Elections 2015 Mabadiliko Chanya ya Ujio wa Lowassa: CHADEMA Kuhama Ufipa!, Kuwa Makao Yake, Kituo cha TV na Redio!

P. akiona Uzi huu anaingia chumbani analiaaaa akimaliza anafuta machozi na kuja JF kushusha nondo za "kwa naslahi ya taifa".
Kwa nini analia? Anakumbuka wakati huo alikuwa na ndoto ya kuwa mkurugenzi wa Gerson wa magogoni
Mkuu Chakaza, amini nakuambia mimi sijawahi kuwa Team Lowassa, na ni kweli safu iliishapangwa naijua na mimi sikuwemo, ila ni watu wangu, hivyo angeingia, kwa upande wangu ni matenda tuu ya serikali, tenda kuu ya kwanza ni consultancy ya kuanda Communication Strategies za MDAs, kila moja is TZS 50M. ila inakuwa inflated to TZS 100M. for kicks backs.

Sasa ni kweli nalia maana kale ka PPR kaliajiri watu 20 kakipanga full house ya NHC pale Mkwepu for rent ambayo ni mshahara wa DC!. Lakini baada ya kuingia Poti, tenda za Saba Saba na Nane Nane zimefutwa, nimepunguza wafanyakazi 15!, tumebaki 5!. Ofisi imehamia Posta House kwenye a single room!. Uchumi wa Magufuli: Sekta Binafsi ina-Suffer. Yalianza Maduka, Yakafuata Mashirika, Sasa ni Zamu ya Media Ina-suffer

Kiukweli tunaisoma number!, next week ni X-mass up to now hakuna hata dalili, this might be the first Christmas ya menu ya ugali maharage mlo mmoja kwa siku, usiku chai kavu, boxing day kitafunio muhogo wa kuchemsha!.
Hiki ni kishindo cha Awamu ya ...

P
 
Mkuu majengo mawili yamechukuliwa eneo moja.... Moja liliuzwa toka hiyo 2012 hilo jingine halikuuzwa sababu mmiliki aligoma kuuza. Sasa usichanganye issue ya jengo B na Jengo kuu yaani A ukaconclude kuwa yamepangishwa

NB: Wewe kama muandishi ''credible'' unapaswa uwe unatafiti kabisa kwa kufika ufipa na kurudi na majibu sio na wewe unakuja na propaganda kuuliza humu wakati ww ndio unapaswa kuhabarisha umma sio kuja kuuliza tena.

Ni lini Tanzania tutakuwa na waandishi serious kama wa KTN na NTV??
Mkuu Zitto Jr. Kwanza nikupongeze, usemayo ni kweli, mimi kama mwandishi wa habari I should've known better na sio kuuliza humu, tena mimi ni mwandishi wa IJ, lakini very unfortunately nime specialize kwenye kuandika developmental news only.

Kwa kutofuatilia mambo ya Chadema na kuyaandika ndio uzalendo halisi wenyewe.
Mfano najua ile 2006 Chadema iliwasilisha ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa mabadiliko ya katiba, ile iliyonyofolewa kile kipengele cha ukomo wa uongozi, Chadema wenyewe wanasema ni katiba mpya, kule kwa Msajili ni mabadiliko ya katiba. Unajua ningefuatia hili kwa IJ unajua nini kingetokea kwa Chadema. Tuhuma Hii: CHADEMA kendeshwa kwa Katiba "Fake" ikithibitishwa, CHADEMA inaweza kufutwa

Ile video ya Rwakatare was bonafide genuine, ningeiandikia IJ unajua nini kingetokea kwa Chadema?. Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Kufutwa Kwa Mujibu wa Katiba!... Endapo ...!

Hata kutimuliwa kwa ZZK, alikuwa ni NKM, kwa mujibu wa katiba ya Chadema, mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti, Katibu Mkuu na NKM, ni Bazara Kuu la Chadema, CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kukifanya ilicho kifanya?.

