Maaskofu Katoliki watoa waraka mwingine 2010

Ccm waliamini wakiimaliza chadema na wakina lissu basi hamna wakosoaji ndo kwanza wanaibuka wapya mjiandae kisaikolojia huwezi kuongoza watu zaid ya million 40 kama familia yako kila mmoja anawazo lake tofaut
anacopy Rwanda kanchi ka watu mil5 wote wanajuana
 
a76648f285fa0299d9ff790e8f4db6a2.jpg

Awamu hii ni kusifia tu ukosoaji unatuvunjia amani yetu.
 
Wapo kimya sio kwa kumlipizia kisasi ila ni kuhofia their fate kama wakichagua upande
 
Labda tuseme hivi kakobe mwanzo alikosea sasa amepatia, na pengo mwanzo alipatia sasa amekosea
 
Mwaka 2009 kulitokea mambo mawili makuu. Mwezi July Kanisa Katoliki kupitia wasomi wake yaani CPT lilitoa waraka uitwao ILANI KUELEKEA UCHAGUZI WA 2010.

Waraka ule ulipingwa sana na hadi Kingunge Ngombale Mwiru akaitisha press conference kukemea kwamba Kanisa Katoliki si chama cha siasa.

Ule waraka ulipomfikia askofu Kakobe, kama kawaida yake akaamua kuupeleka kanisani kwake na kuonyesha alivyouchukia akauchanachana mbele ya waumini wa kanisa lake.

Askofu msaidizi wa D'Salaam, Method KIlaini alipoulizwa kuhusu kitendo cha Kakobe alijibu "mimi siwezi kujibizana na mtu (Kakobe) ambaye hata sijui uaskofu wake kapewa na nani".

Hivyo ndivyo ilovyokuwa. Suala la waraka ule liliendelea hadikwenye kikao cha Halmashauri kuu ya CCM (NEC) kikaweka azimio kwamba nyaraka zote za makanisa zipitie kwanza serikalini. Ikalelekea kabisa ndivyo itakavyokuwa.

Hapa sasa ninakuja kwenye jambo la pili la mwaka huohuo 2009. Baada ya azimio hilo la NEC kikatokea kifo cha askofu Anthony Mayala wa Jimbo Katoliki la Mwanza. Wakati huo nikiwa bado niko Tanzania nilihudhuria mazishi yake kama sijasahau ilikuwa ni Agosti 26, 2009.

Kwenye mazishi yake misa iliongozwa na Polycarp Cardinali Pengo. Nakumbuka kuwaona Benjamin MKapa na ndiye alikuwa wa kwanza kupokea ekarist akifuatiwa na akina Chenge. Nakumbuka William Ngeleja waziri wa Mdini alikuwepo.

Rais Jakaya Kikwete alichelewa kidogo kufika na akakuta mambo mengi yameshachukua nafasi.

Kilichotokea ni nini kwenye misa ile. Kilichotokea ni kwamba kwenye mahubiri Polycarp Cardinali Pengo alitoa mahubiri makali ambavyo haijawahi kutokea. Kwa sababu ilishasikika kwamba nyaraka zote za mtamko ya maaskofu yatakuwa yanapitia kwanza serikalini ndipo yaende kwa waumini Polycarp Cardinali Pengo akakemea kwa vikali mkakati huo.

Polycarp Cardinali Pengo alitumia maneno haya "nchi za wakomunisti zilikuwa na kawaida kutaka nyaraka za maaskofu zipiti kwanza serikalini ndipo zisomwe. Je, Tanzania tunakoelekea hakuna tofauti na walichofanya wakomunisti."

Pengo akaendelea kuikemea serikali akisema "msiwafundishe maaskofu kuandika barua za kichungaji kwa waumini wao".

Kisha akageukiwa maaaskofu wenzake ambapo walikuwepo kama zaidi ya 25 akisema "Nanyi maaskofu, kama italazimika eti kupelekea nyaraka kwanza serikalini kana kwamba hamkutumwa na Mungu mmetumwa na serikali kuhubiri waumini wenu basi ni bora kutoandika nyaraka au kuacha kazi mliyotumwa na Mungu".

Pengo akamalizia na kusema "maaskofu hatutakubali kufundishwa cha kuwahubiria waumini wetu".

