Mabadiliko ya kweli yanaonekana Muhimbili

zionale

Member
Oct 13, 2012
25
38
Wiki tatu zilizopita mtoto wangu alipata ajali mbaya na nikampeleka hospitali binafsi (siitaji) wakasema hawawezi kumtibu kwani hali yake ni mbaya sana na nikapewa rufaa nikaenda M`nyamala na mishowe muhimbili. Nilipofika muhimbili mtoto alipokelewa kwa kasi ya ajabu na madaktari zaidi ya wanne walikuwa wanamhudumia kwa pamoja na kwa kweli baada ya saa moja hali ya mtoto ilianza kutengemaa na baada ya masaa mawili hatari ya kupoteza maisha ilipungua sana ndipo nikaambiwa sasa nianze taratibu za kufungua faili.

Aidha, huduma ya vipimo vya X-ray, CT scan nk ilikuwepo 24hrs na majibu yanatoka hapohapo. Baada ya kutoka emergency nilihamishiwa MOI nako huduma ilikuwa ya kiwango cha juu sana kwa siku zote hadi mtoto alipata nafuu na kuruhusiwa.

Jana ikiwa ni 14 days baada ya kuruhusiwa madaktari wa emergency wamenipigia simu na kuulizia mgonjwa anaendeleaje baada ya kuruhusiwa, changamoto nyingine anapata na maswali mengineyo mengi kuja afya na maendeleo wakashauri hatua za kuchukua.

Huu ni muujiza na kweli MUHIMBILI IMEBADILIKA. Watanzania tutambue kuwa kiongozi mkuu akiwa serious walioko chini wote watabadilika. Nawashauri na wengine mgonjwa anapokuwa serious Muhimbili is the best. Nawaomba muhimbili muendelee na maboresho ya huduma mliyokwishayaanza.

VIVA MAGUFULI
 
Wiki tatu zilizopita mtoto wangu alipata ajali mbaya na nikampeleka hospitali binafsi (siitaji) wakasema hawawezi kumtibu kwani hali yake ni mbaya sana na nikapewa rufaa nikaenda M`nyamala na mishowe muhimbili. Nilipofika muhimbili mtoto alipokelewa kwa kasi ya ajabu na madaktari zaidi ya wanne walikuwa wanamhudumia kwa pamoja na kwa kweli baada ya saa moja hali ya mtoto ilianza kutengemaa na baada ya masaa mawili hatari ya kupoteza maisha ilipungua sana ndipo nikaambiwa sasa nianze taratibu za kufungua faili.

Aidha, huduma ya vipimo vya X-ray, CT scan nk ilikuwepo 24hrs na majibu yanatoka hapohapo. Baada ya kutoka emergency nilihamishiwa MOI nako huduma ilikuwa ya kiwango cha juu sana kwa siku zote hadi mtoto alipata nafuu na kuruhusiwa.

Jana ikiwa ni 14 days baada ya kuruhusiwa madaktari wa emergency wamenipigia simu na kuulizia mgonjwa anaendeleaje baada ya kuruhusiwa, changamoto nyingine anapata na maswali mengineyo mengi kuja afya na maendeleo wakashauri hatua za kuchukua.

Huu ni muujiza na kweli MUHIMBILI IMEBADILIKA. Watanzania tutambue kuwa kiongozi mkuu akiwa serious walioko chini wote watabadilika. Nawashauri na wengine mgonjwa anapokuwa serious Muhimbili is the best. Nawaomba muhimbili muendelee na maboresho ya huduma mliyokwishayaanza.

VIVA MAGUFULI
Shukuru malaika wa mwanao waikua pamoja nae na akawaandaa watu lakini kuna some weeks was having Mgonjwa pale mambo hayakua mazuri bado nyodo bado zipo.So shukuru Mungu tu ndugu ndo kamwokoa.
 
