cha arusha
Member
- Apr 20, 2012
- 12
- 3
Napongeza juhudi za mh zito na wadau wote (wanaharakati) wa ukombozi, hatimae magamba wametangaza nia ya kutii nguvu ya uma baada ya kusukumwa. Wanaharakati hawana budi kuandamana nchi nzima kwa amani kupongeza mshikamano mkubwa wa wanaharakati kupelekea magamba kutangaza nia ya kuwajibika. Safari bado ni ndefu laki "M'BUYU ULIANZA KAMA MCHICHA"