Queen Kyusa
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 663
- 162
The same old story.
Ninawaasa wananchi masikini kutokuwa mbele kwenye hayo maandamano ili na wao viongozi wapeleke misiba kwenye nyumba zao. Iweje wajiite wapigania ukombozi lakini wanaouwawa na kujeruhiwa ni masikini tu na sio wao viongozi?
Huo ni utahahira wa hao polic ccm kuua raia wasio na hatia.