngazi ya kituo husika, kwa Mfano kutoka zahanati hadi kituo cha Afya, kutoka kituo cha Afya kwenda hospitali ya wilaya, kutoka Hospitali ya wilaya kwenda mkoa, kutoka mkoa kwenda Hospitali ya kanda na kutoka kanda kwenda Hospitali ya Taifa na kutoka Taifa kwenda nje ya nchi au Msaada kutoka hospitali private kulingana na ushauri wa wataalum husika.

Tokea tupate Uhuru nchi yetu ina Mfumo mmoja tu wa RUFAA YA MATIBABU(PHYSICAL LETTER), mtu anakuwa pewa barua hiyo toka mwanza hadi Dar es Salaam, anatoka Katavi hadi Muhimbili, anatoka mwananyamala hadi Muhimbili.

Rufaa ya matibabu inaandikwa na Jopo la madaktari kuja kwenďa kwa mganga mkuu wa Level husika.

CHANGAMOTO YA MFUMO HUU.
1.Kwa mujibu wa shirika la Ifakara health institute, mfumo huu wa kizamani unaotumika nyakàti hizi za Saynsi unaendelea kugharimu maisha ya watanzania kwa mamia, na unasababisha vifo kwa Mamia, kwa maana siyo rahisi utokea Mbinga ifike muhimbili na kesho yake upate mtibabu, maana yake, itakuchukua wiki au mwezi kufanyiwa checkup upya.

2. Mfumo huu unasababisha mrudikano wa wagonjwa pia kwa madaktari maana ni rahisi kwa hospitali kama muhimbili kwa siku kuwa na Rufaa zaidi ya 200+ kulingana na uhaba wa matabibu bingwa ùko kwenye hospitali zetu za wilaya au mikoa.

3. UPOTEVU WA MUDA NA GHARAMA, mfumo huu siyo rafiki kwa sababu unasababisha mtu kutoka sehemu moja kwenda ingine na kwa maana hiyo ni rahisi mtu kutumia wiki mbili kutoka ukerewe hadi BUGANDO MEDICAL HOSPITAL akisubiri kufanyiwa checkup ya jino , kwa wiki hizo akitumia fedha, bila kuzalisha na bado gharama ya matibabu.

NINI KIFANYIKE(SOLUTION).
1. Tubadilike kutoka kwenye Physical letter, twende na kasi ya mabadiliko ya Dunia lengo likiwa ni kupunguza msongamano wa Rufaa, kuwapunguzia Madaktari Rufaa nyingi, kusaidia kupunguza gharama kwa Watanzania ambao wanatumia gharama kubwa kufikia matibabu yao.

2. INTEGRATED AND AUTOMATIVE DIGITAZED MEDICAL REFERRAL system ambayo itafungwa katika level ya wilaya, mkoa, kanda na Taifa , mfumo huu utakuwa na taarifa zote za mgonjwa na taarifa za Hospitali husika, mfano, unamrufaa Mgonjwa kwenda Bugando kumbe Tarehe uliompeleka bugando Daktari husika hatokuwepo kwa muda wa wiki nzima lakini wakati huo Hospitali ya kanda ya Mara inadaktari hisika na hana mzigo wa wagonjwa wengi, unakuta ni rahisi kutoa huduma kuliko kwenda kurundika watu sehemu moja na kwa mrefu.

3. Mfumo huu utapunguza gharama kwa mgonjwa lakini pia utampa muda wa yeye kujipanga kwa ajili ya kusubiri tarehe, muda na gharama za matibabu halisi akiwa nyumbani.

4. Mfumo huu utatambu pia uharaka wa matibabu kwa Mgonjwa kwa maana hiyo mfumo utaruhusu madaktari kushauriana, na kutoa taarifa ambazo ni sahihi na kufanya maamuzi kwa haraka zaidi.
Kuna mifumo ambayo imefaulu na inafanya kazi kwa uhakika, Mfumo wa maabara za LANCET LABORATORIES na Hospitali nyingi za Private kama Agakhan wanamfumo wa referral kutoka hospitali zao... kwa nchi yetu ni rahisi kama taifa likashirikiana na Wadau.

Mwisho japo siyo kwa ùmuhimu kubadili mfumo wa Rufaa ya Matibabu, tutapunguza Vifo vya mama na mtoto, tutapunguza vifo wa wakati wa kujifungua, tutapunguza vifo vya wazee, lakini tutapunguza Mzigo mkubwa kwa madaktari Bingwa ambao ni wachache kulingana na mahitaji.

Naomba kuwasilisha.
View attachment 1856906 #wizarayaafya.
Kura yako.
 
Kiukweli serikali yetu inapaswa iendane na ukuaji wa teknolojia maana ndio inayorahisisha upatikanaji wa huduma.
 
Kiukweli serikali yetu inapaswa iendane na ukuaji wa teknolojia maana ndio inayorahisisha upatikanaji wa huduma.
Ahsante, Muda, Fedha na uhai ni Mambo ya Msingi sana katika maisha ya Mwanadamu. Urahisi wa Mifumo ya Afya unaleta unafuu na unaokoa uhai wa Watu wetu.
 
Ahsante, Muda, Fedha na uhai ni Mambo ya Msingi sana katika maisha ya Mwanadamu. Urahisi wa Mifumo ya Afya unaleta unafuu na unaokoa uhai wa Watu wetu.
Hakika na pia afya ndio utajiri wa kwanza ili taifa liwe na watu wachapa kazi ni dhahiri lazima tuwe na afya njema ambazo lazima huduma kama hz za rufaa ziboreshwe na kuendana na hitaji kwa wakati huu wa sayansi na teknolojia.

