Maaskofu wakanusha kuwaomba radhi waislamu

Nyenyere

JF-Expert Member
Sep 9, 2010
14,769
10,645
Akizungumza na WAPO radio leo asubuhi askofu Kilimba amekanusha vikali madai yaliyotolewa na baadhi ya vyombo vya habari kuwa baraza la maaskofu limeomba radhi. Alisema kuwa wao walionyesha kusikitishwa tu na michezo ya kitoto iliyopelekea kukojolewa kwa kuran na watoto hao. Alisisitiza kuwa kamwe hawatawaomba radhi watu waliochoma makanisa. Amedai kuwa vyombo vya habari vimeandika upotoshaji na kuwa tamko halisi linapatikana mtandaoni.
Mtazamo wangu: ndugu zetu waislamu wanatakiwa kujitokeza hadharani na kujitenga na waislamu wenye msimamo usiofaa ili kurejesha mahusiano mema.
 
Wenzio kwenye thread zingine wanaiuita Uislamu ni dini ya WAHUNI sasa na wewe utawekaje thread inayotenganisha waislamu wazuri na wasiofaa?
 
Nilishangaa sana kusikia kuwa mhanga kamwangukia mhalifu,tena mhalifu dhaifu kabisa,inatakiwa maaskofu watoe onyo kali kwa wajinga hao,kamwe wasiombwe msamaha hao kina fakhi.
 
Nilishangaa sana kusikia kuwa mhanga kamwangukia mhalifu,tena mhalifu dhaifu kabisa,inatakiwa maaskofu watoe onyo kali kwa wajinga hao,kamwe wasiombwe msamaha hao kina fakhi.

Nipatwa na mshituko nilivyoona huo uzi eti wa maaskofu wameomba msamaha baada ya kutafakuri nakagundua ni uzushi, yaani nuru iiombe radhi giza chezea YESU wewe.
 
Hivyo ndo vyombo vya habari vya tz, hata huwa najiuliza hao waandishi wa habari kama hao wanasomea vyuo gani!!!? Manake sioni kabisa maadili katika uandishi wao!!!
 
uandishi ni fani iliongiliwa na vihiyo wa form four unategemea wataandika nini zaidi ya habari za kutunga?
 
Akizungumza na WAPO radio leo asubuhi askofu Kilimba amekanusha vikali madai yaliyotolewa na baadhi ya vyombo vya habari kuwa baraza la maaskofu limeomba radhi. Alisema kuwa wao walionyesha kusikitishwa tu na michezo ya kitoto iliyopelekea kukojolewa kwa kuran na watoto hao. Alisisitiza kuwa kamwe hawatawaomba radhi watu waliochoma makanisa. Amedai kuwa vyombo vya habari vimeandika upotoshaji na kuwa tamko halisi linapatikana mtandaoni.
Mtazamo wangu: ndugu zetu waislamu wanatakiwa kujitokeza hadharani na kujitenga na waislamu wenye msimamo usiofaa ili kurejesha mahusiano mema.


kwa mpango......ndugu waisilamu mjipange kwa ajili ya jihad........war:A S angry:
 
Back
Top Bottom