Kwa sababu Kingunge alilishabikia sana lile jambo Pengo akampiga dongo kwa kusema "wakomunisti tunafahamu kwamba hawana dini afadhali hata mabepari wanaamini kwamba kuna Mungu".

Kwa ujumla Pengo hakuwahi kuwa mkali kama siku ile.

Baada ya siku mbili Kakobe yuleyule aliyeuchana ule waraka akaibuka tena na kusema Polycarp Cardinal Pengo amemdharirisha Rais Jakaya Kikwete kwa kusema maneno yale mbele yake. Kanisa Katoliki lote nchini lilikaa kimya na hakuna aliyelumbana na Kakobe.

Zipo thread humu nimebishana na watu kuhusu Kakobe na nilichobishana nao ni jinsi wanavyoipnda hoja ya Kakobe wakati kuna hoja kama hii ya kumponda Kakobe kwa kumkumbusha.

Kakobe asione eti maaskofu wengine wamekaa kimya akumbuke kwamba wakati wenzake wanapambana mwaka 2009 yeye alikuwa wa kwanza kuchanachana nyaraka na kumkembehi Pengo kama nilivyokumbusha.

Hivyo watu wanaosema kwamba kuna mahala Kakobe kanaswa ingawa ni ngumu kuamini au kuthibitisha lakini kutokana na yeye kuwasaliti maaskofu wenzake ile mwaka 2009 ni wazi maaskofu hasa wa kanisa katoliki hawawezi kujitumbukiza katika vita aliyoianzisha.

Wasalaam
"Huwezi kulinganisha mlima Kilimanjaro na kichuguu" Bishop Kilaini.
 
kama kweli alikosea, kumbe maaskofu wetu wanalipiziana kisasi hata kama wanaona mambo yanaenda mrama!!!!
ni wakati wa kushikamana...umoja wetu ndio nguvu yetu. Tukilala sasa tutalaliwa daima.
 
Pengo na baadhi ya wakatoliki wanajulikana kabisa ni wanafiki.

Pengo alishapoteza moral authority ya kukemea jambo lolote. Kilaini ni fisadi wa escrow. Kati ya watu wanaotakiwa kuaa jela na kina Ruge Kilaini na baadhi ya maaskofu wa katoliki wanatakiwa kua jela.

Pengo alikua mkali kwa sababu aliekua rais hakuna mtu wao, hakua mpokea ekaristi takatifu. Baadae pengo la kilaini wakapoozwa mlungula wa escrow wakanyamaza kimia.

Pengo akaja kuibukia kwenye katiba mpya, akaharisha aliyoyaharisha kila mtu anajua.
 
Labda tuseme hivi kakobe mwanzo alikosea sasa amepatia, na pengo mwanzo alipatia sasa amekosea

Yeye anashambulia usalama wa TAIFA wakati ni kikundi badala ya kushambulia hoja. Sasa toka lini dini zikaogopa usalama wa taifa lolote.
 
Mwaka 2009 kulitokea mambo mawili makuu. Mwezi July Kanisa Katoliki kupitia wasomi wake yaani CPT lilitoa waraka uitwao ILANI KUELEKEA UCHAGUZI WA 2010.

Waraka ule ulipingwa sana na hadi Kingunge Ngombale Mwiru akaitisha press conference kukemea kwamba Kanisa Katoliki si chama cha siasa.

Ule waraka ulipomfikia askofu Kakobe, kama kawaida yake akaamua kuupeleka kanisani kwake na kuonyesha alivyouchukia akauchanachana mbele ya waumini wa kanisa lake.

Askofu msaidizi wa D'Salaam, Method KIlaini alipoulizwa kuhusu kitendo cha Kakobe alijibu "mimi siwezi kujibizana na mtu (Kakobe) ambaye hata sijui uaskofu wake kapewa na nani".

Hivyo ndivyo ilovyokuwa. Suala la waraka ule liliendelea hadikwenye kikao cha Halmashauri kuu ya CCM (NEC) kikaweka azimio kwamba nyaraka zote za makanisa zipitie kwanza serikalini. Ikalelekea kabisa ndivyo itakavyokuwa.