Serikali yetu inapaswa iwekeze haswa hususani teknolojia mahospitalini iboreshwe zaidi..
 
Hakika na pia afya ndio utajiri wa kwanza ili taifa liwe na watu wachapa kazi ni dhahiri lazima tuwe na afya njema ambazo lazima huduma kama hz za rufaa ziboreshwe na kuendana na hitaji kwa wakati huu wa sayansi na teknolojia.

Serikali yetu inapaswa iwekeze haswa hususani teknolojia mahospitalini iboreshwe zaidi..
Hakika, na umeeleza vema sana, Tutahitaji Human resources kidogo, ufanisi ukiwa wa kiwango cha Juu sana.
 
Hakika, na umeeleza vema sana, Tutahitaji Human resources kidogo, ufanisi ukiwa wa kiwango cha Juu sana.
Ndio. Na vipi huu mfumo tukawa husisha vijana zaidi katika utendaji wake kwa maana wao vijana ndio wenye uelewa zaidi na masuala ya kidigital kuzidi wazee wetu au tuseme vijana wana muda mrefu ujao katika kulihudumia taifa letu.
 
MFUMO WA RUFAA YA MATIBABU ni mfumo ambao unamwezesha mgonjwa kutoka kituo kimoja kwenda kigine kwa ajili ya kujipatia Matibabu, kulingana na ukubwa wa tatizo, au uhaba wa wataalum , au kulingana na kutokuwepo kwa vifaa vya kutosha katika kituo husika..

Rufaa ya matibabu hutolewa kulingana na ngazi ya kituo husika, kwa Mfano kutoka zahanati hadi kituo cha Afya, kutoka kituo cha Afya kwenda hospitali ya wilaya, kutoka Hospitali ya wilaya kwenda mkoa, kutoka mkoa kwenda Hospitali ya kanda na kutoka kanda kwenda Hospitali ya Taifa na kutoka Taifa kwenda nje ya nchi au Msaada kutoka hospitali private kulingana na ushauri wa wataalum husika.

Tokea tupate Uhuru nchi yetu ina Mfumo mmoja tu wa RUFAA YA MATIBABU(PHYSICAL LETTER), mtu anakuwa pewa barua hiyo toka mwanza hadi Dar es Salaam, anatoka Katavi hadi Muhimbili, anatoka mwananyamala hadi Muhimbili.

Rufaa ya matibabu inaandikwa na Jopo la madaktari kuja kwenďa kwa mganga mkuu wa Level husika.

CHANGAMOTO YA MFUMO HUU.
1.Kwa mujibu wa shirika la Ifakara health institute, mfumo huu wa kizamani unaotumika nyakàti hizi za Saynsi unaendelea kugharimu maisha ya watanzania kwa mamia, na unasababisha vifo kwa Mamia, kwa maana siyo rahisi utokea Mbinga ifike muhimbili na kesho yake upate mtibabu, maana yake, itakuchukua wiki au mwezi kufanyiwa checkup upya.

2. Mfumo huu unasababisha mrudikano wa wagonjwa pia kwa madaktari maana ni rahisi kwa hospitali kama muhimbili kwa siku kuwa na Rufaa zaidi ya 200+ kulingana na uhaba wa matabibu bingwa ùko kwenye hospitali zetu za wilaya au mikoa.

3. UPOTEVU WA MUDA NA GHARAMA, mfumo huu siyo rafiki kwa sababu unasababisha mtu kutoka sehemu moja kwenda ingine na kwa maana hiyo ni rahisi mtu kutumia wiki mbili kutoka ukerewe hadi BUGANDO MEDICAL HOSPITAL akisubiri kufanyiwa checkup ya jino , kwa wiki hizo akitumia fedha, bila kuzalisha na bado gharama ya matibabu.

NINI KIFANYIKE(SOLUTION).
1. Tubadilike kutoka kwenye Physical letter, twende na kasi ya mabadiliko ya Dunia lengo likiwa ni kupunguza msongamano wa Rufaa, kuwapunguzia Madaktari Rufaa nyingi, kusaidia kupunguza gharama kwa Watanzania ambao wanatumia gharama kubwa kufikia matibabu yao.

2. INTEGRATED AND AUTOMATIVE DIGITAZED MEDICAL REFERRAL system ambayo itafungwa katika level ya wilaya, mkoa, kanda na Taifa , mfumo huu utakuwa na taarifa zote za mgonjwa na taarifa za Hospitali husika, mfano, unamrufaa Mgonjwa kwenda Bugando kumbe Tarehe uliompeleka bugando Daktari husika hatokuwepo kwa muda wa wiki nzima lakini wakati huo Hospitali ya kanda ya Mara inadaktari hisika na hana mzigo wa wagonjwa wengi, unakuta ni rahisi kutoa huduma kuliko kwenda kurundika watu sehemu moja na kwa mrefu.

3. Mfumo huu utapunguza gharama kwa mgonjwa lakini pia utampa muda wa yeye kujipanga kwa ajili ya kusubiri tarehe, muda na gharama za matibabu halisi akiwa nyumbani.

