Maandamano yaliyo pangwa kufanyika tunduma jana

ERIC JOSEPH

JF-Expert Member
Aug 10, 2011
567
55
TUNDUMA:Jamani wana Tunduma tufanyeje ili kuyaondoa madarakani haya mafisadi?jana tulipanga kuandamana ili kushinikiza yaondoke tumezuiliwa kwamfano hili lakutoka mwaka kati mwakajana lilituhumiwa kutafuna michango ya ujenzi wa r/m/manga tukasema hatuna imaninalo wakalilinda,sasa yamezuka mengine tumepanga maandamano ya amani wanatuletea f.f.u waje kutulipua mabomu?inaniuma pale ninapo sikia mamilioni yanatafunwa halafu tunadaiwa kufanya majukumu ambayo yalitakiwa yafanywe na serikali zaidi sana tatizo tulilonalo la uhaba wa maji.
 
Back
Top Bottom