saede mbondela
JF-Expert Member
- Feb 28, 2013
- 368
- 237
Aisee mm sipendi mno hio biashara ya vyombo na ndio inanifanya nikale mgahawani ilihali kila kitu ninacho ndaniNajua ni ublaza-meni, ila nikipata hela ntatafuta alternative ya kuosha vyombo... Hili ni tatizo sugu.
Unajikuta unatumia sahani hiyo hiyo kila siku ili isuuzwe tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli..unaweza kuoa na ma bado ukapikasolution ni kuoa tu..........
Najilaumu hadi Leo kuacha kusoma cookery halafu kipindi chetu wanaume ilikua mnasoma free kipindi cha mama kilato pale kibasila . Nikajifanya sayansi na French nikaacha kidato cha tatu. Nilikua nafurahia vipindi vya mwalimu wa fizikia RIP Benedict mgini. Kipindi kile kuna monthly test kila mwisho wa mwezi . Kwa mama kilato umenikumbushanamshurukuru nilupokuwa o level niliopt cookery aiseee imenisaidiaaa saaanaa coz hambaa chakulaaa nisichojuaa kupikaaa alafu good enough naenjoy kupikaa saana kuliko vitu vyoteee asante walimu Wang wa kibasilaaaa manake french ilinishindaaa now I'm a good cooker Nina mpngo wa kwendaaa kusomeaa zaidi mambo ya mapishi manake huu mdegreee nilionao nilisomaa tu ilaa mapenzi Yang ni kupika!!!!!!
Dah, mulemule aseKitu ambacho mabachela wengi wanachokiweza ni kuchemsha chai ya rangi na kupika tambi tu.
Kataeni au mkubali.
% kubwa ya wanaomudu kupika baadhi ya vyakula ni aidha wale waliokulia kwa dada zao au walioondoka kwenda kuanza maisha wakiwa wametoka makwao (kwa wazazi wao) wakiwa 22-25+.
Waliobaki wote ni tambi na chai ya rangi tu
Hapo kwenye vyombo hua ni habari nyingine aseHamna chakula kigumu kupika, kwangu mimi kigumu ni kuosha vyombo
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Hili la kuosha vyombo ndo litafanya wengi wetu tuoe mapema, sometimes huwa nabaki tu nacheka, unakuta nimerundika vyombo vya almost week nzima jikoni.Aisee mm sipendi mno hio biashara ya vyombo na ndio inanifanya nikale mgahawani ilihali kila kitu ninacho ndani
Kweli tanga raha mashalaahMchele mpya unatoaga nishai sana, hauhitaji maji mengi
Kuosha vyombo ni mtihaniHapo kwenye vyombo hua ni habari nyingine ase
Kweli tanga raha mashalaah
Sitosahau nilipojaribu kupika chapati kilichotokea ,niliishia njiani na unga nikamwaga wote
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hili andazi kiboko