4. Mfumo huu utatambu pia uharaka wa matibabu kwa Mgonjwa kwa maana hiyo mfumo utaruhusu madaktari kushauriana, na kutoa taarifa ambazo ni sahihi na kufanya maamuzi kwa haraka zaidi.
Kuna mifumo ambayo imefaulu na inafanya kazi kwa uhakika, Mfumo wa maabara za LANCET LABORATORIES na Hospitali nyingi za Private kama Agakhan wanamfumo wa referral kutoka hospitali zao... kwa nchi yetu ni rahisi kama taifa likashirikiana na Wadau.

Mwisho japo siyo kwa ùmuhimu kubadili mfumo wa Rufaa ya Matibabu, tutapunguza Vifo vya mama na mtoto, tutapunguza vifo wa wakati wa kujifungua, tutapunguza vifo vya wazee, lakini tutapunguza Mzigo mkubwa kwa madaktari Bingwa ambao ni wachache kulingana na mahitaji.

Naomba kuwasilisha.
View attachment 1856906 #wizarayaafya.
Kumbuka kura yako ni Muhimu.. Naomba unipigie kura.
 
HHello,
MFUMO WA RUFAA YA MATIBABU ni mfumo ambao unamwezesha mgonjwa kutoka kituo kimoja kwenda kigine kwa ajili ya kujipatia Matibabu, kulingana na ukubwa wa tatizo, au uhaba wa wataalum , au kulingana na kutokuwepo kwa vifaa vya kutosha katika kituo husika..

Rufaa ya matibabu hutolewa kulingana na ngazi ya kituo husika, kwa Mfano kutoka zahanati hadi kituo cha Afya, kutoka kituo cha Afya kwenda hospitali ya wilaya, kutoka Hospitali ya wilaya kwenda mkoa, kutoka mkoa kwenda Hospitali ya kanda na kutoka kanda kwenda Hospitali ya Taifa na kutoka Taifa kwenda nje ya nchi au Msaada kutoka hospitali private kulingana na ushauri wa wataalum husika.

Tokea tupate Uhuru nchi yetu ina Mfumo mmoja tu wa RUFAA YA MATIBABU(PHYSICAL LETTER), mtu anakuwa pewa barua hiyo toka mwanza hadi Dar es Salaam, anatoka Katavi hadi Muhimbili, anatoka mwananyamala hadi Muhimbili.

Rufaa ya matibabu inaandikwa na Jopo la madaktari kuja kwenďa kwa mganga mkuu wa Level husika.

CHANGAMOTO YA MFUMO HUU.
1.Kwa mujibu wa shirika la Ifakara health institute, mfumo huu wa kizamani unaotumika nyakàti hizi za Saynsi unaendelea kugharimu maisha ya watanzania kwa mamia, na unasababisha vifo kwa Mamia, kwa maana siyo rahisi utokea Mbinga ifike muhimbili na kesho yake upate mtibabu, maana yake, itakuchukua wiki au mwezi kufanyiwa checkup upya.

2. Mfumo huu unasababisha mrudikano wa wagonjwa pia kwa madaktari maana ni rahisi kwa hospitali kama muhimbili kwa siku kuwa na Rufaa zaidi ya 200+ kulingana na uhaba wa matabibu bingwa ùko kwenye hospitali zetu za wilaya au mikoa.

3. UPOTEVU WA MUDA NA GHARAMA, mfumo huu siyo rafiki kwa sababu unasababisha mtu kutoka sehemu moja kwenda ingine na kwa maana hiyo ni rahisi mtu kutumia wiki mbili kutoka ukerewe hadi BUGANDO MEDICAL HOSPITAL akisubiri kufanyiwa checkup ya jino , kwa wiki hizo akitumia fedha, bila kuzalisha na bado gharama ya matibabu.

NINI KIFANYIKE(SOLUTION).
1. Tubadilike kutoka kwenye Physical letter, twende na kasi ya mabadiliko ya Dunia lengo likiwa ni kupunguza msongamano wa Rufaa, kuwapunguzia Madaktari Rufaa nyingi, kusaidia kupunguza gharama kwa Watanzania ambao wanatumia gharama kubwa kufikia matibabu yao.

2. INTEGRATED AND AUTOMATIVE DIGITAZED MEDICAL REFERRAL system ambayo itafungwa katika level ya wilaya, mkoa, kanda na Taifa , mfumo huu utakuwa na taarifa zote za mgonjwa na taarifa za Hospitali husika, mfano, unamrufaa Mgonjwa kwenda Bugando kumbe Tarehe uliompeleka bugando Daktari husika hatokuwepo kwa muda wa wiki nzima lakini wakati huo Hospitali ya kanda ya Mara inadaktari hisika na hana mzigo wa wagonjwa wengi, unakuta ni rahisi kutoa huduma kuliko kwenda kurundika watu sehemu moja na kwa mrefu.

3. Mfumo huu utapunguza gharama kwa mgonjwa lakini pia utampa muda wa yeye kujipanga kwa ajili ya kusubiri tarehe, muda na gharama za matibabu halisi akiwa nyumbani.

4. Mfumo huu utatambu pia uharaka wa matibabu kwa Mgonjwa kwa maana hiyo mfumo utaruhusu madaktari kushauriana, na kutoa taarifa ambazo ni sahihi na kufanya maamuzi kwa haraka zaidi.
Kuna mifumo ambayo imefaulu na inafanya kazi kwa uhakika, Mfumo wa maabara za LANCET LABORATORIES na Hospitali nyingi za Private kama Agakhan wanamfumo wa referral kutoka hospitali zao... kwa nchi yetu ni rahisi kama taifa likashirikiana na Wadau.

