Habarindiyohiyo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 263
- 13
Mabadiliko CHADEMA Makao Makuu: Mwikabe aula, Mnyika atoswa
Mabadiliko yafanywa CHADEMA Makao makuu, baada ya kujitoa CCM Mwita Mwikabwe abahatika kwa kuteuliwa mkurugenzi wa sera ya utafiti. Katika utuezi huo, John Mnyika ametoswa kuwa mkurugenzi wa Vijana na nafasi yake imechukuliwa na Halima Mdee(Mbunge wa Viti Maalum). Wengine waliokumbwa na mabadiliko hayo ni Regia Mtema, aliyetolewa uafisa vijana na nafasi yake kuchukuliwa na Ali Chitanda. Regia ameteuliwa kuwa Afisa wa Mafunzo nafasi ambayo ilishikiliwa na Dady Igogo ambaye ameteuliwa kuwa afisa Sheria. Aliyekuwa afisa sera na utafiti Danda Juju yeye amepelekwa Bunge na Halmashauri. Mabadiliko hayo hayahusishi wakurugenzi wengine kama Benson Kigaila, Erasto tumbo na wengine ambao wote wanaendelea na nafasi zao kama kawaida kama inavyoonyeshwa kwenye tovuti ya chama hicho Tovuti ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Uteuzi huo umeaanza mara moja
............ndiyohiyo
Mabadiliko yafanywa CHADEMA Makao makuu, baada ya kujitoa CCM Mwita Mwikabwe abahatika kwa kuteuliwa mkurugenzi wa sera ya utafiti. Katika utuezi huo, John Mnyika ametoswa kuwa mkurugenzi wa Vijana na nafasi yake imechukuliwa na Halima Mdee(Mbunge wa Viti Maalum). Wengine waliokumbwa na mabadiliko hayo ni Regia Mtema, aliyetolewa uafisa vijana na nafasi yake kuchukuliwa na Ali Chitanda. Regia ameteuliwa kuwa Afisa wa Mafunzo nafasi ambayo ilishikiliwa na Dady Igogo ambaye ameteuliwa kuwa afisa Sheria. Aliyekuwa afisa sera na utafiti Danda Juju yeye amepelekwa Bunge na Halmashauri. Mabadiliko hayo hayahusishi wakurugenzi wengine kama Benson Kigaila, Erasto tumbo na wengine ambao wote wanaendelea na nafasi zao kama kawaida kama inavyoonyeshwa kwenye tovuti ya chama hicho Tovuti ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Uteuzi huo umeaanza mara moja
............ndiyohiyo
Last edited by a moderator: