da magamba yanahangaika kweli, njia pekee ya kuishinda chadema ni kuwaletea wananchi maendeleo waliyowaahidi si kelele na maandamano feki, pia kuna mshikaji wangu yuko st augustine university cumpus ya tabora(amucta) kanambia kuwa kuna baadhi ya wanafunzi wa ccm watapelekwa kushiriki hayo maandamano.
lazima wahangaike.zitto zuberi kabwe alikuwa kete yao muhimu sana kwenye programme hii.imepigwa kombora kabla haijazaa matunda.wanacdm makini wanaangalia ccm watachomoka na programme ipi tena.ukanda ,udini,ukabila,ugaidi ,vitisho,mabomu, risasi za moto etc zote zimefeli.pesa na nguvu nyingi sana zinatumika.hizi pesa ni za ccm au ni kodi yetu?.tafakari.