Kiukweli kuna madudu ya ajabu yanafanyika ndani ya vyama kwa kutofuatilia na kuyaibua ndio uzalendo wenyewe, sasa mimi ndio wa kufuatilia nikachunguze kama Chadema imepanga pale Ufipa au imenunua, Chama kinachopokea bilioni 3 kila mwaka inunue jengo halafu kwa miaka 10 usibadili hata kitasa zaidi ya kuretouch tuu painting!.

Mambo mengine waachieni wenyewe!
P
 
Mkuu majengo mawili yamechukuliwa eneo moja.... Moja liliuzwa toka hiyo 2012 hilo jingine halikuuzwa sababu mmiliki aligoma kuuza. Sasa usichanganye issue ya jengo B na Jengo kuu yaani A ukaconclude kuwa yamepangishwa

NB: Wewe kama muandishi ''credible'' unapaswa uwe unatafiti kabisa kwa kufika ufipa na kurudi na majibu sio na wewe unakuja na propaganda kuuliza humu wakati ww ndio unapaswa kuhabarisha umma sio kuja kuuliza tena.

Ni lini Tanzania tutakuwa na waandishi serious kama wa KTN na NTV??
Kuna majengo mawili yapi hapo Ufipa?. Lipi limenunuliwa?!.
P
Pasco,
Kama huelewi kitu ni bora kuuliza, we ni mwandishi mkongwe, FYI makao makuu ya CHADEMA si nyumba za kupaga, hizo ni mali za CHAMA toka 2012.

Na pia hakuna mpango wa kuhama, lengo ni kuitoa CCM madaraka si kuwa na HQ ya kifahari
Makuu Ntobi kuna hii hoja
View attachment 463874

Mmiliki wa nyumba inayotumika kama ofisi ya CHADEMA Makao Makuu iliyoko mtaa wa Ufipa Kinondoni Manyanya ametoa notisi ya siku 14, kwa chama hicho kuhama katika nyumba yake kutokana na kukiukwa kwa mkataba wa malipo na upangishwaji.

Hatua hiyo inakuja baada ya mmiliki huyo kujaribu mara kadhaa kutuma barua kwenda kwa uongozi wa juu wa chama hicho bila ya mafanikio kwa kujibiwa kua chama hakina hela.

Chama hiko kimepewa hadi tarehe 9 kiwe kimeachia ofisi hiyo ili apewe mpangishaji mwingine.
Naomba urejee utueleze ukweli.

Au mwenye nyumba aliuza sasa kasahau, au Chedema iliingizwa mjini kuuziwa na asiye mmiliki, au tulidanganywa tuu humu JF! .

Paskali
 
Mkuu Chakaza, amini nakuambia mimi sijawahi kuwa Team Lowassa, na ni kweli safu iliishapangwa naijua na mimi sikuwemo, ila ni watu wangu, hivyo angeingia, kwa upande wangu ni matenda tuu ya serikali, tenda kuu ya kwanza ni consultancy ya kuanda Communication Strategies za MDAs, kila moja is TZS 50,000 ila inakuwa inflated to TZS 100,000 for kicks backs.

Sasa ni kweli nalia maana kale ka PPR kaliajiri watu 20 kakipanga full house ya NHC pale Mkwepu for rent ambayo ni mshahara wa DC!. Lakini baada ya kuingia Poti, tenda za Saba Saba na Nane Nane zimefutwa, nimepunguza wafanyakazi 15!, tumebaki 5!. Ofisi imehamia Posta House kwenye a single room!.


Kiukweli tunaisoma number!, next week ni X-mass up to now hakuna hata dalili, this might be the first Christmas ya menu ya ugali maharage mlo mmoja kwa siku, usiku chai kavu, boxing day kitafunio muhogo wa kuchemsha!.
Hiki ni kishindo cha Awamu ya ...

P
Ndio maana tunasema 2020 jamaa lazima tushikamane tumuondoe. Unadhani wale 15 waliopoteza kazi PPR unaweza kuwashawishi kuwa bombardier ni bora kuliko ajira zao? Hizo kura 75% zilizopotea PPR ndio zimepote kila kampuni, mitaani, watumishi wa umma. Jee hajaanguka tuu?
 
