Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,224
Kwanza Niwashukuru enyi vijana wa BAVICHA maana sasa mmekua na uelewa wa mambo mbalimbali ukilinganisha na hapo awali ambapo mlikua mnachapika kwa ajili ya viongozi wenu. Mfano mzuri ni hii ya hivi karibuni iliyotokea katika gereza la Segerea mliwaacha viongozi wenu wakachapika wenyewe tofauti na hapo mwanzo wao walikua katika V8 zao huku wakiwa wamevaa miwani mikubwa kuficha makengeza yao....
Hata walipopanga kuwa kuna maandamano yamekua yakishindwa hii inaonesha kuimarika kwa fikra za vijana waliokua wanatumika hapo awali ambao kwa sasa wamekataa kuwa watumwa wa wanasiasa.
Mwisho nawaasa hata wakati wa uchaguzi mkuu muwe hivi hivi kwani kwa sasa viongozi wenu wamechangia kukiharibu chama na kukosa mvuto uchaguzi mzuri wa kujipanga ni 2025 Kwa inavyoonekana kwa CHADEMA kuvuna Viti hata 7 vya Ubunge itakua ni mafanikio makubwa kwa mwaka 2020.
Hata walipopanga kuwa kuna maandamano yamekua yakishindwa hii inaonesha kuimarika kwa fikra za vijana waliokua wanatumika hapo awali ambao kwa sasa wamekataa kuwa watumwa wa wanasiasa.
Mwisho nawaasa hata wakati wa uchaguzi mkuu muwe hivi hivi kwani kwa sasa viongozi wenu wamechangia kukiharibu chama na kukosa mvuto uchaguzi mzuri wa kujipanga ni 2025 Kwa inavyoonekana kwa CHADEMA kuvuna Viti hata 7 vya Ubunge itakua ni mafanikio makubwa kwa mwaka 2020.