Mwisho japo siyo kwa ùmuhimu kubadili mfumo wa Rufaa ya Matibabu, tutapunguza Vifo vya mama na mtoto, tutapunguza vifo wa wakati wa kujifungua, tutapunguza vifo vya wazee, lakini tutapunguza Mzigo mkubwa kwa madaktari Bingwa ambao ni wachache kulingana na mahitaji.

Naomba kuwasilisha.
View attachment 1856906 #wizarayaafya.
Kumbuka kura yako ni Muhimu.. Naomba unipigie Kura.
Mara ngapi umeshindwa kwenda hospital? sababu ya kuhofia Kupoteza Muda na pia kujikuta unatumia gharama kubwa tofauti na Matarajio? mifumo ya Rufaa ya kielektroniki ni mkobozi wa yote.
 
MFUMO WA RUFAA YA MATIBABU ni mfumo ambao unamwezesha mgonjwa kutoka kituo kimoja kwenda kigine kwa ajili ya kujipatia Matibabu, kulingana na ukubwa wa tatizo, au uhaba wa wataalum , au kulingana na kutokuwepo kwa vifaa vya kutosha katika kituo husika..

Rufaa ya matibabu hutolewa kulingana na ngazi ya kituo husika, kwa Mfano kutoka zahanati hadi kituo cha Afya, kutoka kituo cha Afya kwenda hospitali ya wilaya, kutoka Hospitali ya wilaya kwenda mkoa, kutoka mkoa kwenda Hospitali ya kanda na kutoka kanda kwenda Hospitali ya Taifa na kutoka Taifa kwenda nje ya nchi au Msaada kutoka hospitali private kulingana na ushauri wa wataalum husika.

Tokea tupate Uhuru nchi yetu ina Mfumo mmoja tu wa RUFAA YA MATIBABU(PHYSICAL LETTER), mtu anakuwa pewa barua hiyo toka mwanza hadi Dar es Salaam, anatoka Katavi hadi Muhimbili, anatoka mwananyamala hadi Muhimbili.

Rufaa ya matibabu inaandikwa na Jopo la madaktari kuja kwenďa kwa mganga mkuu wa Level husika.

CHANGAMOTO YA MFUMO HUU.
1.Kwa mujibu wa shirika la Ifakara health institute, mfumo huu wa kizamani unaotumika nyakàti hizi za Saynsi unaendelea kugharimu maisha ya watanzania kwa mamia, na unasababisha vifo kwa Mamia, kwa maana siyo rahisi utokea Mbinga ifike muhimbili na kesho yake upate mtibabu, maana yake, itakuchukua wiki au mwezi kufanyiwa checkup upya.

2. Mfumo huu unasababisha mrudikano wa wagonjwa pia kwa madaktari maana ni rahisi kwa hospitali kama muhimbili kwa siku kuwa na Rufaa zaidi ya 200+ kulingana na uhaba wa matabibu bingwa ùko kwenye hospitali zetu za wilaya au mikoa.

3. UPOTEVU WA MUDA NA GHARAMA, mfumo huu siyo rafiki kwa sababu unasababisha mtu kutoka sehemu moja kwenda ingine na kwa maana hiyo ni rahisi mtu kutumia wiki mbili kutoka ukerewe hadi BUGANDO MEDICAL HOSPITAL akisubiri kufanyiwa checkup ya jino , kwa wiki hizo akitumia fedha, bila kuzalisha na bado gharama ya matibabu.

NINI KIFANYIKE(SOLUTION).
1. Tubadilike kutoka kwenye Physical letter, twende na kasi ya mabadiliko ya Dunia lengo likiwa ni kupunguza msongamano wa Rufaa, kuwapunguzia Madaktari Rufaa nyingi, kusaidia kupunguza gharama kwa Watanzania ambao wanatumia gharama kubwa kufikia matibabu yao.

2. INTEGRATED AND AUTOMATIVE DIGITAZED MEDICAL REFERRAL system ambayo itafungwa katika level ya wilaya, mkoa, kanda na Taifa , mfumo huu utakuwa na taarifa zote za mgonjwa na taarifa za Hospitali husika, mfano, unamrufaa Mgonjwa kwenda Bugando kumbe Tarehe uliompeleka bugando Daktari husika hatokuwepo kwa muda wa wiki nzima lakini wakati huo Hospitali ya kanda ya Mara inadaktari hisika na hana mzigo wa wagonjwa wengi, unakuta ni rahisi kutoa huduma kuliko kwenda kurundika watu sehemu moja na kwa mrefu.

3. Mfumo huu utapunguza gharama kwa mgonjwa lakini pia utampa muda wa yeye kujipanga kwa ajili ya kusubiri tarehe, muda na gharama za matibabu halisi akiwa nyumbani.

4. Mfumo huu utatambu pia uharaka wa matibabu kwa Mgonjwa kwa maana hiyo mfumo utaruhusu madaktari kushauriana, na kutoa taarifa ambazo ni sahihi na kufanya maamuzi kwa haraka zaidi.
Kuna mifumo ambayo imefaulu na inafanya kazi kwa uhakika, Mfumo wa maabara za LANCET LABORATORIES na Hospitali nyingi za Private kama Agakhan wanamfumo wa referral kutoka hospitali zao... kwa nchi yetu ni rahisi kama taifa likashirikiana na Wadau.