Mkuu Zitto Jr. Kwanza nikupongeze, usemayo ni kweli, mimi kama mwandishi wa habari I should've known better na sio kuuliza humu, tena mimi ni mwandishi wa IJ, lakini very unfortunately nime specialize kwenye kuandika developmental news only.

Kwa kutofuatilia mambo ya Chadema na kuyaandika ndio uzalendo halisi wenyewe.
Mfano najua ile 2006 Chadema iliwasilisha ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa mabadiliko ya katiba, ile iliyonyofolewa kile kipengele cha ukomo wa uongozi, Chadema wenyewe wanasema ni katiba mpya, kule kwa Msajili ni mabadiliko ya katiba. Unajua ningefuatia hili kwa IJ unajua nini kingetokea kwa Chadema?.

Ile video ya Rwakatare was bonafide genuine, ningeiandikia IJ unajua nini kingetokea kwa Chadema?.

Hata kutimuliwa kwa ZZK, alikuwa ni NKM, kwa mujibu wa katiba ya Chadema, mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti, Katibu Mkuu na NKM, ni Bazara Kuu la Chadema, CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kukifanya ilicho kifanya?.

Kiukweli kuna madudu ya ajabu yanafanyika ndani ya vyama kwa kutofuatilia na kuyaibua ndio uzalendo wenyewe, sasa mimi ndio wa kufuatilia nikachunguze kama Chadema imepanga pale Ufipa au imenunua, Chama kinachopokea bilioni 3 kila mwaka inunue jengo halafu kwa miaka 10 usibadili hata kitasa zaidi ya kuretouch tuu painting!.

Mambo mengine waachieni wenyewe!
P
Mkuu Pascal Mayalla you are better than this.
1. Hayo ya Lwakatare mahakama ilimkuta haina hatia so hiyo video haina faida yeyote.

2. Mabadiliko ya katiba iwe Katiba mpya msajili knows better angekua amekifuta. Nachofahamu katiba ya kwanza ibara nyingi tu zilibadilishwa maana maoni yalikusanywa nchi nzima sasa sielewi kwanini unakazania Kipengele fulani kilifutwa!! While siku katiba inazinduliwa Mnyika na Baregu walielezea kabisa kuwa maoni mapya ndio yamezingatiwa kwahyo hakuna kilichofutwa bali ni maoni ya wananchama yaliwekwa ambayo haya kuinclude ukomo wa hiyo nafasi.

3.ZZK unaona kaonewa ila mahakama haikuona hilo??. Je ina maana Jaji hajui kanuni kuliko wewe?? ZZK alipeleka kesi akaanguka proving kuwa CHADEMA haikufanya kosa lolote la kisheria kwenye kumvua madaraka.

Bottom line ni kwamba tupende kutafiti ndio tuibue mada kuuliza humu wakati unajua viongozi wa chama hawana account siku hzi ni kusambaza propaganda. Next time ukilalamika kuwa ruzuku inafujwa then njoo hapa na book of accounts za chadema uone expenditure zake zimefujwa wapi sio na ww kuuliza inageuka propaganda tu.

NB: Wewe kuogopa kufanya IJ hayo ni matatizo ya waandishi wengi wa TZ. Hamko serious kabisa na kazi mmejaa uoga, hta siku ile mmeitwa ikulu ni wewe pekee ndio ulikuwa serious wengine wote waoga!! So kama hukufanya IJ kuimaliza CHADEMA hiyo ni shida yako lakini ukweli utabaki kuwa propaganda hazitakiwi kwa waandishi mfanye tafiti ndio mlete mada humu.

NB: Kumradhi kwa lugha kali, but you always have my respect
 
Kuna majengo mawili yapi hapo Ufipa?. Lipi limenunuliwa?!.
Mkuu nimekupa clue wwe kma muandishi msomi kampigie simu hata mrema utapata majibu hayo majengo mawili tofauti yake ni ipi??

