Wazee wa iliyokuwa Jumuia ya africa ya mashariki wanatarajia kuandamana ili kuishinikiza serikali kuwalipa mafao yao.maandamano haya yanategemewa kufanyika tar 23 nov mwaka huu.
Source: clouds fm.
Hivi fedha za kuwalipa zimekwend wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.