Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,272
- 31,396
dah!hawa watu ni wabishi, si waliambiwa,waache lakini mbona hivyo
Kwa jinsi walivyo mbele kulalama, usishangae ukiwasikia wakisema..... WAKRISTU WANAWAPIGA MABOMU.....
dah!hawa watu ni wabishi, si waliambiwa,waache lakini mbona hivyo
Kwa jinsi walivyo mbele kulalama, usishangae ukiwasikia wakisema..... WAKRISTU WANAWAPIGA MABOMU.....
Watu wengine bwana kusikia kwao hadi waone mabomu .Polisi chalaza fimbo hao, kamateni wote na muwaweke sero hadi jumatatu watakuwa wamejitambau kwani wamezidi .
ungekuwepo ungefaidika na nini? Kupigwa na mabomu? Upate cha kusimulia au?