Hili swali hata tumaini makene amewahi lijibu humu kwenye nyuzi yako back in 2013 sielewi kwanini unaliibua tena kana kwamba ni jambo jipya!!
 
Mkuu Pascal Mayalla you are better than this.
1. Hayo ya Lwakatare mahakama ilimkuta haina hatia so hiyo video haina faida yeyote.
Mahakama ni mahakama na IJ ni IJ, kuna matukio kibao wahalifu wanashinda kesi kwa sababu mahakama inatumia the benefits of doubt, baada ya kujiridhisha ile video ni bonafide genuine, IJ inge establish the motive behind, japo kusingekuwa na kesi ya kimahakama, Chedema ingehukumiwa na media trial which is worse than court trial. Hivyo kutofanyika kwa IJ ya tukio hili ndio uzalendo wenyewe kwa Chadema, na hata kesi ya Kagenzi, itaishia kufutwa tuu kwa kukosekana ushahidi ila wote tumeshuhudia makovu ya torture kwenye torture chambers za watesi wake, halafu when karma hits back to the perpetrators, no one remembers anything watu wanabaki kushangaa na kujiuliza why?. Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau, Jiandaeni kwa "Karma!"

P
 
Mkuu Pascal Mayalla you are better than this.

2. Mabadiliko ya katiba iwe Katiba mpya msajili knows better angekua amekifuta. Nachofahamu katiba ya kwanza ibara nyingi tu zilibadilishwa maana maoni yalikusanywa nchi nzima sasa sielewi kwanini unakazania Kipengele fulani kilifutwa!! While siku katiba inazinduliwa Mnyika na Baregu walielezea kabisa kuwa maoni mapya ndio yamezingatiwa kwahyo hakuna kilichofutwa bali ni 'JKYU⁶maoni ya wananchama yaliwekwa ambayo haya kuinclude ukomo wa hiyo nafasi.
Msingi wa usajili wa chama chochote ni katiba yake na hata Chadema wakiamua kuwa na life president hakuna tatizo, ila baada ya ile katiba ya kwanza kuwasilishwa kwa Msajili, kila kipengele kilichokuwepo kiliwekwa for a reason, mabadiliko yoyote kwenye katiba mama yanakuwa lodged kama marekebisho ya katiba, sasa ili kukifuta kifungu chochote kilichokuwepo kabla, lazima kila kipengele kijadiliwe na minutes zionyeshe kiliamuliwa kiondolewe, lakini kipengele cha ukomo kilichokuwepo kabla tena kiliwekwa kwa makusudi kabisa for a good reason ya kuanda succession plan, hakikujadiliwa popote, kipengele chochote ambacho hakikujadiliwa kinapaswa kuwa reflected kwenye katiba mpya, lakini kipengele hicho, hakikujadiliwa kuwa kiuondolewe, na kwenye katiba mpya, hakikuwepo!.

Haiwezekani kitu kilichokuwepo kabla tena kwa malengo mahsus, halafu kikajiyeyukia tuu into thin air kwa excuse kuwa ni katiba mpya, that is a lame excuse.

Ukimuondoa Msajili Jaji Jaji George Liundi (RIP), wasajili waliofuatia, Jaji Tendwa na huyu aliyepo sasa, hakuna kitu kabisa pale, basi tuu wapo ilimradi wapo tuu but they were/are almost nothing!.
Kama ingetokea Chadema ingeshinda ile 2015, it would have been a disaster!. Elections 2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!
P
 
Nimemuona P kwenye mada za CHADEMA. Utabiri wa mabaya. P ulituasa tuepuke prophecy of doom. Tusiwaase wengine huku sisi tunatenda.

Hakuna kosa kubwa tutalifanya kama kuombea CHADEMA ife. Hiyo laana haitakaa ituache, itakula nasi sahani moja. Kama tulikubali NCCR na CUF vinyongwe, tusikubali haya kwa CHADEMA.

Makala nyingi za kuiponda CHADEMA na kukiombea mabaya hata kama sio sehemu ya zile project zina ukakasi na kuacha maswali mengi kuliko majibu.

