Mabadaliko kwa Mitihani kidato cha NNE na SITA.

Sababu za mabadiliko haya yaliyotangazwa na Naibu waziri wa Elimu Bw. Mulugo! ni hizi zifuatazo: 1. Utata wa wanafunzi kukalishwa shule baada ya kumaliza mitaala ya masomo miezi mitatu kabla ya mtihani;2. Utata wa Ongezeko la gharama za uendeshaji shule kwa kuhudumia wanafunzi miezi mitatu bila kuwa na jambo jipya la kujifunza. Huu ni mzigo kwa Wenye shule, wazazi na serikali.

Wao waliyajua lini haya?? Walipotoa waraka kuwa utakuwa mwezi wa 5 hawakujua hayo? Poor panning produces poor performance and this is equal to DHAIFU and like father like son.....
 
bas wizara iwe na msimamo na sera za kudumu siyo kila waziri na utaalamu wake

MTANZANIA GANI MWENYE MSIMAMO?????? BAADA YA BABA WA TAIFA HAKNA MTU MWENYE MSIMAMO NDANI YA SERIKALI YETU. M NAKUMBA 2003/2004, WAZIRI WA ELIMU WAKATI HUO(JOSEPH MUNGAI) ALITAKA WATAKAO PATA DIVISION FOUR WASIPATE VYETI, IKAGUNDULIKA KUWA NA YEYE ALIPATAGA DIVISION FOUR, IKABIDI NA YEYE ARUDIE MTIHANI. AKAJA MWNGNE 2005- M.SITTA. AKATOA NA YEYE MTAZAMO WAKE. AKAFTA MASOMO YA BIASHARA ACHANGANYA BAADI YA MASOMO(eg,Chemistry + Physics, etc). Nani atakae KUWA NA MSIMAMO KTK NCHI HIIII????????? LABDA SERIKALI NZIMA IBADIRISHWE
 
Hii wizara kila anayeingia anakuja na utaratibu wake. Waliotoka walitaka elimu ya msingi iishie std 6 na wengine walitaka stv 8. Tutakuwa na msimamo mmoja lini?

Namkumbuka yule Waziri aliyekuja na hoja ya kufuta somo la Geography! Kweli TZ kichwa cha mwendawazimu
 
kuna mantiki gani hapo?kwani mda huu unamadhara gani na maandalizi ya watahiniwa au inaathiri vipi maendeleo ya elimu hapa nchini? Msaada tafadhali mtoa maada.

Madhara yake ni kwamba walimu wasahihishaji waendapo kusahihisha husababisha kutowafundisha wanafunzi waliobaki shuleni yaani(kidato cha I,II,III) Kwa kipindi cha Novemba na kidato cha V kwa kipindi cha machi,aprili na mei,kwa kufanya hivyo kwa mwakani kutawezesha walimu watakaochaguliwa kusahihisha mitihani hiyo kufanya kipindi cha likizo za Disemba kwa kidato cha nne na Juni kwa kidato cha sita,nimejaribu kukujibu tu mimi si mtoa mada ahsante kwa kuuliza.
 
MTANZANIA GANI MWENYE MSIMAMO?????? BAADA YA BABA WA TAIFA HAKNA MTU MWENYE MSIMAMO NDANI YA SERIKALI YETU. M NAKUMBA 2003/2004, WAZIRI WA ELIMU WAKATI HUO(JOSEPH MUNGAI) ALITAKA WATAKAO PATA DIVISION FOUR WASIPATE VYETI, IKAGUNDULIKA KUWA NA YEYE ALIPATAGA DIVISION FOUR, IKABIDI NA YEYE ARUDIE MTIHANI. AKAJA MWNGNE 2005- M.SITTA. AKATOA NA YEYE MTAZAMO WAKE. AKAFTA MASOMO YA BIASHARA ACHANGANYA BAADI YA MASOMO(eg,Chemistry + Physics, etc). Nani atakae KUWA NA MSIMAMO KTK NCHI HIIII????????? LABDA SERIKALI NZIMA IBADIRISHWE
Hapo kwa M Sita si kweli aliyefuta masomo uliyotaja ni Mungai na pia alikuwa na mpango wa kufuta History na Civics aweke somo litakaloitwa History with Civics Islamic na bible know yangefutwa na kuwa Dini Mseto,hvyo inathibitisha kauli yako kuwa hakuna Mtanzania mwenye msimamo endapo hata wewe mwenyewe umeshatuma kitu usichokijua,ila kauli ni too jenero kwa sababu kuna watu (waTZ) waliyaona hayo na waliyapinga na wamefanikiwa kwani walimu wa Bukipingi na biashara hasa shule binafsi walishapoteza ajira zao.:A S 465:
 