Mwisho japo siyo kwa ùmuhimu kubadili mfumo wa Rufaa ya Matibabu, tutapunguza Vifo vya mama na mtoto, tutapunguza vifo wa wakati wa kujifungua, tutapunguza vifo vya wazee, lakini tutapunguza Mzigo mkubwa kwa madaktari Bingwa ambao ni wachache kulingana na mahitaji.

Naomba kuwasilisha.
View attachment 1856906 #wizarayaafya.
Kumbuka kura yako ni Muhimu.. Naomba unipigie Kura.
Hospitali zetu zinaendeshwa kwa asilimia kubwa kimfumo wa kizamani
 
Hello, Wadau naamini Andiko hili ni bora na linalenga kusaidia utoaji wa Huduma za Afya na kupunguza vifo..
 
MFUMO WA RUFAA YA MATIBABU ni mfumo ambao unamwezesha mgonjwa kutoka kituo kimoja kwenda kigine kwa ajili ya kujipatia Matibabu, kulingana na ukubwa wa tatizo, au uhaba wa wataalum , au kulingana na kutokuwepo kwa vifaa vya kutosha katika kituo husika..

Rufaa ya matibabu hutolewa kulingana na ngazi ya kituo husika, kwa Mfano kutoka zahanati hadi kituo cha Afya, kutoka kituo cha Afya kwenda hospitali ya wilaya, kutoka Hospitali ya wilaya kwenda mkoa, kutoka mkoa kwenda Hospitali ya kanda na kutoka kanda kwenda Hospitali ya Taifa na kutoka Taifa kwenda nje ya nchi au Msaada kutoka hospitali private kulingana na ushauri wa wataalum husika.

Tokea tupate Uhuru nchi yetu ina Mfumo mmoja tu wa RUFAA YA MATIBABU(PHYSICAL LETTER), mtu anakuwa pewa barua hiyo toka mwanza hadi Dar es Salaam, anatoka Katavi hadi Muhimbili, anatoka mwananyamala hadi Muhimbili.

Rufaa ya matibabu inaandikwa na Jopo la madaktari kuja kwenďa kwa mganga mkuu wa Level husika.

CHANGAMOTO YA MFUMO HUU.
1.Kwa mujibu wa shirika la Ifakara health institute, mfumo huu wa kizamani unaotumika nyakàti hizi za Saynsi unaendelea kugharimu maisha ya watanzania kwa mamia, na unasababisha vifo kwa Mamia, kwa maana siyo rahisi utokea Mbinga ifike muhimbili na kesho yake upate mtibabu, maana yake, itakuchukua wiki au mwezi kufanyiwa checkup upya.

2. Mfumo huu unasababisha mrudikano wa wagonjwa pia kwa madaktari maana ni rahisi kwa hospitali kama muhimbili kwa siku kuwa na Rufaa zaidi ya 200+ kulingana na uhaba wa matabibu bingwa ùko kwenye hospitali zetu za wilaya au mikoa.

3. UPOTEVU WA MUDA NA GHARAMA, mfumo huu siyo rafiki kwa sababu unasababisha mtu kutoka sehemu moja kwenda ingine na kwa maana hiyo ni rahisi mtu kutumia wiki mbili kutoka ukerewe hadi BUGANDO MEDICAL HOSPITAL akisubiri kufanyiwa checkup ya jino , kwa wiki hizo akitumia fedha, bila kuzalisha na bado gharama ya matibabu.

NINI KIFANYIKE(SOLUTION).
1. Tubadilike kutoka kwenye Physical letter, twende na kasi ya mabadiliko ya Dunia lengo likiwa ni kupunguza msongamano wa Rufaa, kuwapunguzia Madaktari Rufaa nyingi, kusaidia kupunguza gharama kwa Watanzania ambao wanatumia gharama kubwa kufikia matibabu yao.

2. INTEGRATED AND AUTOMATIVE DIGITAZED MEDICAL REFERRAL system ambayo itafungwa katika level ya wilaya, mkoa, kanda na Taifa , mfumo huu utakuwa na taarifa zote za mgonjwa na taarifa za Hospitali husika, mfano, unamrufaa Mgonjwa kwenda Bugando kumbe Tarehe uliompeleka bugando Daktari husika hatokuwepo kwa muda wa wiki nzima lakini wakati huo Hospitali ya kanda ya Mara inadaktari hisika na hana mzigo wa wagonjwa wengi, unakuta ni rahisi kutoa huduma kuliko kwenda kurundika watu sehemu moja na kwa mrefu.

3. Mfumo huu utapunguza gharama kwa mgonjwa lakini pia utampa muda wa yeye kujipanga kwa ajili ya kusubiri tarehe, muda na gharama za matibabu halisi akiwa nyumbani.

4. Mfumo huu utatambu pia uharaka wa matibabu kwa Mgonjwa kwa maana hiyo mfumo utaruhusu madaktari kushauriana, na kutoa taarifa ambazo ni sahihi na kufanya maamuzi kwa haraka zaidi.
Kuna mifumo ambayo imefaulu na inafanya kazi kwa uhakika, Mfumo wa maabara za LANCET LABORATORIES na Hospitali nyingi za Private kama Agakhan wanamfumo wa referral kutoka hospitali zao... kwa nchi yetu ni rahisi kama taifa likashirikiana na Wadau.