Je, kuna personal issues nje ya politik?

Jr
Mkuu Mshana Jr, kwanza heshima mbele, hakuna mtu yoyote anayeiombea Chadema ife, kosa langu ni kuwa mkweli too much.

Humu jf tuna members wa aina 3, tuna
  1. Simple minds, discuss people, wao badala ya kujadili hoja iliyo mezani, hawa watamjadili mtoa hoja.
  2. Ordinary minds, discuss events, hawa watadili matukio, nini kimetokea etc
  3. Great minds discuss ideas, hawa watajadili hoja iliyo mezani.
Hivyo naomba keep on being free, kujadili watu, matukio na hoja, katika mabandiko yangu, ukiweza kujibu hoja, nitashukuru, ila hata ukinijadili, sikulaumu na likes nakutwangia.
Ukipata muda karibu ujibu hoja za bandiko hili.

Asante
P
 
Ndugu watanzania wenzangu,
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kutupa uzima na kuiona siku hii ya leo.

Kwa kifupi sana,naamini jana wote tulijionea hali halisi ya uzinduzi wa kampeni za CDM, na hii imetudhihirisha kuwa mzee Lowassa ilikuwa namba nyingine kabisa, na hatakuja kutokea mtu mwingine wa mvuto wa kisiasa kama mzee yule katika chaguzi za hivi karibuni. Katika nyuzi zangu, niliwahi kudokeza kuwa Mh. Tundu Lissu hawezi kufikia hata nusu ya mzee Lowassa, yule mzee alikuwa si mtu wa kawaida.

Aidha, kwa mliokuwa mkifuatilia kampeni za 2015, uzinduzi wa kampeni za ukawa pale jangwani, naamini ulipeleka taharuki kubwa sana kwa CMM, lakini kwa nilichokiona jana, basi nadiriki kusema kuwa, uzinduzi huu umepeleka taarifa ya ushindi mkubwa sana kwa CCM na kuwaona CDM safari hii mko DHAIFU MNO AND POORLY ORGANIZED.

Kosa kubwa kwa CDM jana, wamekosa kuchukulia ile siku ya jana kuwa very seriously, huku wakishindwa kujua kuwa NYUMBA IMARA INATOKANA NA MSINGI IMARA, THAT IS, FIRST IMPRESSION MATTER A LOT.

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Kiukweli Lowassa aliwasaidia sana Chadema, wasio na shukrani ndio wanabeza.
Ukweli wa umuhimu umeonekana jana siku ya kwanza ya kampeni, Chadema hawana sera, hoja wala ilani!.

Kiukweli Chadema wamshukuru sana Lowassa!. Kura watakazo ambulia uchaguzi huu, watamkumbuka Edward Lowassa!.
P
 
Kiukweli Lowassa aliwasaidia sana Chadema, wasio na shukrani ndio wanabeza.
Ukweli wa umuhimu umeonekana jana siku ya kwanza ya kampeni, Chadema hawana sera, hoja wala ilani!.

Kiukweli Chadema wamshukuru sana Lowassa!. Kura watakazo ambulia uchaguzi huu, watamkumbuka Edward Lowassa!.
P
Lakin ikiwa ccm inajiamini sana kama mnavyoifagilia kwanini nguvu ni kubwa ya kujitangazia us hindu na kuwaengua watu?
Maana yake hamnauwezo wakushindana badala yake ni nguvu za ziada kutoka neccm,police na vyombo vyengine vya dola.

Sera za ccm ni zipi?

Wasanii 100?
 
1598690400361.png


Its time for a holiday.
Germany Agents lands in Tanzania to assess Covid-19 Impact
 
Kiukweli Lowassa aliwasaidia sana Chadema, wasio na shukrani ndio wanabeza.
Ukweli wa umuhimu umeonekana jana siku ya kwanza ya kampeni, Chadema hawana sera, hoja wala ilani!.

