Mtini
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 1,478
- 2,301
Jana katika habari ya saa 2 usiku ITV nimeona mmoja kati ya wafanyabiashara wa cement alikalalamika kupanda kwa cement toka 11,000 hadi 15,000. Hii ikiwa inatokana na kiwanda cha dangote kusimama kupisha ukarabati wa kiwanda.
Ni wakati muafaka sasa kuona impact ya uwepo au kutokuwepo kwa dangote kwenye bei za cement. Ili kujua haya naomba kila mwanajukwaa atupe mpya ya cement kutoka eneo alipo
Ni wakati muafaka sasa kuona impact ya uwepo au kutokuwepo kwa dangote kwenye bei za cement. Ili kujua haya naomba kila mwanajukwaa atupe mpya ya cement kutoka eneo alipo