Mabadiliko ya kweli yana gharama kubwa, yanahitaji mtu jasiri na mzalendo kweli kweli

Amani Msumari,

Ni lini amewahi kusema akishinda uchaguzi atabana matumizi kwa kutokupandisha mishahara na kuchelewesha malipo ya wataafu ili kuleta maendeleo baadae.

Hata waliposema vyuma vimebana alizuia matumizi ya hilo neno hadi akasema wanaolalamika ni wale waliokuwa wanaishi kwa deal. Hivi hapo ni kusema kweli hata sasa wananchi wakisema maisha magumu anasema Uchumi uko vizuri hata leo amesema watu wamevaa makoti na tai inaonesha maisha yao ni mazuri.

Sasa kama kujibana mbona Nyerere alikuwa muwazi kuwa tujifunge mkanda mwaka 1979 je mbona yeye hasemi ili wananchi waamuwe kama wamchague wafunge mkanda au wachague wengine wenye Sera ya kazi na bata. Aseme sera yake wazi aeleweke ili wananchi wachaguwe wanachokitaka.
 
Ukiwa unakaa nyumbani kwa baba yako halafu mzee akasema mwisho wa kurudi nyumbani Ni saa mbili usiku halafu wewe kisa umeota ndevu ukarudi saa 6 usiku halafu huna maelezo ya kueleweka bsi utacheza na mbu na baridi la usiku nje huko.

Matibabu yoyote ya nje ya nchi yanautaratibu, ukikiuka utaratibu uliowekwa hutakiwi kulalamika. Mfano halisi ni kuwa ili upelekwe nje ya nchi kimatibabu n lazima upite muhimbili pale halafu wao waseme kwa haoa huyu aende nje.
Hivi vitu unavyovijibu vipo juu ya uwezo wako, sana sana unajiabisha na kutaka tuanze kuipuuza hii ID yako, nenda kafundishe mwandiko huko, watoto wa darasa la pili wanakusubiri.
 
Namkubari JPM amefanya mengi ila nakerwa na anavyowabana WAPINZANI najiuliza kwa nini awaogope kiasi hiki?
Mkuu wangu, hata mimi nina hisia na fikira kama zako. Nashangaa sanaa kwakweli
 
Serikali ya awamu ya 5 inamuogopa sana lissu au niseme wapinzani kwa ujumla
 
Hivi vitu unavyovijibu vipo juu ya uwezo wako, sana sana unajiabisha na kutaka tuanze kuipuuza hii ID yako, nenda kafundishe mwandiko huko, watoto wa darasa la pili wanakusubiri
Kufundusha mwandiko watoto wa darasa la pili ni kazi ya heshima na iliyotukuka.

Kuhusu hoja zangu nilizozitoa hapa, nataka nikutoe shaka kuwa ninazielewa kwa kina. Siandiki kitu nisichokifahamu. Ninauelewa mpana wa haya mambo kuliko unavyodhani.
 
Lissu ni jasri atayeongoza mabadiliko ya kweli nchini,magu hana historia ya kuongoza mchakato wa mabadiliko,uraisi ameupata kwa bahati tu.
Mwanzo wa hesabu ni moja! Huo urais unaousema ameupata bahati mbaya - ndio alipoanzia, sasa ni rais bora Africa, kama siyo dunia nzima.
Mwenzio Lissu hajauonja!
 
Samahani mkuu; hivi ndio umejibu hoja kitaalamu?
Mwanamageuko,

Nimefurahi kuona mtu anayependa mjadala wa hoja.

Hata kabla ya kutoa maneno yaliyotafsirika na bunge kuwani kulidharau bunge, CAG wa kipindi hicho Prof. Assad alikuwa tayari ameonesha (kwenye ripoti yake) kuhusu ishu ya T 1.5 kuwa haijulikani ilipo.

Kwanza tukubaliane kuwa kazi ya ukaguzi ni kazi ya kitaalam na ni lazima tuheshimu utaalamu huo. CAG anaposema hajui kiasi cha pesa kiko wapi, hapo hiyo inakuwa ni "utata" kwa tafsiri yangu ya kiswahili isiyo sahihi. Kwa kiingereza ni query (audit query). Hapo haiwi kosa wala haiwi ufisadi. Taasisi husika iliyofanyiwa ukaguzi inapewa muda kutoa maelezo halafu CAG anajiridhisha na kutoa ripoti kamili ikisema iko shida au kuondoa utata huo.