Kiukweli Chadema wamshukuru sana Lowassa!. Kura watakazo ambulia uchaguzi huu, watamkumbuka Edward Lowassa!.
P
Mkuu, suala hili watu waufipa hawalioni, ila tuonao mbali, tuliliona hali hii na jana ndo ikadhihirika. Numbers always never lie
 
Lowasa alipeleka vitu viwili vikubwa na Muhimu katika Siasa,

Umaarufu na Fedha.

Lisu ana story yake tu ya Risasi ambayo ndiyo kete yake ya pekee.

Lisu hawezi siasa za hoja nzito nzito.

Jana kuweka pembeni hotuba yake aliyosema kaiandika na kubeba hoja ya kuenguliwa wagombea wao halikuwa Jambo la bahati mbaya Bali ni calculation zao baada ya kuona hotuba ile isingempa Kiki haswa katika siku muhimu kama ile.

Ukimuweka lisu pembeni ya like shambulizi la Risasi Hana cha ziada, Hana fedha Wala umaarufu kumzidi mgombea wa CCM.

Lisu anapigwa na hata amini kura atazopata.

Watch this space.
 
Lowasa alipeleka vitu viwili vikubwa na Muhimu katika Siasa,

Umaarufu na Fedha.

Lisu ana story yake tu ya Risasi ambayo ndiyo kete yake ya pekee.

Lisu hawezi siasa za hoja nzito nzito.

Jana kuweka pembeni hotuba yake aliyosema kaiandika na kubeba hoja ya kuenguliwa wagombea wao halikuwa Jambo la bahati mbaya Bali ni calculation zao baada ya kuona hotuba ile isingempa Kiki haswa katika siku muhimu kama ile.

Ukimuweka lisu pembeni ya like shambulizi la Risasi Hana cha ziada, Hana fedha Wala umaarufu kumzidi mgombea wa CCM.

Lisu anapigwa na hata amini kura atazopata.

Watch this space.
Katika yote haya uliyoyasema, mkuu uko sahihi, ila wakija wakuambia Lumumba b7
 
Lakin ikiwa ccm inajiamini sana kama mnavyoifagilia kwanini nguvu ni kubwa ya kujitangazia us hindu na kuwaengua watu?
Maana yake hamnauwezo wakushindana badala yake ni nguvu za ziada kutoka neccm,police na vyombo vyengine vya dola.

Sera za ccm ni zipi?

Wasanii 100?

Unaona alichofanya JPM tangu aingie madarakani, sio Watanzania tu bali hata mataifa ya nje ya Tanzania yanakubali jinsi JPM anavyofanya mambo yake na kuondoa makando kando yaliyokuwa yanawachelewesha Watanzania upiga hatua. kama wewe tu tena unayeishi bongo huioni hilo subiri mtume baada ya miaka mia aje akusaidie hakuna zaidi ya hilo.

Wasanii 100 ni Watanzania ulitaka nani aje kwenye shamrashmra za mafanikio ya awamu ya 5? JFYI Wasanii wengi wameweza kujiongezea kipato kikubwa katika awamu hii zaidi ya wakati mwingine wowote tangu Tanzania iwe huru, ukitilia maanani hivi sasa ni wakati wa digitali wewe hupendi?
 
Unaona alichofanya JPM tangu aingie madarakani, sio Watanzania tu bali hata mataifa ya nje ya Tanzania yanakubali jinsi JPM anavyofanya mambo yake na kuondoa makando kando yaliyokuwa yanawachelewesha Watanzania upiga hatua. kama wewe tu tena unayeishi bongo huioni hilo subiri mtume baada ya miaka mia aje akusaidie hakuna zaidi ya hilo.

Wasanii 100 ni Watanzania ulitaka nani aje kwenye shamrashmra za mafanikio ya awamu ya 5? JFYI Wasanii wengi wameweza kujiongezea kipato kikubwa katika awamu hii zaidi ya wakati mwingine wowote tangu Tanzania iwe huru, ukitilia maanani hivi sasa ni wakati wa digitali wewe hupendi?
Ah kumbe basi nguvu za dola zinahaja gani?
 
Back
Top Bottom