NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,458
- 17,282
Wanabodi za asubuhi!
Tangu zamani sana nyakati zile za biblia Mungu aliwafunulia waja wake kuhusu hatma yao ya matukio ya mbeleni kwenye maisha kupitia watumishi wa mungu kama manabii na mitume!!Nakumbuka kisa cha nabii Eliya cha kutabiri kutokunyesha mvua miaka mitatu na nusu kutokana na taifa kumkosea mungu na kukengeuka kwa kumfuata Baali na ibada zake!!maono yalitolewa ili kulionya taifa na kulikemea kutokana na kukengeuka kwao!!
Tangu awamu ya tano iingie madarakani kumekuwa na matamko,nyaraka,Hamaki na Midahalo kinzani kutoka kwa maaskofu mbali mbali kwa madhehebu tofauti tofauti!Wakati wengine wakikemea wengine wameunga mkono na kuwa upande wa serekali!!Sasa sisi waumini tunashindwa kuelewa je Mungu mnae mtumikia ni kigeugeu? Nani anamtumikia mungu wa kweli?Mungu yupi anaebariki mateso ya wananchi kutoka kwa watawala?
Kwa nini watumishi wa Mungu Hamkupata Unabii wa awamu hii taifa likaomba tukapata utawala usiotugawa wananchi? Ni Mungu gani mnaemtumikia ambae ni Bubu asiefunua yajayo? Mbona mmesubiri hadi mambo yameharibika ndio mnatoa matamko na nyaraka?Mlikuwa mnafanya nini kabla ya awamu hii kuingia madarakani?
Ndugu zangu Maaskofu na Watumishi kama Mungu mnae mwabudu hakufunua kabla haya hayajatokea sisi watz tuna mashaka na utumishi wenu!!Ni Mungu kweli mnaemtumikia au Tumbo?
Kwanini Hamkufunuliwa kuwa huyu aliepo ni naamani na atatatutesa watanzania na wenye dhamana wakamwepuka kugombea uongozi?
Nawaombeni watanzania wenye imani na dini zetu tuwaulize hawa makuhani walikuwa wapi na kwa nini hawakuonyeshwa gharika hii inayotutesa watanzania!!!!Kama wana kiroho cha kweli wangesema mapema tena kwa ujasiri kuwa Huyu atamwaga damu za watoto wetu,Atatubebesha mizigo na nira kila siku na tungeamua vinginevyo hata wenye dhamana wange epuka mauaji na vitisho hivi awamu hii!!!
Tangu zamani sana nyakati zile za biblia Mungu aliwafunulia waja wake kuhusu hatma yao ya matukio ya mbeleni kwenye maisha kupitia watumishi wa mungu kama manabii na mitume!!Nakumbuka kisa cha nabii Eliya cha kutabiri kutokunyesha mvua miaka mitatu na nusu kutokana na taifa kumkosea mungu na kukengeuka kwa kumfuata Baali na ibada zake!!maono yalitolewa ili kulionya taifa na kulikemea kutokana na kukengeuka kwao!!
Tangu awamu ya tano iingie madarakani kumekuwa na matamko,nyaraka,Hamaki na Midahalo kinzani kutoka kwa maaskofu mbali mbali kwa madhehebu tofauti tofauti!Wakati wengine wakikemea wengine wameunga mkono na kuwa upande wa serekali!!Sasa sisi waumini tunashindwa kuelewa je Mungu mnae mtumikia ni kigeugeu? Nani anamtumikia mungu wa kweli?Mungu yupi anaebariki mateso ya wananchi kutoka kwa watawala?
Kwa nini watumishi wa Mungu Hamkupata Unabii wa awamu hii taifa likaomba tukapata utawala usiotugawa wananchi? Ni Mungu gani mnaemtumikia ambae ni Bubu asiefunua yajayo? Mbona mmesubiri hadi mambo yameharibika ndio mnatoa matamko na nyaraka?Mlikuwa mnafanya nini kabla ya awamu hii kuingia madarakani?
Ndugu zangu Maaskofu na Watumishi kama Mungu mnae mwabudu hakufunua kabla haya hayajatokea sisi watz tuna mashaka na utumishi wenu!!Ni Mungu kweli mnaemtumikia au Tumbo?
Kwanini Hamkufunuliwa kuwa huyu aliepo ni naamani na atatatutesa watanzania na wenye dhamana wakamwepuka kugombea uongozi?
Nawaombeni watanzania wenye imani na dini zetu tuwaulize hawa makuhani walikuwa wapi na kwa nini hawakuonyeshwa gharika hii inayotutesa watanzania!!!!Kama wana kiroho cha kweli wangesema mapema tena kwa ujasiri kuwa Huyu atamwaga damu za watoto wetu,Atatubebesha mizigo na nira kila siku na tungeamua vinginevyo hata wenye dhamana wange epuka mauaji na vitisho hivi awamu hii!!!