Serikali ilishajibu hoja hiyo na ripoti iko kamili. Hakuna tena utata huo.

He who hires can fire. Zipo kanuni, sheria na taratibu zinazomlinda CAG. Ili kumpa nguvu ya kufanya kazi bill uoga, sheria zinamlinda na sio rahisi kumuondoa kwenye kiti chake. Sheria hizi kwa Tanzania zinalingana na nchi nyingine za jumuiya ya madola. CAG Prof Assad aliteuliwa na Dr. Kikwete na akamaliza muhula wake wa kwanza kipindi hiki cha Rais Magufuli.

Hoja zinazojengwa kuwa Ni lazima amalize vipindi viwili sio kweli. Ukweli ni kuwa Prof. hakutumbuliwa bali alitumikia kipindi chake kwa heshima na Rais akaona aendelee na mwingine. Hoja ya kuwa anastaafu na miaka 65 hii ni pale inapomkuta akiwa ofisini.

Ishu ya Prof ilipata sana nguvu kwasababu wanasiasa waliivalia njuga ili kujiimarisha kisiasa. Watu wengine wakaingia mkenge kufuata mkumbo. Kama kweli ile hela ingekuwa imepigwa Rais Magufuli asingeliachia lipite hivihivi.

Ushauri
Tupende kujifunza kwa kina na kuruhusu vichwa vyetu vifanye kazi badala ya kuongozwa na ushabiki wa vyama na kuamini kila kinachosemwa

Tusiingize siasa kwenye mambo ya kitaalam.

Maswali
Ukiacha Zitto, uliwaona CDM kipindi kile wakiishabikia hiyo ishu kiviiiile? Waliujua ukweli

Uliwahi kumsikia popote Prof Assad akisema hiyo hela imeibwa?

Ulisikia jumuiya ya madola ikisema kuwa Prof Assad aliondolewa kinyume na sheria?

Za kuambiwa changanya na Zako

#2020 kura kwa John
 
Amefanya makubwa katika kipindi cha miaka mitano hii
Acheni habari za kuokoteza na kumpamba mtu kwa mafanikio kidogo sana.

Mafanikio makubwa ya pekee ya Magufuli yapo katika nini?

1) Ukuaji wa sejta ya kilimo umeanguka
2) Ukuaji wa uwekezaji umeanguka
3) Ukuaji wa sekta ya utalii umeanguka
4) Ukuaji wa soko la ajira umeanguka
5) Ukuaji wa mauzo ya nje ya mazao ya kilimo umeanguka
6) Ukuaji wa demokrasia umeanguka
7) Idadi ya km za barabara za lami zilizojengwa awamu hii haujafikia hata 40% ya awamu iliyopita
8) Uwekezaji ulifanyika kwenye sekta ya afya, hospitali zote zilizojengwa awamu hii, katika thamani haufikii hata hospitali moja tu kama ile ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, iliyojengwa awamu iliyopita. Hapo ukiachilia nyingine kama za Mloganzila na ya Benjamin Mkapa
9) Ndege - mwalimu Nyerere alinunua 13 ndege mpya za kisasa
10) Bwawa la umeme - huko nyuma yalijengwa mabwawa kama Mtera, Kihansi na Kidatu
11) Reli - mwalimu alijenga reli ya kisasa kwa wakati wake ya TAZARA
12) Viwanda - wakati wa mwalimu tulikuwa na viwanda vya kila aina, mpaka vya kuunganisha malori aina ya Scania pale Kibaha, kiwanda cha kuunganisha matrekta ya kiwango cha juu kabisa aina ya Valmet, tulikuwa na kiwanda cha baiskeli aina ya swala, tikuwa na vituo mbalimbali vya utafiti na sayansi, n.k.

Sasa hayo makubwa ya ajabu ambayo Maguguli amefanya ambayo watangulizi wake hawakuwahi kufanya ni yapi?

Wewe unaweza kuwa mjinga lakini usiwafanye watu wote wajinga.

Magufuli amefanya machache amvayo ameweza kufanya. Na kwa kweli amefanya pungufu sana kuliko aliyofanya Mwalimu Nyerere, Mkapa na Kikwete.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mjomba siku zote iko hivi.ukiona kitu kinapambwa sana jiulize kulikoni.
Acheni habari za kuokoteza na kumpamba mtu kwa mafanikio kidogo sana.