Mwisho japo siyo kwa ùmuhimu kubadili mfumo wa Rufaa ya Matibabu, tutapunguza Vifo vya mama na mtoto, tutapunguza vifo wa wakati wa kujifungua, tutapunguza vifo vya wazee, lakini tutapunguza Mzigo mkubwa kwa madaktari Bingwa ambao ni wachache kulingana na mahitaji.

Naomba kuwasilisha.
View attachment 1856906 #wizarayaafya.
Kumbuka kura yako ni Muhimu.. Naomba unipigie Kura.
Hello, Uhakika wa aFya upo kwenye, uimara wa Sera ya Matumizi mazuri ya Teknlojia. Vote for me.
 
MFUMO WA RUFAA YA MATIBABU ni mfumo ambao unamwezesha mgonjwa kutoka kituo kimoja kwenda kigine kwa ajili ya kujipatia Matibabu, kulingana na ukubwa wa tatizo, au uhaba wa wataalum , au kulingana na kutokuwepo kwa vifaa vya kutosha katika kituo husika..

Rufaa ya matibabu hutolewa kulingana na ngazi ya kituo husika, kwa Mfano kutoka zahanati hadi kituo cha Afya, kutoka kituo cha Afya kwenda hospitali ya wilaya, kutoka Hospitali ya wilaya kwenda mkoa, kutoka mkoa kwenda Hospitali ya kanda na kutoka kanda kwenda Hospitali ya Taifa na kutoka Taifa kwenda nje ya nchi au Msaada kutoka hospitali private kulingana na ushauri wa wataalum husika.

Tokea tupate Uhuru nchi yetu ina Mfumo mmoja tu wa RUFAA YA MATIBABU(PHYSICAL LETTER), mtu anakuwa pewa barua hiyo toka mwanza hadi Dar es Salaam, anatoka Katavi hadi Muhimbili, anatoka mwananyamala hadi Muhimbili.

Rufaa ya matibabu inaandikwa na Jopo la madaktari kuja kwenďa kwa mganga mkuu wa Level husika.

CHANGAMOTO YA MFUMO HUU.
1.Kwa mujibu wa shirika la Ifakara health institute, mfumo huu wa kizamani unaotumika nyakàti hizi za Saynsi unaendelea kugharimu maisha ya watanzania kwa mamia, na unasababisha vifo kwa Mamia, kwa maana siyo rahisi utokea Mbinga ifike muhimbili na kesho yake upate mtibabu, maana yake, itakuchukua wiki au mwezi kufanyiwa checkup upya.

2. Mfumo huu unasababisha mrudikano wa wagonjwa pia kwa madaktari maana ni rahisi kwa hospitali kama muhimbili kwa siku kuwa na Rufaa zaidi ya 200+ kulingana na uhaba wa matabibu bingwa ùko kwenye hospitali zetu za wilaya au mikoa.

3. UPOTEVU WA MUDA NA GHARAMA, mfumo huu siyo rafiki kwa sababu unasababisha mtu kutoka sehemu moja kwenda ingine na kwa maana hiyo ni rahisi mtu kutumia wiki mbili kutoka ukerewe hadi BUGANDO MEDICAL HOSPITAL akisubiri kufanyiwa checkup ya jino , kwa wiki hizo akitumia fedha, bila kuzalisha na bado gharama ya matibabu.

NINI KIFANYIKE(SOLUTION).
1. Tubadilike kutoka kwenye Physical letter, twende na kasi ya mabadiliko ya Dunia lengo likiwa ni kupunguza msongamano wa Rufaa, kuwapunguzia Madaktari Rufaa nyingi, kusaidia kupunguza gharama kwa Watanzania ambao wanatumia gharama kubwa kufikia matibabu yao.

2. INTEGRATED AND AUTOMATIVE DIGITAZED MEDICAL REFERRAL system ambayo itafungwa katika level ya wilaya, mkoa, kanda na Taifa , mfumo huu utakuwa na taarifa zote za mgonjwa na taarifa za Hospitali husika, mfano, unamrufaa Mgonjwa kwenda Bugando kumbe Tarehe uliompeleka bugando Daktari husika hatokuwepo kwa muda wa wiki nzima lakini wakati huo Hospitali ya kanda ya Mara inadaktari hisika na hana mzigo wa wagonjwa wengi, unakuta ni rahisi kutoa huduma kuliko kwenda kurundika watu sehemu moja na kwa mrefu.

3. Mfumo huu utapunguza gharama kwa mgonjwa lakini pia utampa muda wa yeye kujipanga kwa ajili ya kusubiri tarehe, muda na gharama za matibabu halisi akiwa nyumbani.

4. Mfumo huu utatambu pia uharaka wa matibabu kwa Mgonjwa kwa maana hiyo mfumo utaruhusu madaktari kushauriana, na kutoa taarifa ambazo ni sahihi na kufanya maamuzi kwa haraka zaidi.
Kuna mifumo ambayo imefaulu na inafanya kazi kwa uhakika, Mfumo wa maabara za LANCET LABORATORIES na Hospitali nyingi za Private kama Agakhan wanamfumo wa referral kutoka hospitali zao... kwa nchi yetu ni rahisi kama taifa likashirikiana na Wadau.

