IGPMkuu wewe ndio umenifumbua macho, nasoma tu DCP, SSP, CP lakini sielewi. If you don't mind hem taja vyeo vya hawa jamaa kwa mlolongo wake tafadhali.
Hakuna aliyepanda wala kushuka cheo kwani vyote hivyo hujidhihirisha na vyeo ktk mavazi yao kwa hiyo stahili zao bado ni zilezile (zikiwemo posho rasmi) labda marupurupu ya kimazingira na yale yasiyo rasmi!Wakuuu ufafanuzi hapa nani kashuka nani kapanda
Ungeandika virefu vyake hakika wengi tungefaidika, thanx though!!IGP
CP
DCP
SACP
ACP
SSP
SP
Inspector
Ass. Inspector
chini ya hapo ni wale makuruta na wenye V
Sure majeshini salute kitu gani watu wanaangalia hela unaweza kua ACP ukapewa u-RPC ukapiga hela kuliko aliye ofisini anayekuzidi cheo!RPC ni dili kaka,
Msemaji wa polisi kazi yako ni kusoma magazeti na kutoa matamko tu.
RPC kwa mwaka unaweza jenga ghorofa nje ya mshahara wako
Sure sana mkuu koplo mpelelezi wa makosa ya jinai anapiga hela balaa kuliko ACP aliyeko masijalayap kuna makopro kibao wanapiga mamilioni kuwazidi hata marpc kulingana na maeneo waliko
Hao wote wamekua demoted over.Wakuuu ufafanuzi hapa nani kashuka nani kapanda
SP -superetendent of PoliceIGP
CP
DCP
SACP
ACP
SSP
SP
Inspector
Ass. Inspector
chini ya hapo ni wale makuruta na wenye V
Ungeandika virefu vyake hakika wengi tungefaidika, thanx though!!
SP -superetendent of Police
SSP senior superetendnt of Police
ACP asistant cmisioner of Police
SACP Seniour assistant comisioner of police
DCP deputy comisioner of pilice
CP comisionor of police
IGP
Kuna ishu gani tar 21??Nakuomba umsikilize Tar 21 mwezi huu JPM mwenyewe atajibu hoja hii. Tuwe wavumilivu hadi tar husika
Msangi cheo chake ni kikubwa ukilinganisha na nafasi aliyo nayo. Bila shaka hata mambosasa yupo chini yake
Wanatutangazia sisi wananchi ili tushangilie au vipi? Hayo si mambo yao ya kijeshi?Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amemteua aliyekuwa Msemaji wa Polisi, Barnabas Mwakalukwa kuwa Mnadhimu wa Polisi mkoa wa Pwani
Nafasi yake inachukuliwa na aliyekuwa Mkuu wa Kitengo cha Makosa dhidi ya Binadamu Makao Makuu ya upelelezi Dar, Ahmed Msangi
Msangi anachukua nafasi hiyo ikiwa ni takribani miezi mitatu tangu ahamie Makao Makuu kutoka kuwa Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza
Wanatutangazia sisi wananchi ili watu washangilie au wamkatae? Hayo si mambo yao wenyewe jeshini?Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amemteua aliyekuwa Msemaji wa Polisi, Barnabas Mwakalukwa kuwa Mnadhimu wa Polisi mkoa wa Pwani
Nafasi yake inachukuliwa na aliyekuwa Mkuu wa Kitengo cha Makosa dhidi ya Binadamu Makao Makuu ya upelelezi Dar, Ahmed Msangi
Msangi anachukua nafasi hiyo ikiwa ni takribani miezi mitatu tangu ahamie Makao Makuu kutoka kuwa Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza
Hivi umeombwa usome?Wanatutangazia sisi wananchi ili tushangilie au vipi? Hayo si mambo yao ya kijeshi?
Ingekuwa wananchi wanamchagua RPC, OCD, au mgambo (kama wanavyofanya USA kwa Shereef ingeleta
Wanatutangazia sisi wananchi ili watu washangilie au wamkatae? Hayo si mambo yao wenyewe jeshini?
Kama wananchi wangekuwa ndio wanamchagua RPC OCD au hata mgambo (kama wanavyofanya USA kwa Sheriff) ingeleta maana.
Wangejitangazia wenyewe kupitia internal memo au vijarida vyao. Sisi wananchi tunachotaka ni amani, usalama wa maisha na mali zetu.
Kua wenye nyota moja na mbili wamepanda vyeo? AmaSikutaka kuandika kila kitu kwa imani kuwa GT aliyejua majina yaliyokutwa mezani atajua na yaliyopo mezani pia. Hope, uliona jana!