Mabachela wenzangu, mnapika vyakula gani vya haraka haraka?

Uzi ndo huu sasa ngoja nitulie Nichukue maufundi na kutupia ujuzi kidogo
 
hili suala linatesa nimejaribu kwa muda naona sasa limeshafika ukingoni aisee
vyakula naweka kwenye friji kesho yake namwaga nlikua siwezi kuvirudia
narudi usiku nataka kupika mara kiberiti nimesau kununua nazungusha zungusha cha kuwashia gesi labda itajisau itawaka holaaa naamua kuchukua beer 2 nakunywa nalala.

Kuna sehemu nilikua nakulaga kuna mdada alikua yupo vizuri ikatokea tukawa marafiki nikamjaribu kama anaweza kuwa anakuja kunipikia mtoto akakubali mi nikumpa tu menu ya jioni na asubuhi/chai.

Ila sasa naona ntanasa kwa kupika na kupakua huku mabachelor wenzangu maana mtoto siku nyingine anadondosha kabisa hapa duuh.
Anadondosha nini?
 
Bwana jana nikapika Beef Strew nilitoa Google huko.

Nilianza kupika saa 8 mchana nikamaliza saa 3 usiku.

Vyombo vyote nimechafua, jiko halitamaniki.

Kuja kupika na wali saa 5 ndio nimekula.

Ila was the best experience aisee sijawahi pika something serious kama jana.

Naishiaga chai, maharage na wali au ugali na dagaa.
 
Bwana jana nikapika Beef Strew nilitoa Google huko.

Nilianza kupika saa 8 mchana nikamaliza saa 3 usiku.

Vyombo vyote nimechafua, jiko halitamaniki.

Kuja kupika na wali saa 5 ndio nimekula.

Ila was the best experience aisee sijawahi pika something serious kama jana.

Naishiaga chai, maharage na wali au ugali na dagaa.
iyo kiboko saa nane had 3 usiku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom