Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,695
- 785
Wanabodi,
Nimesoma kwenye gazeti la Habarileo kama sikosei... March, 26 Rais anatarajiwa kuzindua Tanzania Broadcasting Corporation - TBC.
Mabadilio yafuatayo:- Yanakuja.
TVT
Itakuwa na channel tatu na zitakuwa na majina yafuatayo.
TBC 1 - hii channel ndio exactly TVT ya sasa.
TBC 2
TBC 3
RTD: Redio Tanzania Dar es Salaam
Itaitwa "TBC Taifa"
PRT yaani FM radio ya RTD itaitwa TBC FM
Idhaa za nje etc... zitaitwa TBC international ... ambayo itakuwa inaunganisha kiingereza na kifaransa.
Ukiangalia ukiacha mabadiliko ya majina tu... kuna kila hali kwamba Tido amerudisha heshima ya vyombo hivi vya umma.
Tukumbuke wameshafungua FM station 10, au wanafungua kumi...
Wenye data zaidi karibuni
Nimesoma kwenye gazeti la Habarileo kama sikosei... March, 26 Rais anatarajiwa kuzindua Tanzania Broadcasting Corporation - TBC.
Mabadilio yafuatayo:- Yanakuja.
TVT
Itakuwa na channel tatu na zitakuwa na majina yafuatayo.
TBC 1 - hii channel ndio exactly TVT ya sasa.
TBC 2
TBC 3
RTD: Redio Tanzania Dar es Salaam
Itaitwa "TBC Taifa"
PRT yaani FM radio ya RTD itaitwa TBC FM
Idhaa za nje etc... zitaitwa TBC international ... ambayo itakuwa inaunganisha kiingereza na kifaransa.
Ukiangalia ukiacha mabadiliko ya majina tu... kuna kila hali kwamba Tido amerudisha heshima ya vyombo hivi vya umma.
Tukumbuke wameshafungua FM station 10, au wanafungua kumi...
Wenye data zaidi karibuni