byembalilwa
JF-Expert Member
- Aug 7, 2012
- 2,034
- 918
hapo mpka kieleweke kwa nin serikali isimwachie huyo shkh wao PONDA ili kuepusha hzi fujo zsizo na tija kwa taifa?
na wakifika sero nao wanyimwe dhamanaWatu wengine bwana kusikia kwao hadi waone mabomu .Polisi chalaza fimbo hao, kamateni wote na muwaweke sero hadi jumatatu watakuwa wamejitambau kwani wamezidi .
Mimi binafsi nnafanya biashara kariakoo tumeshafunga maduka kila mmoja anatafuta ustaarabu wake wa kwenda nyumbani.Hal hii ya fujo za kila mara ikiachwa ikaendelea itadidimiza uchumi wetu pia ukizingatia kariakoo ndio kitovu kikubwa cha biashara nchini.Fujo hazijengi zinabomoa,na fujo hizi ni kati ya waislam wanaotaka kuachiwa kwa shekhPonda.
nasikia kuna waliokufa kwa mujibu radio ya east Africa...
na wakifika sero nao wanyimwe dhamana
mkuu unaposema "polisi imepambana" ina maana maandamano yameisha.?Hali sio nzuri maduka mengi ya wafanyabiashara yamefungwa na kwa sasa ni mabomu ya machozi yanalipuliwa.
Polisi imepambana na watu wanaodaiwa ni waumini wa Kiislam walioandamana maeneo ya Kariakoo kudai dhamana ya Sheikh Issa Ponda
mbona waandamanaji ni wa dini moja? Kuna asiye muislamu kwenye hayo maandamano? Ni udini tu hapo...Hilo si suala la dini.
Ni suala la Ponda kupewa dhamana.Wampe dhamana halafu waone kama kuna mtu ataandamana.Kwani Mandela alpokuwa gerezani na watu walioandamna ili atolewe walikuwa Al-shabaab ? au Waislamu ?
Tunaomba updates
basi jua hao wahuni ndio wengi wanaomiliki biashara hapo kariakoo, kwa hiyo hakuna shida watakuwa wanajiibia wenyewe wewe wala isikuumeHakuna maana mwanaume wa kupambana na kina Marwa, labda uniambie kuna wahuni wanaiba bidhaa za watu na polisi wanawakimbiza, hapo nitaelewa
sasa mbona maandamano yako kariakoo na wakati ilikuwa yatoke misikiti yote kuelekea posta kwa dpp! Maandamano yanaipenda kariakoo aiseee! Kariakoo kunani hapo?nipo maeneo ya kariakoo muda huu, polisi weshaanza kulipua mabomu, kuzuia waislamu wanaotaka kuandamana kushinikiza kuachiwa kwa dhamana sheikh ponda. Kwa hiyo tahadhari kwa watu mnaokuja maeneo ya kariakoo muda huu, muwe waangilifu, maana hali si shwari saana!!