Bururu JF-Expert Member May 21, 2016 877 583 Aug 18, 2017 #1 Mabadiliko ya njia mida hii mjini ni Majanga,Folen kila kona ya Mitaa ya kisutu Posta.
MZEE MKUBWA JF-Expert Member Jun 24, 2017 4,094 11,498 Aug 18, 2017 #2 Mabadiliko huja na changomoto very soon foleni zitakuwa ndoto mitaa hiyo
Mwarukuni JF-Expert Member Nov 28, 2012 369 370 Aug 18, 2017 #3 Kumebadilikaji mkuu? Tujuze, nisijeingia cha kike hela ya kula na wana nikawapa trafick bure.
ElPuto Jefe JF-Expert Member Oct 16, 2015 5,261 19,095 Aug 18, 2017 #4 Nimepita asubuhi nimekuta askari wa barabarani wametapakaa huko nikashindwa kuelewa.. NB; Nilikua natembea kwa miguu, sina gari!!
Nimepita asubuhi nimekuta askari wa barabarani wametapakaa huko nikashindwa kuelewa.. NB; Nilikua natembea kwa miguu, sina gari!!