Mwisho japo siyo kwa ùmuhimu kubadili mfumo wa Rufaa ya Matibabu, tutapunguza Vifo vya mama na mtoto, tutapunguza vifo wa wakati wa kujifungua, tutapunguza vifo vya wazee, lakini tutapunguza Mzigo mkubwa kwa madaktari Bingwa ambao ni wachache kulingana na mahitaji.

Naomba kuwasilisha.
View attachment 1856906 #wizarayaafya.
Kumbuka kura yako ni Muhimu.. Naomba unipigie Kura.
Naomba unipigie kura
 
MFUMO WA RUFAA YA MATIBABU ni mfumo ambao unamwezesha mgonjwa kutoka kituo kimoja kwenda kigine kwa ajili ya kujipatia Matibabu, kulingana na ukubwa wa tatizo, au uhaba wa wataalum , au kulingana na kutokuwepo kwa vifaa vya kutosha katika kituo husika..

Rufaa ya matibabu hutolewa kulingana na ngazi ya kituo husika, kwa Mfano kutoka zahanati hadi kituo cha Afya, kutoka kituo cha Afya kwenda hospitali ya wilaya, kutoka Hospitali ya wilaya kwenda mkoa, kutoka mkoa kwenda Hospitali ya kanda na kutoka kanda kwenda Hospitali ya Taifa na kutoka Taifa kwenda nje ya nchi au Msaada kutoka hospitali private kulingana na ushauri wa wataalum husika.

Tokea tupate Uhuru nchi yetu ina Mfumo mmoja tu wa RUFAA YA MATIBABU(PHYSICAL LETTER), mtu anakuwa pewa barua hiyo toka mwanza hadi Dar es Salaam, anatoka Katavi hadi Muhimbili, anatoka mwananyamala hadi Muhimbili.

Rufaa ya matibabu inaandikwa na Jopo la madaktari kuja kwenďa kwa mganga mkuu wa Level husika.

CHANGAMOTO YA MFUMO HUU.
1.Kwa mujibu wa shirika la Ifakara health institute, mfumo huu wa kizamani unaotumika nyakàti hizi za Saynsi unaendelea kugharimu maisha ya watanzania kwa mamia, na unasababisha vifo kwa Mamia, kwa maana siyo rahisi utokea Mbinga ifike muhimbili na kesho yake upate mtibabu, maana yake, itakuchukua wiki au mwezi kufanyiwa checkup upya.

2. Mfumo huu unasababisha mrudikano wa wagonjwa pia kwa madaktari maana ni rahisi kwa hospitali kama muhimbili kwa siku kuwa na Rufaa zaidi ya 200+ kulingana na uhaba wa matabibu bingwa ùko kwenye hospitali zetu za wilaya au mikoa.

3. UPOTEVU WA MUDA NA GHARAMA, mfumo huu siyo rafiki kwa sababu unasababisha mtu kutoka sehemu moja kwenda ingine na kwa maana hiyo ni rahisi mtu kutumia wiki mbili kutoka ukerewe hadi BUGANDO MEDICAL HOSPITAL akisubiri kufanyiwa checkup ya jino , kwa wiki hizo akitumia fedha, bila kuzalisha na bado gharama ya matibabu.

NINI KIFANYIKE(SOLUTION).
1. Tubadilike kutoka kwenye Physical letter, twende na kasi ya mabadiliko ya Dunia lengo likiwa ni kupunguza msongamano wa Rufaa, kuwapunguzia Madaktari Rufaa nyingi, kusaidia kupunguza gharama kwa Watanzania ambao wanatumia gharama kubwa kufikia matibabu yao.

2. INTEGRATED AND AUTOMATIVE DIGITAZED MEDICAL REFERRAL system ambayo itafungwa katika level ya wilaya, mkoa, kanda na Taifa , mfumo huu utakuwa na taarifa zote za mgonjwa na taarifa za Hospitali husika, mfano, unamrufaa Mgonjwa kwenda Bugando kumbe Tarehe uliompeleka bugando Daktari husika hatokuwepo kwa muda wa wiki nzima lakini wakati huo Hospitali ya kanda ya Mara inadaktari hisika na hana mzigo wa wagonjwa wengi, unakuta ni rahisi kutoa huduma kuliko kwenda kurundika watu sehemu moja na kwa mrefu.

3. Mfumo huu utapunguza gharama kwa mgonjwa lakini pia utampa muda wa yeye kujipanga kwa ajili ya kusubiri tarehe, muda na gharama za matibabu halisi akiwa nyumbani.

4. Mfumo huu utatambu pia uharaka wa matibabu kwa Mgonjwa kwa maana hiyo mfumo utaruhusu madaktari kushauriana, na kutoa taarifa ambazo ni sahihi na kufanya maamuzi kwa haraka zaidi.
Kuna mifumo ambayo imefaulu na inafanya kazi kwa uhakika, Mfumo wa maabara za LANCET LABORATORIES na Hospitali nyingi za Private kama Agakhan wanamfumo wa referral kutoka hospitali zao... kwa nchi yetu ni rahisi kama taifa likashirikiana na Wadau.

Mwisho japo siyo kwa ùmuhimu kubadili mfumo wa Rufaa ya Matibabu, tutapunguza Vifo vya mama na mtoto, tutapunguza vifo wa wakati wa kujifungua, tutapunguza vifo vya wazee, lakini tutapunguza Mzigo mkubwa kwa madaktari Bingwa ambao ni wachache kulingana na mahitaji.

