Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasiasa wa kitanzania hawana malengo maalumu ya kushinda uchanguzi.Wakenya walifanikiwa baada ya kungundua "KANU ILIANZA KUWA DHAIFU KWA KUONDOKEWA NA WANACHAMA WAKE MUHIMU".Hapa Tanzania ni ajabu sana....mnamtenga silaha kama Lowassa?. Kwanza mshukuru sana ccm kumkata huyu bwana...Lowassa kama angepitishwa na ccm hakika Upinzani/ukawa msinge muweza hata kidogo.Unganisheni nguvu muondoe ccm.Lengo kuu iwe ni kuondoa ccm bila kuangalia unadhifu wa askari.
Faida ya LOWASSA KUJA UKAWA NI KUBWA SANA.AU mnagombea vyeo?kwanza unganisheni nguvu mshinde.
Wito wangu kwa DR.SLAA TOKA ULIPO NA SEMA LOWASSA TOSHA....TWENDE MBELE.
Uloi nga mâché68;13480334 said:UHAROOO! Unafikiri kwa ma.... Tangu lini machinga wakapiga kura! Jidanganyeni tu. CCM haiwezi kung'olewa na mtu mmoja mwenye kupania kwenda IKULU kwa gharama yoyote
Nafanya mapitio tuu.
Wanabodi,
Ukipiga hesabu ya jumla ya ruzuku yote ambayo Chadema imekuwa ikipokea, na kulinganisha ruzuku hiyo imefanyia nini, utakubaliana na mimi, kuwa fedha hiyo, ingetosha kabisa kujenga jengo jingine kwenye eneo la kutosha. Hali hii imetokana na upangaji mbovu wa vipaumbele vyake, hali iliyopelekea matumizi mabovu ya ruzuku, kama yalivyofafanuliwa kwenye ripoti ya CAG.
Pasco
Source ya Taarifa hii ni observation yangu binafsi.
NB. Pasco wa jf, sio mwanachama wa chama chochote cha siasa, hajawahi kujiunga na chama chochote cha siasa, sio mfuasi, mshabiki wala mkereketwa wa chama chochote au mwanasiasa yoyote, ila kuna baadhi ya wanasiasa ambao ninawakubali sana akiwemo Edward Lowassa. Ila sijawahi kuwa team Lowassa wala kuhudhuria tukio lolote lililomhusu Lowassa, wala sina mpango wowote, wa kumfuata yoyote, popote, kazi yangu ni to tell nothing but the truth, with objectivity, impartiality and balance from all sides!.
Nafanya mapitio tuu.
P.
Makuu Ntobi kuna hii hojaPasco,
Kama huelewi kitu ni bora kuuliza, we ni mwandishi mkongwe, FYI makao makuu ya CHADEMA si nyumba za kupaga, hizo ni mali za CHAMA toka 2012.
Na pia hakuna mpango wa kuhama, lengo ni kuitoa CCM madaraka si kuwa na HQ ya kifahari
Naomba urejee utueleze ukweli.View attachment 463874
Mmiliki wa nyumba inayotumika kama ofisi ya CHADEMA Makao Makuu iliyoko mtaa wa Ufipa Kinondoni Manyanya ametoa notisi ya siku 14, kwa chama hicho kuhama katika nyumba yake kutokana na kukiukwa kwa mkataba wa malipo na upangishwaji.
Hatua hiyo inakuja baada ya mmiliki huyo kujaribu mara kadhaa kutuma barua kwenda kwa uongozi wa juu wa chama hicho bila ya mafanikio kwa kujibiwa kua chama hakina hela.
Chama hiko kimepewa hadi tarehe 9 kiwe kimeachia ofisi hiyo ili apewe mpangishaji mwingine.
HAHaUtaacha lini kusoma magazeti ya udaku?
MhhhLowassa....Chademaaa, Ukawaaaaa....yaani tunabadili gia juu kwa juu...yaani Ukawa wamecheza game hili kama MESSI VILE... maana ushindi wa kishindo ni saa 2 asubuhii...
Maskini CCM hawa hawajui nn kinaendelea, wako ktk coma...butwaa...wanakanana wenyewe kwa wenyewe...daahh..!!
Unasemaje weweEti magufuli ndio anapambana lowasa,kama mm ni ningekuwa magufuli ningejitoa nikae pembeni nimshabikie lowasa
Pasco,
Kama huelewi kitu ni bora kuuliza, we ni mwandishi mkongwe, FYI makao makuu ya CHADEMA si nyumba za kupaga, hizo ni mali za CHAMA toka 2012.
Na pia hakuna mpango wa kuhama, lengo ni kuitoa CCM madaraka si kuwa na HQ ya kifahari
Mkuu Emanuel Ntobi, ukweli ni upi?.Habari wakuu,
Leo Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Amesema Makao Makuu ya CHADEMA Wamepanga na hawalipi Kodi hivyo, Mwenye nyumba kila siku anashinda Ofisini kwake kuomba amsaidie kudai deni la Nyumba. Alimwambia nikiwadai wataingiza mambo ya Siasa.
View attachment 1297449
Mkuu Emanuel Ntobi, ukweli ni upi?.
Kiukweli hii ni aibu!.
P
Mkuu majengo mawili yamechukuliwa eneo moja.... Moja liliuzwa toka hiyo 2012 hilo jingine halikuuzwa sababu mmiliki aligoma kuuza. Sasa usichanganye issue ya jengo B na Jengo kuu yaani A ukaconclude kuwa yamepangishwaMkuu Emanuel Ntobi, ukweli ni upi?.
Kiukweli hii ni aibu!.
P
Chaguzi za Tz bado sio kipimo halisi cha nguvu ya Lowassa na Seif kwa obvious reasons. Ila kwa kilichotangazwa na NEC ilikua faida kwa CHADEMA maana iliweza ongeza kura maeneo mengi maana kiukweli Magufuli was a strong candidate na bila Lowassa wangeweza pata shida sana kueleweka.Nafanya tuu a quick compare and contrast ujio wa Lowassa kujiunga Chadema na yale mafuriko ya watu wake, na kupima alileta nini na sasa ameondoka ameacha nini, na kulinganisha huu ujio wa Maalim Seif ACT, amekuja na nini, ili kuwaanda kisaikolojia Wana ACT original, wasishangilie sana na kujisahau, mgeni apokelewe kwa mikono miwili, na zawadi zake zipokelewe, ukiwemo ule mswala mzuri wenye nakshi nakshi, wa kuswalia, ila nawashauri ile mbachao yao wanayoiswalia siku zote wasiitupe jumla kwa kanuni ya "usiache mbachao kwa mswala upitao" siku mgeni akiondoka, atabeba na mswala wake, hivyo kulazimika, kuirudia mbachao yao.
Na hata kwa kulinganisha utamu wa embe dodo na dafu, kiukweli embe ni tamu zaidi, lakini ni muhimu "usidharau dafu, embe tunda la msimu".
P