Hatma ya wahitimu wa kidato cha sita itakuwa nini kuanzia 2014 katika kujiunga na elimu ya juu hapa nchini? Ilivyo sasa, Majibu yanatoka Mwisho wa April na mwanzoni mwa May. Udahili wa vyuo kupitia TCU unaanza April mpaka June. Applications TCU deadlines ni Early July. Notification of admission ni anytime August. Registration at Universities late Sept to early October. Swali linakuja kwamba ukibadilisha mihula ya Sekondari hawa wa kidato cha sita watajiunga lini na vyuo vikuu?

Hawa wenzetu wanapobadilisha mihula wanajua kuwa wanaathiri ratiba za vyuo vikuu? je, wakuu wa vyuo nao walihusishwa? TCU, HESLB???

Tusubiri Kasheshe 2014.

utaratibu huu unakuja serikali ikiwa na mpango wa wanfunzi wote kabla ya kwenda chuo wapitie JKT mwaka mmoja then wanajiunga vyuoni, maanake ukimaliza mei unaingia jkt mpaka mwakani june then ndo inafanya application chuo cheti cha kuhitimu jkt kikiwa ni kigezo muhimu kuingia chuo....GWARIDE HILO KAKA WANALO!
 
Bw Paul hizi picha zimenifurahisha sana. Tehe tehe tehe teheee......!

hivi mzee anajisikiaje anapokuwa mazingira kama hayo? je hana wivu wowote ndani yake kwamba na huku home afanye hivyo? ebu angalia barabara ya kivukon front kuelekea kwake haina hata haiba ya kuitwa kuelekea WHITE HOUSE! achukue pesa zote zilizofichwa uswisi sauz na UK ajenge barabara nzuri, street safi na mazingira ya jiji la ikulu safi hili asiwe na mshawasha kwenda kuvionja nje!.........
 
Hatma ya wahitimu wa kidato cha sita itakuwa nini kuanzia 2014 katika kujiunga na elimu ya juu hapa nchini? Ilivyo sasa, Majibu yanatoka Mwisho wa April na mwanzoni mwa May. Udahili wa vyuo kupitia TCU unaanza April mpaka June. Applications TCU deadlines ni Early July. Notification of admission ni anytime August. Registration at Universities late Sept to early October. Swali linakuja kwamba ukibadilisha mihula ya Sekondari hawa wa kidato cha sita watajiunga lini na vyuo vikuu?

Hawa wenzetu wanapobadilisha mihula wanajua kuwa wanaathiri ratiba za vyuo vikuu? je, wakuu wa vyuo nao walihusishwa? TCU, HESLB???

Tusubiri Kasheshe 2014.
Kwani zamani ilikuwaje? Au wanafunzi hawakuwa wanajiunga na vyuo vya elimu ya juu? Manake enzi zetu mitihani ilikuwa inafanyika mwezi Novemba kwa Form 4 na mwezi May kwa Form 6. Hata hivyo ilibidi kusubiri mwaka mzima kujiunga na vyuo vikuu. Japo enzi hizo mwaka huo mzima tulikuwa tunaupotezea mitaani, safari hii vijana watautumia mwaka huo kupiga kwata JKT, period! Unataka nini tena?
 
