Mabachela: Ni chakula gani kigumu kupika geto?

e0eaeee4c7cfd2b6754c7e56148f377a.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
namshurukuru nilupokuwa o level niliopt cookery aiseee imenisaidiaaa saaanaa coz hambaa chakulaaa nisichojuaa kupikaaa alafu good enough naenjoy kupikaa saana kuliko vitu vyoteee asante walimu Wang wa kibasilaaaa manake french ilinishindaaa now I'm a good cooker Nina mpngo wa kwendaaa kusomeaa zaidi mambo ya mapishi manake huu mdegreee nilionao nilisomaa tu ilaa mapenzi Yang ni kupika!!!!!!
Najilaumu hadi Leo kuacha kusoma cookery halafu kipindi chetu wanaume ilikua mnasoma free kipindi cha mama kilato pale kibasila . Nikajifanya sayansi na French nikaacha kidato cha tatu. Nilikua nafurahia vipindi vya mwalimu wa fizikia RIP Benedict mgini. Kipindi kile kuna monthly test kila mwisho wa mwezi . Kwa mama kilato umenikumbusha
 
Kitu ambacho mabachela wengi wanachokiweza ni kuchemsha chai ya rangi na kupika tambi tu.
Kataeni au mkubali.
% kubwa ya wanaomudu kupika baadhi ya vyakula ni aidha wale waliokulia kwa dada zao au walioondoka kwenda kuanza maisha wakiwa wametoka makwao (kwa wazazi wao) wakiwa 22-25+.
Waliobaki wote ni tambi na chai ya rangi tu
Dah, mulemule ase
 
Aisee mm sipendi mno hio biashara ya vyombo na ndio inanifanya nikale mgahawani ilihali kila kitu ninacho ndani
Hili la kuosha vyombo ndo litafanya wengi wetu tuoe mapema, sometimes huwa nabaki tu nacheka, unakuta nimerundika vyombo vya almost week nzima jikoni.
 
Jana nimetulia zangu getoni, mara nje naskia mboga mboga! Roho ikafurahi nikasema ngoja leo nichemshe mboga mboga. Najikoki kutoka tuu naskia jamaa anakomaa..."Mbogaa mbooooga kina mama humo ndani" mbogaa mbogaa kina dada humo ndani "mbogamboooga mashangazi jamani!!! Kiukweli nilighairi pale pale.
 
Back
Top Bottom