Hapa sasa ninakuja kwenye jambo la pili la mwaka huohuo 2009. Baada ya azimio hilo la NEC kikatokea kifo cha askofu Anthony Mayala wa Jimbo Katoliki la Mwanza. Wakati huo nikiwa bado niko Tanzania nilihudhuria mazishi yake kama sijasahau ilikuwa ni Agosti 26, 2009.

Kwenye mazishi yake misa iliongozwa na Polycarp Cardinali Pengo. Nakumbuka kuwaona Benjamin MKapa na ndiye alikuwa wa kwanza kupokea ekarist akifuatiwa na akina Chenge. Nakumbuka William Ngeleja waziri wa Mdini alikuwepo.

Rais Jakaya Kikwete alichelewa kidogo kufika na akakuta mambo mengi yameshachukua nafasi.

Kilichotokea ni nini kwenye misa ile. Kilichotokea ni kwamba kwenye mahubiri Polycarp Cardinali Pengo alitoa mahubiri makali ambavyo haijawahi kutokea. Kwa sababu ilishasikika kwamba nyaraka zote za mtamko ya maaskofu yatakuwa yanapitia kwanza serikalini ndipo yaende kwa waumini Polycarp Cardinali Pengo akakemea kwa vikali mkakati huo.

Polycarp Cardinali Pengo alitumia maneno haya "nchi za wakomunisti zilikuwa na kawaida kutaka nyaraka za maaskofu zipiti kwanza serikalini ndipo zisomwe. Je, Tanzania tunakoelekea hakuna tofauti na walichofanya wakomunisti."

Pengo akaendelea kuikemea serikali akisema "msiwafundishe maaskofu kuandika barua za kichungaji kwa waumini wao".

Kisha akageukiwa maaaskofu wenzake ambapo walikuwepo kama zaidi ya 25 akisema "Nanyi maaskofu, kama italazimika eti kupelekea nyaraka kwanza serikalini kana kwamba hamkutumwa na Mungu mmetumwa na serikali kuhubiri waumini wenu basi ni bora kutoandika nyaraka au kuacha kazi mliyotumwa na Mungu".

Pengo akamalizia na kusema "maaskofu hatutakubali kufundishwa cha kuwahubiria waumini wetu".

Kwa sababu Kingunge alilishabikia sana lile jambo Pengo akampiga dongo kwa kusema "wakomunisti tunafahamu kwamba hawana dini afadhali hata mabepari wanaamini kwamba kuna Mungu".

Kwa ujumla Pengo hakuwahi kuwa mkali kama siku ile.

Baada ya siku mbili Kakobe yuleyule aliyeuchana ule waraka akaibuka tena na kusema Polycarp Cardinal Pengo amemdharirisha Rais Jakaya Kikwete kwa kusema maneno yale mbele yake. Kanisa Katoliki lote nchini lilikaa kimya na hakuna aliyelumbana na Kakobe.

Zipo thread humu nimebishana na watu kuhusu Kakobe na nilichobishana nao ni jinsi wanavyoipnda hoja ya Kakobe wakati kuna hoja kama hii ya kumponda Kakobe kwa kumkumbusha.

Kakobe asione eti maaskofu wengine wamekaa kimya akumbuke kwamba wakati wenzake wanapambana mwaka 2009 yeye alikuwa wa kwanza kuchanachana nyaraka na kumkembehi Pengo kama nilivyokumbusha.

Hivyo watu wanaosema kwamba kuna mahala Kakobe kanaswa ingawa ni ngumu kuamini au kuthibitisha lakini kutokana na yeye kuwasaliti maaskofu wenzake ile mwaka 2009 ni wazi maaskofu hasa wa kanisa katoliki hawawezi kujitumbukiza katika vita aliyoianzisha.

Wasalaam
Ukipita kwenye ZEBRA usisahau kuwasha ''Hazard'' na kusimama kwa dk 4.
 
Mbona Pengo nae yuko kimya leo hii?

Polycarp anaanzaje kumkemea Joni?

Sasa hivi tunasikia Kinafiki Kelele za Askof Mmoja Mmoja Kwanini hawatoi nyaraka rasmi za Kanisani Kama wakati ule wa 'Mdini na dhaifu wa Bagamoyo'?
 
Mkuu MODS, hii thread ya KAKOBE inapoletwa huku inakuwa shida ku-connect na mambo ya juzi. Watadhani ni mambo ya mwaka 2010.
 
Back
Top Bottom