utaratibu huu unakuja serikali ikiwa na mpango wa wanfunzi wote kabla ya kwenda chuo wapitie JKT mwaka mmoja then wanajiunga vyuoni, maanake ukimaliza mei unaingia jkt mpaka mwakani june then ndo inafanya application chuo cheti cha kuhitimu jkt kikiwa ni kigezo muhimu kuingia chuo....GWARIDE HILO KAKA WANALO!

mantiki hiyo ya JKT ni nzuri kwa ujenzi wa TZ, lakn jiulize ikiwa leo gvt inashindwa kufadhili watoto wa ktz hasa ktk elimu ya juu kwamba haina pesa, hiyo JKT mahtaji watachangia wazazi??? Na itakuwa na manufaa yepi kwa wahtimu+wazazi???. Hebu mulika upande wa 2, iwapo leo wananzuoni wanaendesha KUNJI bila hata tizi za JKT vipi kesho ambapo kila mwananzuoni atakuwa MGAMBO???? C watahamisha magorofa HESLB na masanduku yaliyoko BOT????? Hata wakoloni walijichimbia kabuli hvhv....!!!!
 
Madhara yake ni kwamba walimu wasahihishaji waendapo kusahihisha husababisha kutowafundisha wanafunzi waliobaki shuleni yaani(kidato cha I,II,III) Kwa kipindi cha Novemba na kidato cha V kwa kipindi cha machi,aprili na mei,kwa kufanya hivyo kwa mwakani kutawezesha walimu watakaochaguliwa kusahihisha mitihani hiyo kufanya kipindi cha likizo za Disemba kwa kidato cha nne na Juni kwa kidato cha sita,nimejaribu kukujibu tu mimi si mtoa mada ahsante kwa kuuliza.

Mkuu nashukuru kwa ufafanuzi wa nyongeza; mie pia pale juu nimejaribu kueleza kwa kifupi ila hii yako imekaa vizuri.
 
Hii nchi haieleweki, wakati naibu waziri akitangaza hizi habari bado waraka wa ouongo upo ktk website zao mfano necta na moe. Hii inaonesha uzembe wa ainayake katika habari na maamuzi yao. Sasa kwanini hawajatuma waraka wa marekebisho kwa shule zote tena??
 
Serikali yabadili mihula mitihani ya sekondari
Thursday, 04 October 2012 21:30
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo Geofrey Nyang¡¯oro
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imetangaza ratiba ya mtihani kwa wanafunzi wakidato cha nne huku ikibadili ratiba ya mihula ya mtihani kwa kidato cha sita na nne kuanzia mwakani.
Kwa miaka mingi, wanafunzi wa kidato cha nne walikuwa wakifanya mtihani wa kumaliza masomo Novemba na kidato cha sita walikuwa wakifanya mtihani Mei, kabla ya utaratibu huo kubadilishwa mwaka juzi.
Kwa miaka mitatu nyuma, Serikali ilitangaza utaratibu mpya ambao wanafunzi wa kidato cha nne walikuwa wakifanya mtihani Oktoba na kidato cha sita Februari.
Jana, Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, PhilipoMulugo alitangaza utaratibu huo mpya ambao unafanana na ule wa miaka ya 1990 baada kueleza kuwa kuanziamwakani, utaratibu wa zamani utarejeshwa.
Akitangaza ratiba ya mtihani wa kidato cha nne mwaka huu, Waziri Mulugo alisema unatarajiwa kuanza Oktoba 8 na kumalizika Oktoba 25.
Alisema mabadiliko hayo yamelenga kutoa fursa kwa walimu ambao huteuliwa kwenda kusahihisha mtihani kufanya kazi hizo wakati wa likizo.
¡°Mtihani wa kidato cha sita utakapofanyika Mei, utawezesha wanafunzi kupata haki yao kwa sababuwalimu ambao huteuliwa kwenda kusahihisha mitihani watafanya kazi hiyo mwezi wa sita na kipindi hicho wanafunzi watakuwa likizo. Pia hali itakuwa hivyo kidato cha nne, walimu watasahihisha mtihani huo Desemba ya kila mwaka,¡± alisema Mulugo.
 
Back
Top Bottom