Kirode
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 3,566
- 82
CHADEMA inakufa yenyewe wala asitafutwe mchawi.
utakufa wewe na mama yako mtaiacha chadema......
CHADEMA inakufa yenyewe wala asitafutwe mchawi.
hakuna kitu kibaya kama kukosa kazi ilaaniwe ccm na serekali yake...
Ni kweli mkuu ndiyo maana chadema kilianza na shetani kitamaliza na shetani make kwa sasa limebakia jina tu chadema kilishakufa.
utakufa wewe na mama yako mtaiacha chadema......
Kiboko anayelusha vijana wa CCM viroba na kuingia na mabango kisha wanaumbuka na kujieleza asili ya walikotoka?
Nashauri red brigade iwe
macho,tumekuwa wapole ila hatutaruhusu kutobolewa jicho ili kuendelea
kuuthibitisha upole wetu,lazima tujil;inde dhidi ya hila za mwovu ccm na
malaika zake masalia.Kama kuna mtu ataleta ushenzi achukuliwe hatua
kali na za kisheria.
Pamoja na hilo,chama kiwakabidhi wanakigoma kijana wao,ambaye ameamua
kuwasliti kwa vipande vya pesa ,Dr.awakabitdi rasmi
anawachapa CHADEMA mnao haha kutafuta suluhu, maji yakishwa mwagika yahazoleki, muwalaumu SLAA na BOWE kwa ukatili wao.
asante mkuu kwa taarifa hii,
watambue chadema ni mpango wa mungu, naicopy kabisa habar hii wakiifuta tu naileta tena
maandamano hamna lakini ZZK hawezi kutolewa CDM(kuvuliwa uanachama)
CDM inazidi kushika kasi kuelekea 2015.hatuna wasiwasi na kurukaruka kwa maharage kwani ndio kuiva kwenyewe.
Wenye mapungufu kama wewe sinamda wa kujibishana nao make hamnazo.Kwa hiyo anakuchapa?
maandamano hamna lakini ZZK hawezi kutolewa CDM(kuvuliwa uanachama)
Mungu yupi anayeruhusu ugaidi?????
Nasikia kuna wazee wameitwa kutafuta suluhi, MBOWE NA SLAA wameona maji ya shingo.
Kwa tarifa yako zitto anarudishiwa vyeo vyake vyote na kugombea uenyekiti sijui mtaishi wapi akishinda.CDM inazidi kushika kasi kuelekea 2015.hatuna wasiwasi na kurukaruka kwa maharage kwani ndio kuiva kwenyewe.
mtakumbuka kuwa mtu anayeitwa greyson nyakarungu , alitoa tamko akiwa anajipa kuwa yeye ni brigedia wa jeshi la waasi , na alitoa siku nne kuwa kama kamati kuu haitakaa na kurejea maamuzi yake ya awali basi yeye na jeshi lake wataitisha maandamano yasiyokoma kwa nchi nzima , leo ni siku ya tisa tangu atoe tamko lake ....maandamano yako wapi?
Mtu anayeitwa robert gwanchere , akiwa mwanza alitoa siku nne kuwa kama kamati kuu haitatengua maamuzi yake basi wangeitisha maandamano yasiyokoma kwa nchi nzima , muda waliokuwa wametoa umeisha jana , hakuna maandamano wala lolote ambalo linaonekana kufanyika , nini kinaendelea ?
Tatu ,kuna jitihada za kufanyika kwa maandamano kesho mkoani kigoma , ambapo leo vijana wa pikipiki wameandikishwa majina yao na kupewa ahadi ya mafuta lita tano kesho na shilingi elfu 20 kwa kila mmoja kwa ajili ya kufanya maandamano ya pikipiki ya kupinga ziara ya dr.slaa kigoma, maandamano hayo yana panga kufanyika ujiji mpaka mwandiga ,aidha zipo taarifa kuwa wanaoratibu ni vijana kutoka dsm na wengine ni ofisi ya ccm mkoa wakiongozwa na m.kiti wa ccm mkoa dr.kaborou .
Nne , vijana wa uvccm taifa na mkoa wa kigoma , wapo kwenye maandalizi makubwa , na wengine wakiagiza t.shirt za chadema kutoka dar na nyingine wanatengeneza ili mwisho wa siku wajionyeshe kuwa wao ni chadema ndio ambao wanaoandamana .
Zipo , jitihada za kuandaa bendera za chadema zinaendelea kariakoo kwa mtu anayeitwa njia , nitawajuza zimeagizwa bendera ngapi na zinachukuliwa na nani kwa ajili ya kwenda kigoma .
More to come......