Naomba kuwasilisha.
View attachment 1856906 #wizarayaafya.
Kumbuka kura yako ni Muhimu.. Naomba unipigie Kura.
Vote for me
 
MFUMO WA RUFAA YA MATIBABU ni mfumo ambao unamwezesha mgonjwa kutoka kituo kimoja kwenda kigine kwa ajili ya kujipatia Matibabu, kulingana na ukubwa wa tatizo, au uhaba wa wataalum , au kulingana na kutokuwepo kwa vifaa vya kutosha katika kituo husika..

Rufaa ya matibabu hutolewa kulingana na ngazi ya kituo husika, kwa Mfano kutoka zahanati hadi kituo cha Afya, kutoka kituo cha Afya kwenda hospitali ya wilaya, kutoka Hospitali ya wilaya kwenda mkoa, kutoka mkoa kwenda Hospitali ya kanda na kutoka kanda kwenda Hospitali ya Taifa na kutoka Taifa kwenda nje ya nchi au Msaada kutoka hospitali private kulingana na ushauri wa wataalum husika.

Tokea tupate Uhuru nchi yetu ina Mfumo mmoja tu wa RUFAA YA MATIBABU(PHYSICAL LETTER), mtu anakuwa pewa barua hiyo toka mwanza hadi Dar es Salaam, anatoka Katavi hadi Muhimbili, anatoka mwananyamala hadi Muhimbili.

Rufaa ya matibabu inaandikwa na Jopo la madaktari kuja kwenďa kwa mganga mkuu wa Level husika.

CHANGAMOTO YA MFUMO HUU.
1.Kwa mujibu wa shirika la Ifakara health institute, mfumo huu wa kizamani unaotumika nyakàti hizi za Saynsi unaendelea kugharimu maisha ya watanzania kwa mamia, na unasababisha vifo kwa Mamia, kwa maana siyo rahisi utokea Mbinga ifike muhimbili na kesho yake upate mtibabu, maana yake, itakuchukua wiki au mwezi kufanyiwa checkup upya.

2. Mfumo huu unasababisha mrudikano wa wagonjwa pia kwa madaktari maana ni rahisi kwa hospitali kama muhimbili kwa siku kuwa na Rufaa zaidi ya 200+ kulingana na uhaba wa matabibu bingwa ùko kwenye hospitali zetu za wilaya au mikoa.

3. UPOTEVU WA MUDA NA GHARAMA, mfumo huu siyo rafiki kwa sababu unasababisha mtu kutoka sehemu moja kwenda ingine na kwa maana hiyo ni rahisi mtu kutumia wiki mbili kutoka ukerewe hadi BUGANDO MEDICAL HOSPITAL akisubiri kufanyiwa checkup ya jino , kwa wiki hizo akitumia fedha, bila kuzalisha na bado gharama ya matibabu.

NINI KIFANYIKE(SOLUTION).
1. Tubadilike kutoka kwenye Physical letter, twende na kasi ya mabadiliko ya Dunia lengo likiwa ni kupunguza msongamano wa Rufaa, kuwapunguzia Madaktari Rufaa nyingi, kusaidia kupunguza gharama kwa Watanzania ambao wanatumia gharama kubwa kufikia matibabu yao.

2. INTEGRATED AND AUTOMATIVE DIGITAZED MEDICAL REFERRAL system ambayo itafungwa katika level ya wilaya, mkoa, kanda na Taifa , mfumo huu utakuwa na taarifa zote za mgonjwa na taarifa za Hospitali husika, mfano, unamrufaa Mgonjwa kwenda Bugando kumbe Tarehe uliompeleka bugando Daktari husika hatokuwepo kwa muda wa wiki nzima lakini wakati huo Hospitali ya kanda ya Mara inadaktari hisika na hana mzigo wa wagonjwa wengi, unakuta ni rahisi kutoa huduma kuliko kwenda kurundika watu sehemu moja na kwa mrefu.

3. Mfumo huu utapunguza gharama kwa mgonjwa lakini pia utampa muda wa yeye kujipanga kwa ajili ya kusubiri tarehe, muda na gharama za matibabu halisi akiwa nyumbani.

4. Mfumo huu utatambu pia uharaka wa matibabu kwa Mgonjwa kwa maana hiyo mfumo utaruhusu madaktari kushauriana, na kutoa taarifa ambazo ni sahihi na kufanya maamuzi kwa haraka zaidi.
Kuna mifumo ambayo imefaulu na inafanya kazi kwa uhakika, Mfumo wa maabara za LANCET LABORATORIES na Hospitali nyingi za Private kama Agakhan wanamfumo wa referral kutoka hospitali zao... kwa nchi yetu ni rahisi kama taifa likashirikiana na Wadau.

Mwisho japo siyo kwa ùmuhimu kubadili mfumo wa Rufaa ya Matibabu, tutapunguza Vifo vya mama na mtoto, tutapunguza vifo wa wakati wa kujifungua, tutapunguza vifo vya wazee, lakini tutapunguza Mzigo mkubwa kwa madaktari Bingwa ambao ni wachache kulingana na mahitaji.

Naomba kuwasilisha.
View attachment 1856906 #wizarayaafya.
Kumbuka kura yako ni Muhimu.. Naomba unipigie Kura.
Utandawazi, na mabadiliko ya huduma ya Afya ni Uimara na uhakika wa kupunguza vifo vya Mama na mtoto.
 
Back
Top Bottom