Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,688
- 3,395
Mkuu, operations ni pamoja na mazuio ya mikutano, maandamano na aina yoyote ya usimamiaji wa amani. Hizo order mara nyingi hushuka kutoka kwa mkuu wa operations (Chief of operations), japo kuna IGP ambaye ndiye ana maamuzi ya mwisho kwa jambo kufanyika au la.Sisi tulitaka tu aondolewe kama DPP maana wote hawana staha, operation zake zitatusaidia nini?
Kumbuka yeye ndiye mkuu wa operations makao makuu ya polisi nchini, siyo mkoani. Kikubwa tu lazima atasoma muelekea wa uongozi uliopo na kwenda nao.