Upinzani pambaneni na hali zenu!don pombe mwachieni apige kazi upinzani c ajabu nyie mmetumwa kwa haya mnayofanya ss acheni kutumika mpeni sapoti don ili nchi izidi kusonga
 
Dah nchi hii jmn acha jana nimeangalia mzee mmoja kaenda chanel ten kuomba msaada wa matibabu ya mwanae dah mtt kiukwel hali yake mbaya ameshindwa gharama za hospital muhimbili anadai laki 7 na mtt hali yake mbaya sana mzee hana uwezo mtt alipata ajali nikisoma maelezo ya hii thread dah nachanganyikiwa sasa je mzee anatumia njia mpya kuomba na sio ya zamani kukaa barabarani pls nyie matajiri acheni utani watu wanakufa kwa kukosa uduma bora andika cha ukwel
 
Muogope Mungu wewe,hicho unachokisema ni uongo mtu,kama ulitoa rushwa sawa, Kuna mtu amekosa huduma ya CT_SCAN kwa kukosa sh100,000 tu ya kulipia
 
Muogope Mungu wewe,hicho unachokisema ni uongo mtu,kama ulitoa rushwa sawa, Kuna mtu amekosa huduma ya CT_SCAN kwa kukosa sh100,000 tu ya kulipia
Hakuna bure, ni lazima tuchangie gharama za matibabu. Ni moja ya sababu za kuifanya MNH ibadilike. Dr mmoja alisema kuwa wengi walikuwa wanakuja coz huduma zilikuwa bure kabisa, mradhi mengine yangetibiwa na hospital za wilaya tu, lakini wengi walifuata huduma za bure huku wakiongeza mlundikano wa watu.
 
Wiki tatu zilizopita mtoto wangu alipata ajali mbaya na nikampeleka hospitali binafsi (siitaji) wakasema hawawezi kumtibu kwani hali yake ni mbaya sana na nikapewa rufaa nikaenda M`nyamala na mishowe muhimbili. Nilipofika muhimbili mtoto alipokelewa kwa kasi ya ajabu na madaktari zaidi ya wanne walikuwa wanamhudumia kwa pamoja na kwa kweli baada ya saa moja hali ya mtoto ilianza kutengemaa na baada ya masaa mawili hatari ya kupoteza maisha ilipungua sana ndipo nikaambiwa sasa nianze taratibu za kufungua faili.

Aidha, huduma ya vipimo vya X-ray, CT scan nk ilikuwepo 24hrs na majibu yanatoka hapohapo. Baada ya kutoka emergency nilihamishiwa MOI nako huduma ilikuwa ya kiwango cha juu sana kwa siku zote hadi mtoto alipata nafuu na kuruhusiwa.

Jana ikiwa ni 14 days baada ya kuruhusiwa madaktari wa emergency wamenipigia simu na kuulizia mgonjwa anaendeleaje baada ya kuruhusiwa, changamoto nyingine anapata na maswali mengineyo mengi kuja afya na maendeleo wakashauri hatua za kuchukua.

Huu ni muujiza na kweli MUHIMBILI IMEBADILIKA. Watanzania tutambue kuwa kiongozi mkuu akiwa serious walioko chini wote watabadilika. Nawashauri na wengine mgonjwa anapokuwa serious Muhimbili is the best. Nawaomba muhimbili muendelee na maboresho ya huduma mliyokwishayaanza.

VIVA MAGUFULI
HONGERA SANA MAGUFULI, Ummy Mwalimu na Kingwangala kwa kazi nzuri MHIMBILI. Hakuna kurudi nyuma. Twende mbele. Hao UKAWA na maandamano na porojo zao hazina tija tena.HAPA KAZI TU! UPINZANI UNAKUFA RASMI NDANI YA MIAKA 2 IJAYO. HAWANA HOJA TENA.
 
Asante sana kwa kututia moyo. Tunafarijika sana mnapotutia moyo kiasi hiki. Asante kwa kutambua mabadiliko tunayopitia na tuna imani tutafika.

Natambua kuna mahali hatufanyi vizuri basi mnaotupa maoni toeni kwa nia ya kuboresha.
Hospitali ya Taifa Muhimbili ni kwetu wote sisi tumepewa tu dhamani ya kuisimamia. Tupo tayari kurekebisha pale tusipoenda vizuri.

Niwapmbe tu wananchi kichangia huduma ili kusudi tupate fedha za kutusaidia kuwahudumia vizuri kuhakikisha kuna dawa za kutosha, vitendanishi na uwepo wa vipimo ili kuondoa usumbufu.

