Lee Cho in
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 941
- 693
Mi napenda sana pilau na nalipika every weekend
ugali aiseee,Nina imani mabachela tuko wengi sana humu.
Katika suala la kupika na kuosha vyombo huwa ni habari ingine. Vipi wewe mkuu ni msosi gani kuupika au kuuandaa huwa unakupa mawazo sana japo unaupenda. Na ukiula mahala unahisi umekosewa kupika sio kama ungeupika japo hujawahi kuutest geto.
Mimi bana WALI naupenda ila kuuandaa hadi utoke ni hatari sana. Halafu nikiwa nakula kitaa huwa mwepesi sana kuwalaumu wahudumu wali haujaiva au wamepika bokoboko au una mawe.
Wewe je msela wa geto nini kinasumbua jikoni?
pilau simple sana mkuu, ukimaliza tuu kuandaa viungo viungo, basi ushamaliza game....Mkuu mimi kitu cha pilau hadi leo siiwezi kuikorofisha ikakaa poa...naishiaga kupika ya kawaida sana daaah
Ma bachelor muda wa kupnga vitu unapeleaga aise,Mkuu una bek3 nn? Mbona nyumba safi hiviii kama hakai bachelor?
Hata mm kuosha vyombo ni nom aisee naweza nikahailisha kupika kisa vyombo hamnaHamna chakula kigumu kupika, kwangu mimi kigumu ni kuosha vyombo
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Unaosha pale ukivihitaji tenaUnanunua Fish wako wa kukaanga unarumangia na ugali utata ni kuosha vyombo
Aseeh bado najifunzapilau simple sana mkuu, ukimaliza tuu kuandaa viungo viungo, basi ushamaliza game....
Sent using Jamii Forums mobile app
tupo pamojaaaaaaa......Mi napenda sana pilau na nalipika every weekend
Hahahaha kwel mkuu ugali unaboa sanaugali aiseee,
lazima uoshe sufulia, afu unabaki unazungusha zungusha mwiko pale, aaaaaah full Jasho......
cpendi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu pilau ni rahisi sanaAseeh bado najifunza
sawa mkuuMkuu pilau ni rahisi sana
ni kweli mkuu makande ni simple sana ukitumia mkaa ukishabandika kazi yako ni kuongeza maji tu kila maraNdiyo chakula rahisi mno labda tu useme gharama ya gesi au mkaa