CUF ndo chama peke chenye msimamo na ndio kitakacholeta mabadiliko-hadi katiba mpya. Wanachama wake huwa ni watiifu na hujitoa saana ktk maandamano. CHADEMA wanachama wao huwa ni waoga na wakitishwa kidogo tu na polisi huwa hawajitokezi kwa maandamano. "HONGERA CUF KWA MAANDAMANO YA KUWAS rasim ya katiba mpya"