Mabadiliko Makubwa TUT, RTD, PRT: Kudos Tido Mhando & Team

Kasheshe

JF-Expert Member
Jun 29, 2007
4,694
787
Wanabodi,

Nimesoma kwenye gazeti la Habarileo kama sikosei... March, 26 Rais anatarajiwa kuzindua Tanzania Broadcasting Corporation - TBC.

Mabadilio yafuatayo:- Yanakuja.

TVT
Itakuwa na channel tatu na zitakuwa na majina yafuatayo.

TBC 1 - hii channel ndio exactly TVT ya sasa.
TBC 2
TBC 3


RTD: Redio Tanzania Dar es Salaam
Itaitwa "TBC Taifa"

PRT yaani FM radio ya RTD itaitwa TBC FM

Idhaa za nje etc... zitaitwa TBC international ... ambayo itakuwa inaunganisha kiingereza na kifaransa.

Ukiangalia ukiacha mabadiliko ya majina tu... kuna kila hali kwamba Tido amerudisha heshima ya vyombo hivi vya umma.

Tukumbuke wameshafungua FM station 10, au wanafungua kumi...


Wenye data zaidi karibuni
 
This is a great move! Hope it goes along with making these institutions independent of interference from nasty politicians.
 
..hiyo kazi ilianza hata kabla ya tido.

..wa kuwapongeza zaidi ni wataalamu wa tut/tvt.
 
..hiyo kazi ilianza hata kabla ya tido.

..wa kuwapongeza zaidi ni wataalamu wa tut/tvt.


Well, labda kweli. Lakini hatuwezi kukwepa ukweli kwamba sasa Tido ndio amelifanikisha. Lingeharibika lolote sasa hivi hata kama hakuanzisha yeye lakini tutamvaa. Na leo hii kuna mambo kibao ambayo JK kayakuta lakini ndio hivyo tena tumembea bango. Wanasema uongozi ni jalala unabeba kila kitu, kizuri na kibaya, cha zamani na cha leo. Kwa hili hatuna njia ya kukwepa kumpongeza Bw Tido Danstan Mhando.
 
It's the content that counts...tumeshuhudia TAKURU/PCB "ikiundwa upya" na kuwa TAKUKURU/PCCB lakini it's turned from bad to worse.Kubadili jina pasipo kubadili tabia ni sawa na kupoteza muda.I reserve my compliments until when Tido proves that he learnt something from BBC (and why it's been so mwiba mchungu kwa serikali ya UK).
 
Ukweli utabaki pale pale kwamba mabadiliko ya kweli serikalini, lazima walete watu kutoka private sector au watanzania waliokuwa nje... ili mabadiliko ya kweli yatokee kuliko mtindo wa aliyekuwa mdogo ndiye apande juu...

External forces is critical success factor!
 
Nami pia na reserve compliments zangu mpaka atakapo deliver but so far so good..
 
It's the content that counts...tumeshuhudia TAKURU/PCB "ikiundwa upya" na kuwa TAKUKURU/PCCB lakini it's turned from bad to worse.Kubadili jina pasipo kubadili tabia ni sawa na kupoteza muda.I reserve my compliments until when Tido proves that he learnt something from BBC (and why it's been so mwiba mchungu kwa serikali ya UK).

.......word!
 
Jamani, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni! TVT imebadilika sana over d past 1-2 yrs. Vipindi kama Jambo Afrika/ TZ, This wk in perspective na Taarifa ya Habari r currently d best in in-depth analysis kiasi kwamba kituo flani kilichowahi kuwa juu kinaonekana "cha mtoto"! Ila graphics ndo kidogo bado. I think its a gud move
 
Jamani, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni! TVT imebadilika sana over d past 1-2 yrs. Vipindi kama Jambo Afrika/ TZ, This wk in perspective na Taarifa ya Habari r currently d best in in-depth analysis kiasi kwamba kituo flani kilichowahi kuwa juu kinaonekana "cha mtoto"! Ila graphics ndo kidogo bado. I think its a gud move

kwa wale walioko vijijini
wataipataje hiyo TVT na channel zake 3? na hiyo radio, je inaweza kwend online kama zilivo DW na BBC? au bado itabidi watu wategmee BBC na DW kupata habari za nyumbani? Kuna radio binafsi kama radio maria ambayo ipo online, sasa sijui kwa hili Tido anakabiliana nalo vipi
 
I hope they will follow every aspects of corporation. Kingine ni time ya kuviacha hivyo vyombo vijiendeleze vyenyewe, na visiwe kama another branch ya serikali kuendeleza ubabaishaji.

Kingine nategemea pesa za kujiendesha zitatoka kwenye cormercial advertisement na sio fund za hazina. Ndio maana nilisema i hope vitaendeshwa kwa mwendo na mfumo mzima wa kikampuni.
 
Bado wapo nyuma hadi pale watakapofanikiwa kuweka chanel zao katika satalite za kimataifa na kuweza kuonekana sehemu mbali mbali duniani ,maana wanaweza wakachomekea kwenye HOTBIRD au NILE SAT , Ukilinganisha utaona DJIBOUT ,ERITREA ETHIOPIA na baadhi ya nchi nyingi za Afrika zina Chanel zao katika satalaiti hizo.
 
kwa wale walioko vijijini
wataipataje hiyo TVT na channel zake 3? na hiyo radio, je inaweza kwend online kama zilivo DW na BBC? au bado itabidi watu wategmee BBC na DW kupata habari za nyumbani? Kuna radio binafsi kama radio maria ambayo ipo online, sasa sijui kwa hili Tido anakabiliana nalo vipi

... And news just in= Scientists have just made a great discovery: NO BABY IS BORN WALKING! Kdg kdg, watafika vjjni na kwenye mtandao!
 
Its a good move.. much credit to TIDO..haya ndio mabadiliko tunayotaka tanzania.Kuchapa mzigo
 
Hongera san Tido and team. Hata mimi sasa hiv habari ni meswitch to TVT
Ila angalizo
1. Watendaji wako wengi ni "waswahili" hawako serious. Hawajitumi na kuna chochoko zisizo za msingi. Mtu atanedaje lunch 2hrs. TVT geteni hakuna nidhamu ya kazi ni kile kiofisi cha "biashara" mtendaji anaondoka for 3 hrs wateja wanamsubiri tena wanaoleta pesa??????????????????????????YOU ARE NOT SERIOUS!
Unapiga simu news room unawekwa on hold for 15 minutes kila unayeongea naye....haelewi?????????????????????????
2. Acha upendeleo!Reward people for doing good work. Sio kwa vile naniii ulikuwa naye BBC ndio unamuweka mbele..MBELE ........anatuboa watazamaji.Kama siku zile alivyomyamazisha Marina on Kenya issue.
3. RTD ni chafu kuanzia getini hadi chooni.....
4. Tunataka toll free number/hotline ya kuwasiliana na wewe au emails let people give you advise/comments etc.
 
Kwa mara nyingine tena... .TBC1 wanaacha vituo vingine nyuma kwa ubunifu... naomba wenye access ya hii station... umuangalie taarifa ya habari especially utabiri wa hali ya hewa!
 
Back
Top Bottom