Mabachela: Ni chakula gani kigumu kupika geto?

Nina imani mabachela tuko wengi sana humu.

Katika suala la kupika na kuosha vyombo huwa ni habari ingine. Vipi wewe mkuu ni msosi gani kuupika au kuuandaa huwa unakupa mawazo sana japo unaupenda. Na ukiula mahala unahisi umekosewa kupika sio kama ungeupika japo hujawahi kuutest geto.

Mimi bana WALI naupenda ila kuuandaa hadi utoke ni hatari sana. Halafu nikiwa nakula kitaa huwa mwepesi sana kuwalaumu wahudumu wali haujaiva au wamepika bokoboko au una mawe.

Wewe je msela wa geto nini kinasumbua jikoni?
ugali aiseee,
lazima uoshe sufulia, afu unabaki unazungusha zungusha mwiko pale, aaaaaah full Jasho......
cpendi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna chakula kigumu kupika, kwangu mimi kigumu ni kuosha vyombo

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Hata mm kuosha vyombo ni nom aisee naweza nikahailisha kupika kisa vyombo hamna

latest edition
 
Mm najua kusonga ugali tu mboga kupika na vyakula vingine sijui..

Niilishi na mshikaji yy alikua anajua kupika mboga ila ugali hawez sobga so tukawa tunagawana majukumu, yy mboga mm ugali..!
 
Back
Top Bottom