Mi siku nilipoona kiongozi wa watu wanaoishi na VVU hafu yeye hana, na mwingine katibu wa nini sijui ya watu wenye albinism hafu yeye hana u-albinism nilichoka.Hawa viongozi wa wamachinga ni viongozi wao kweli?
Kiroja zaidi NGO kuwa kwenye jengo moja na ofisi ya Waziri Mkuu!Mi siku nilipoona kiongozi wa watu wanaoishi na VVU hafu yeye hana, na mwingine katibu wa nini sijui ya watu wenye albinism hafu yeye hana u-albinism nilichoka.
Utakuta hadi kwenye vyama vya wanawake kuna viongozi wanaume.
Na haya yanatokea Tanzania peke yake.Mi siku nilipoona kiongozi wa watu wanaoishi na VVU hafu yeye hana, na mwingine katibu wa nini sijui ya watu wenye albinism hafu yeye hana u-albinism nilichoka.
Utakuta hadi kwenye vyama vya wanawake kuna viongozi wanaume.
Usiwachukulie poa,kuna wanao piga pesa ndefu sana kwa sikuNimeshangaa wamachinga kufanya press serena
Hawa jamaa sio tunaowadhaniaNimeshangaa wamachinga kufanya press serena
Kwenye msafara wa mamba kenge hakosagi...Mi siku nilipoona kiongozi wa watu wanaoishi na VVU hafu yeye hana, na mwingine katibu wa nini sijui ya watu wenye albinism hafu yeye hana u-albinism nilichoka.
Utakuta hadi kwenye vyama vya wanawake kuna viongozi wanaume.