RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,424
Si Wameshapewa Mahakama ya Kadhi? Unataka nini tena
M4C si kwa Ajili ya Wakristo/Waislam pekee ni Kwa WATANZANIA WOTE. Ukisema Mambo ya Waislam yaingizwe hata Wakristo Na Wapagani Wanamambo Yao pia wanataka Yatambulike.
Hatutaki UDINI NA UBAGUZI nchini tunataka Amani kwa Watu wote itakayoletwa na Serikali itakayo tambua Nini Mtanzania anataka Maisha Bora si Mahakama wala Misalaba
M4C si kwa Ajili ya Wakristo/Waislam pekee ni Kwa WATANZANIA WOTE. Ukisema Mambo ya Waislam yaingizwe hata Wakristo Na Wapagani Wanamambo Yao pia wanataka Yatambulike.
Hatutaki UDINI NA UBAGUZI nchini tunataka Amani kwa Watu wote itakayoletwa na Serikali itakayo tambua Nini Mtanzania anataka Maisha Bora si Mahakama wala Misalaba