Mafanikio makubwa ya pekee ya Magufuli yapo katika nini?

1) Ukuaji wa sejta ya kilimo umeanguka
2) Ukuaji wa uwekezaji umeanguka
3) Ukuaji wa sekta ya utalii umeanguka
4) Ukuaji wa soko la ajira umeanguka
5) Ukuaji wa mauzo ya nje ya mazao ya kilimo umeanguka
6) Ukuaji wa demokrasia umeanguka
7) Idadi ya km za barabara za lami zilizojengwa awamu hii haujafikia hata 40% ya awamu iliyopita
8) Uwekezaji ulifanyika kwenye sekta ya afya, hospitali zote zilizojengwa awamu hii, katika thamani haufikii hata hospitali moja tu kama ile ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, iliyojengwa awamu iliyopita. Hapo ukiachilia nyingine kama za Mloganzila na ya Benjamin Mkapa
9) Ndege - mwalimu Nyerere alinunua 13 ndege mpya za kisasa
10) Bwawa la umeme - huko nyuma yalijengwa mabwawa kama Mtera, Kihansi na Kidatu
11) Reli - mwalimu alijenga reli ya kisasa kwa wakati wake ya TAZARA
12) Viwanda - wakati wa mwalimu tulikuwa na viwanda vya kila aina, mpaka vya kuunganisha malori aina ya Scania pale Kibaha, kiwanda cha kuunganisha matrekta ya kiwango cha juu kabisa aina ya Valmet, tulikuwa na kiwanda cha baiskeli aina ya swala, tikuwa na vituo mbalimbali vya utafiti na sayansi, n.k.

Sasa hayo makubwa ya ajabu ambayo Maguguli amefanya ambayo watangulizi wake hawakuwahi kufanya ni yapi?

Wewe unaweza kuwa mjinga lakini usiwafanye watu wote wajinga.

Magufuli amefanya machache amvayo ameweza kufanya. Na kwa kweli amefanya pungufu sana kuliko aliyofanya Mwalimu Nyerere, Mkapa na Kikwete.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni habari za kuokoteza na kumpamba mtu kwa mafanikio kidogo sana.

Mafanikio makubwa ya pekee ya Magufuli yapo katika nini?

1) Ukuaji wa sejta ya kilimo umeanguka
2) Ukuaji wa uwekezaji umeanguka
3) Ukuaji wa sekta ya utalii umeanguka
4) Ukuaji wa soko la ajira umeanguka
5) Ukuaji wa mauzo ya nje ya mazao ya kilimo umeanguka
6) Ukuaji wa demokrasia umeanguka
7) Idadi ya km za barabara za lami zilizojengwa awamu hii haujafikia hata 40% ya awamu iliyopita
8) Uwekezaji ulifanyika kwenye sekta ya afya, hospitali zote zilizojengwa awamu hii, katika thamani haufikii hata hospitali moja tu kama ile ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, iliyojengwa awamu iliyopita. Hapo ukiachilia nyingine kama za Mloganzila na ya Benjamin Mkapa
9) Ndege - mwalimu Nyerere alinunua 13 ndege mpya za kisasa
10) Bwawa la umeme - huko nyuma yalijengwa mabwawa kama Mtera, Kihansi na Kidatu
11) Reli - mwalimu alijenga reli ya kisasa kwa wakati wake ya TAZARA
12) Viwanda - wakati wa mwalimu tulikuwa na viwanda vya kila aina, mpaka vya kuunganisha malori aina ya Scania pale Kibaha, kiwanda cha kuunganisha matrekta ya kiwango cha juu kabisa aina ya Valmet, tulikuwa na kiwanda cha baiskeli aina ya swala, tikuwa na vituo mbalimbali vya utafiti na sayansi, n.k.

Sasa hayo makubwa ya ajabu ambayo Maguguli amefanya ambayo watangulizi wake hawakuwahi kufanya ni yapi?

Wewe unaweza kuwa mjinga lakini usiwafanye watu wote wajinga.

Magufuli amefanya machache amvayo ameweza kufanya. Na kwa kweli amefanya pungufu sana kuliko aliyofanya Mwalimu Nyerere, Mkapa na Kikwete.

Sent using Jamii Forums mobile app
Soma vizuri "Magufuli amefanya makubwa ndani ya miaka mitano"

Ukifanya ulinganifu basi zingatia hilo
 
Back
Top Bottom