ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,235
- 2,123
Wakuu , nilikuwa safarini kwa wiki moja .Sasa nimerudi nimekuta mafuta yangu ya KY Jelly yametumika sana....na pale home nilimwacha kimada wangu na madogo flani . Ushauri wenu wakuu
Mkuu kashaliwaWakuu , nilikuwa safarini kwa wiki moja .Sasa nimerudi nimekuta mafuta yangu ya KY Jelly yametumika sana....na pale home nilimwacha kimada wangu na madogo flani . Ushauri wenu wakuu
kulainisha kiungo chochote kigumu/kikavuMkuu kwan hayo mafuta ww ulinunua kwa matumizi yap?tuanzie hapo kwanza
Sasa mkuu nao c binadamu kama ww wameamua kulainisha na wao viungo vikavu na vigumukulainisha kiungo chochote kigumu/kikavu
Kwahiyo umeamua kujiyangaza