Mkuu hujaweka wazi! Uhakiki wa nini tena? Kama matokeo ya hukumu unayo si uyamwage hapa watu tushibe? Kuhamisha kesi naona kama sio dalili nzuri kwa Mnyika. Tuombe Mungu.
hukumu ya mbunge jimbo la ubungo itafanyika katika mahakama kuu, badala ya mahakama ya kazi ya awali. kwa uhakiki wa hilo wasiliana nami kwa namba 0715-37 95 42
umakini wa mnyika bungeni ni kama alivyokuwa slaa,ccm hawapendi hilo so i have a bad feeling concerning today's verdict,democracy can get raped by these money hungry crooked out stupid judges.