Epason
JF-Expert Member
- Nov 9, 2009
- 448
- 38
Wanamsindikiza tuNa hao Polisi wengine waliohamishwa vituo nao wanahusika na nini?
Wanamsindikiza tuNa hao Polisi wengine waliohamishwa vituo nao wanahusika na nini?
Teña atakua kapigia hiyo picha nyumbani kwake,kuna maru maru chiniHuyu aliyepost naye atakuwa ni polisi, hawezi pata nyaraka ya polisi kama ww siyo polisi
amepelekwa kaskazini pemba mbona ww unasema kusini?Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mjini na Magharib Hassan Nassir, 14/05/2018 amebadilishwa kituo cha kazi.
Hassan Nassir ndiye aliyesema kwamba atawafungulia mashtaka ya shambulio la aibu la wale wote watakao wakoholea wanawake watakao wapitia mbele yao.
Kauli ambayo ilileta utata kubwa katika mitandao ya kijamii
Kamanda huyo amehamishwa Mkoa wa Kusini Pemba kwenda kuendelea na kazi katika Mkoa huo ingawa haikuelezwa sababu ya kuhamishwa Hilo.View attachment 779253
Huyu aliyepost naye atakuwa ni polisi, hawezi pata nyaraka ya polisi kama ww siyo polisi
Teña atakua kapigia hiyo picha nyumbani kwake,kuna maru maru chini
Jeshi ni amri moja."Ameamuru"Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mjini na Magharib Hassan Nassir, 14/05/2018 amebadilishwa kituo cha kazi.
Hassan Nassir ndiye aliyesema kwamba atawafungulia mashtaka ya shambulio la aibu la wale wote watakao wakoholea wanawake watakao wapitia mbele yao.
Kauli ambayo ilileta utata kubwa katika mitandao ya kijamii
Kamanda huyo amehamishwa Mkoa wa Kusini Pemba kwenda kuendelea na kazi katika Mkoa huo ingawa haikuelezwa sababu ya kuhamishwa Hilo.View attachment 779253
Kaaazi kweli kweli
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mjini na Magharib Hassan Nassir, 14/05/2018 amebadilishwa kituo cha kazi.
Hassan Nassir ndiye aliyesema kwamba atawafungulia mashtaka ya shambulio la aibu la wale wote watakao wakoholea wanawake watakao wapitia mbele yao.
Kauli ambayo ilileta utata kubwa katika mitandao ya kijamii
Kamanda huyo amehamishwa Mkoa wa Kusini Pemba kwenda kuendelea na kazi katika Mkoa huo ingawa haikuelezwa sababu ya kuhamishwa Hilo.View attachment 779253