Unaonekana mlafi mno wewe, yaani unakula kushiba.Huku mshikaki wa kuku ni 1500
Ila huwezi shiba kwa ugali aisee, labda uwe na kachumbari/ mboga mboga
Kheee jamani 🤣🤣Unaonekana mlafi mno wewe, yaani unakula kushiba.
Mshana unalia na ugali hiyo mboga?
Duuh hiyo midevu sasaHii ya ugali mayai huwa naipiga sana
Ugali sembe ukubwa wa ngumi
Mayai manne au matatu nayachanganya na nyanya kitunguu karoti hoho nakoroga
Naweka we frying pan au sufuria fasta sana
Nakataa ugali wangu imetoka hio
Sent using Jamii Forums mobile app
Anadondosha nini?hili suala linatesa nimejaribu kwa muda naona sasa limeshafika ukingoni aisee
vyakula naweka kwenye friji kesho yake namwaga nlikua siwezi kuvirudia
narudi usiku nataka kupika mara kiberiti nimesau kununua nazungusha zungusha cha kuwashia gesi labda itajisau itawaka holaaa naamua kuchukua beer 2 nakunywa nalala.
Kuna sehemu nilikua nakulaga kuna mdada alikua yupo vizuri ikatokea tukawa marafiki nikamjaribu kama anaweza kuwa anakuja kunipikia mtoto akakubali mi nikumpa tu menu ya jioni na asubuhi/chai.
Ila sasa naona ntanasa kwa kupika na kupakua huku mabachelor wenzangu maana mtoto siku nyingine anadondosha kabisa hapa duuh.
iyo kiboko saa nane had 3 usikuBwana jana nikapika Beef Strew nilitoa Google huko.
Nilianza kupika saa 8 mchana nikamaliza saa 3 usiku.
Vyombo vyote nimechafua, jiko halitamaniki.
Kuja kupika na wali saa 5 ndio nimekula.
Ila was the best experience aisee sijawahi pika something serious kama jana.
Naishiaga chai, maharage na wali au ugali na dagaa.