Asante mtoa hoja huwezi amini umezidisha kwa kiasi gani furaha ya sisi watoa huduma.
Wako
Aminiel muhimbili National Hospital
 
Wiki tatu zilizopita mtoto wangu alipata ajali mbaya na nikampeleka hospitali binafsi (siitaji) wakasema hawawezi kumtibu kwani hali yake ni mbaya sana na nikapewa rufaa nikaenda M`nyamala na mishowe muhimbili. Nilipofika muhimbili mtoto alipokelewa kwa kasi ya ajabu na madaktari zaidi ya wanne walikuwa wanamhudumia kwa pamoja na kwa kweli baada ya saa moja hali ya mtoto ilianza kutengemaa na baada ya masaa mawili hatari ya kupoteza maisha ilipungua sana ndipo nikaambiwa sasa nianze taratibu za kufungua faili.

Aidha, huduma ya vipimo vya X-ray, CT scan nk ilikuwepo 24hrs na majibu yanatoka hapohapo. Baada ya kutoka emergency nilihamishiwa MOI nako huduma ilikuwa ya kiwango cha juu sana kwa siku zote hadi mtoto alipata nafuu na kuruhusiwa.

Jana ikiwa ni 14 days baada ya kuruhusiwa madaktari wa emergency wamenipigia simu na kuulizia mgonjwa anaendeleaje baada ya kuruhusiwa, changamoto nyingine anapata na maswali mengineyo mengi kuja afya na maendeleo wakashauri hatua za kuchukua.

Huu ni muujiza na kweli MUHIMBILI IMEBADILIKA. Watanzania tutambue kuwa kiongozi mkuu akiwa serious walioko chini wote watabadilika. Nawashauri na wengine mgonjwa anapokuwa serious Muhimbili is the best. Nawaomba muhimbili muendelee na maboresho ya huduma mliyokwishayaanza.

VIVA MAGUFULI

Muhimbili haijabadilika kiasi hicho. Lile jengo la Jakaya Kikwete ndiyo linaonekana kitu kipya.
Nenda wodi ya watoto, kitanda kimoja watoto hadi watatu/wanne. Hii hospitali ya kujivunia kweli?
 
wapendwa wachangiaji, katika hoja yangu sikuzungumzia gharama nimezungumza huduma tu kwani hapo zamani pamoja na hela yako bado huduma haikuwa nzuri. Kuhsu gharama nilifanya malipo ya kufungua faili, vipimo vya xray na CT Scan pamoja na gharama za kulazwa kule MOI.

All in all mabadiliko kuhusu huduma yapo ila kuhusu gharama no comment nawaachia wao wenyewe.
 
Wiki tatu zilizopita mtoto wangu alipata ajali mbaya na nikampeleka hospitali binafsi (siitaji) wakasema hawawezi kumtibu kwani hali yake ni mbaya sana na nikapewa rufaa nikaenda M`nyamala na mishowe muhimbili. Nilipofika muhimbili mtoto alipokelewa kwa kasi ya ajabu na madaktari zaidi ya wanne walikuwa wanamhudumia kwa pamoja na kwa kweli baada ya saa moja hali ya mtoto ilianza kutengemaa na baada ya masaa mawili hatari ya kupoteza maisha ilipungua sana ndipo nikaambiwa sasa nianze taratibu za kufungua faili.

Aidha, huduma ya vipimo vya X-ray, CT scan nk ilikuwepo 24hrs na majibu yanatoka hapohapo. Baada ya kutoka emergency nilihamishiwa MOI nako huduma ilikuwa ya kiwango cha juu sana kwa siku zote hadi mtoto alipata nafuu na kuruhusiwa.

Jana ikiwa ni 14 days baada ya kuruhusiwa madaktari wa emergency wamenipigia simu na kuulizia mgonjwa anaendeleaje baada ya kuruhusiwa, changamoto nyingine anapata na maswali mengineyo mengi kuja afya na maendeleo wakashauri hatua za kuchukua.

Huu ni muujiza na kweli MUHIMBILI IMEBADILIKA. Watanzania tutambue kuwa kiongozi mkuu akiwa serious walioko chini wote watabadilika. Nawashauri na wengine mgonjwa anapokuwa serious Muhimbili is the best. Nawaomba muhimbili muendelee na maboresho ya huduma mliyokwishayaanza.

VIVA MAGUFULI
Pichisha
 
HONGERA SANA MAGUFULI, Ummy Mwalimu na Kingwangala kwa kazi nzuri MHIMBILI. Hakuna kurudi nyuma. Twende mbele. Hao UKAWA na maandamano na porojo zao hazina tija tena.HAPA KAZI TU! UPINZANI UNAKUFA RASMI NDANI YA MIAKA 2 IJAYO. HAWANA HOJA TENA.

Kwani ukimpongeza JPM lazima upinzani ufe??? mawazo ya hovyo hovyo.
 
Muogope Mungu wewe,hicho unachokisema ni uongo mtu,kama ulitoa rushwa sawa, Kuna mtu amekosa huduma ya CT_SCAN kwa kukosa sh100,000 tu ya kulipia
Kwani CT Scan ni bure nani alikwambia? Unafahamu gharama za kuziendesha hizo machine? Jitahidini kuwa mnafanya utafiti ndiyo mchqngie. Kukosa hela na kukosa huduma ni vitu viwili tofauti. Hakunaga matibabu bure duniani ndugu. Hata selikari inawahimiza kuwakatia bima wazazi au ndugu kwa ajili hiyo. Kama mnataka huduma za bure kwa vipimo vikubwa kiasi hicho lipeni kodi msilalamike. Watanzania hamna shukrani. Pombe anapambana nyie mnambeza. Hapo zamani kabla yake kulikuwa na watu wanakwenda pale na hela lakini machine mbovu na utaandikiwa kwenda kwenye machine ya daktari binafsi na kulipa hela mara kadhaa ya hiyo laki. Lipeni na kama hamtaki nendeni private mjionee bei ya CT scan
 
Naona UZI umelenga kuwapa SIFA WANASIASA & Sio WATAALAMU waliomtibu mwanao.

ILA huduma zikiwa mbovu MWANASIASA anajificha, na MTAALAMU analaumiwa.

Tunarudi kule kule, MIMI kama mtaalamu sioni mantiki ya uzi wako. Nitaendelea kufanya kazi kwa mujibu wa sheria & sio kwa kulamba viatu vya wanasiasa.
 
Kwani CT Scan ni bure nani alikwambia? Unafahamu gharama za kuziendesha hizo machine? Jitahidini kuwa mnafanya utafiti ndiyo mchqngie. Kukosa hela na kukosa huduma ni vitu viwili tofauti. Hakunaga matibabu bure duniani ndugu. Hata selikari inawahimiza kuwakatia bima wazazi au ndugu kwa ajili hiyo. Kama mnataka huduma za bure kwa vipimo vikubwa kiasi hicho lipeni kodi msilalamike. Watanzania hamna shukrani. Pombe anapambana nyie mnambeza. Hapo zamani kabla yake kulikuwa na watu wanakwenda pale na hela lakini machine mbovu na utaandikiwa kwenda kwenye machine ya daktari binafsi na kulipa hela mara kadhaa ya hiyo laki. Lipeni na kama hamtaki nendeni private mjionee bei ya CT scan

Mkuu mtu mweusi,hususani wa Tanzania ,yupo kama kalaaniwa hv,ukimfikiria sana unaweza pata kichaa ukapelekwa psychotic ward kule Mirembe ,

Jana tu Kikwete hakubaki hata na nguo ya ndani ,ila kwa kuwa alikuwa mtu poa tukaona tumepata pa kujifunzia kutukana ,watu walifikia hatua ya kusema tunahitaji dikteta ili tupige hatua,wapo humuhumu,sasa kapatikana mnyosha sheria ,midomo ipo juu kama mbwa wenye vichaa.

Huduma isipokuwepo kelele,ikiwepo hawataki kuchangia ,mwanaume mzima na suruali yake anakuja kulilia vya bure,hii si laana inatuandama.

Hata mwananyamala naona shuka mpya,maboksi ya vifaa tiba walau yanapatikana japo si vyote,to be honest tofauti ipo tena ya wazi

Wao kuwashutumu lumumba buku 7 ilihali nao wanalipwa watumike kama kondomu,poor and shame to them.
 
Back
Top Bottom