Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,445
- 3,402
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amemteua aliyekuwa Msemaji wa Polisi, Barnabas Mwakalukwa kuwa Mnadhimu wa Polisi mkoa wa Pwani
Nafasi yake inachukuliwa na aliyekuwa Mkuu wa Kitengo cha Makosa dhidi ya Binadamu Makao Makuu ya upelelezi Dar, Ahmed Msangi
Msangi anachukua nafasi hiyo ikiwa ni takribani miezi mitatu tangu ahamie Makao Makuu kutoka kuwa Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza
Nafasi yake inachukuliwa na aliyekuwa Mkuu wa Kitengo cha Makosa dhidi ya Binadamu Makao Makuu ya upelelezi Dar, Ahmed Msangi
Msangi anachukua nafasi hiyo ikiwa ni takribani miezi mitatu tangu ahamie Makao Makuu kutoka kuwa Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza