Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,886
- 939
Sasa mtu kama Tundu Lissu yupo nchini kwake lakini anashinda kutwa nzima anaomba misaada ya kimataifa ije kuiadhibu serikali. Mbaya zaidi watu wengi wamemchunia kama hawamuoni au kumsikiliza, this is Tragedly kwa kweli. Yaani anadhani akitutajia Mahakama ya ICC ndiyo tutaogopaaa.Sasa hivi wamebakia kusubiri matamko mbalimbali, kama chanzo cha faraja kwao..!