Maandamano ya kupinga Wamarekani kuishambulia Libya (Picha)

Mungu ibariki tanzania, mungu mbariki mufti. Si walizuiliwa kuandamana na mufti sasa imekuwaje????
 
Kuna Anti – America demonstration inaendele karibu na International School of Tanganyika mwenye habari na picha kamili atujuze...

Hawa vipi tena? Mbona wanakiuka amri ya mufti kuhusu kuandamana?
 
Unajua haya mambo ya kuandamana, yanahitaji uelewa pia!! Yaani wao wanaandamana kupinga uvamizi wakati walibya wametoka sala ya Ijumaa leo, na kuongeza pressure Al-Qadafi aondoke!!

Duh...
 
Sheikh mkuu Mufti Simba tunaomba utoe tamko, nadhani umewazuia Wafuasi wako wote kufanya maandamano yoyote yenye mlengo wa kisiasa na kuhatarisha amani.
 
Wa-Libya leo wanaswali wamng'oe Gadafi wao wanasema anaonewa. ngoja tuone maombi ya nani yatashinda
 
hao wanajisumbua Libya imeshabomolewa na makombora ya Ulaya na Marekani na siku za Ghaddafi zinahesabika kam Sadam Husein.

mimi nilitarajia umoja wa Afrika na waarabu waseme kitu, lakini waislam wa bongo wanapoteza muda wao
 
nilijua tu watakuwa wanyenyekevu......hawanaga kazi hawa jamaa.......
 
Mufti alishasema no kushiriki katika maandamano, hapo vipi? hahahahahaha! shule muhimu sana!

Alikataza ya chadema tu,na ana sababu zake,mwizi tu huyo,mbona kwenye maandamano ya kuchukua dawa loliondo,hajatukataza,NAJUTA KU........MWISLAMU
 
Nilimsikia jana Kamanda Kova akisema hapata kuwepo maandamano yatakayongozwa na shura ya Maimamu ila walikubaliwa na kufanya mkutano na jeshi la polisi lilisema lingeulinda mkutano wao.

Ukiangalia hicho kinachoitwa shura ya maimamu kimejaa watu mbumbu kuliko maelezo.Hawajui kwamba jumuiya ya nchi za kiarabu tena zenye waIslamu wengi na uchumi Imara kuliko Tanzania zilishamchoka Gaddaf na uongozi wake wa miongo minne.Hawajui raia wa Libya waliingia mitaani kupinga utawala wa Gaddaf na serekali yake.Hawajui kwamba ndani ya muungano wa nchi zinazoipiga Libya zimo baadhi ya nchi za Kiarabu zilizotoa vifaa na fedha ili kumdhibiti Gaddaf.Hawajui kwamba wananchi wa nchi nyingi za kiarabu wamechoka na tawala zisizozingatia demokrasia si Libya tu nchi kama Misri,Tunisia,Baharin na sasa Syria upepo wa mabadiliko umevuma si maandamano ya Shura ya Maimamu wala upuuzi wa baadhi ya watanzania utakaozuia mabadiliko..

Taasisi kama hizi unategemea zitawaletea maendeleo waislam wa Tanzania ?.Jibu ni moja tu kamwe hakuna maendeleo eg shule,hospitals,vyuo vikuu na nk.Jaribu kufanya utafiti wa juu juu utakuta Shura ya maimam hawana shughuli zozote zaidi ya kuteka misikiti na nyumba zilizowekwa wakfu na waIslamu kwa faida ya matumbo ya viongozi.Kazi nyingine kubwa ni kutumiwa na wanasiasa uchwara muflisi kwa faida za kisiasa.
Kumbe ndiyo maana wanamtetea kikwete kwa nguvu zao zote. Kama ulivyosema hapo juu hawa jamaa hawajui their 'NEEDS'. Waislamu wenzao wa nchi za kiarabu wameshatambua kuwa mabadiliko ni lazima lakini makuhadi wa Tz wanashabikia dini tu. It is surprising that even the arab countries support the effort of coallision forces in Libya. Turkey is an islamic country but joined forces with NATO to stop massacring of people done by Gadafi forces. What about Qartar, is not a part of muslim world, Saudi arabia je? UAE? all of whom support the forcefull exit of Gadafi. A change from dictatorship governments is the need that arab/muslim world is crying for. Angalia Sryian uprising, was that instigated by America? were egypt, tunisia, oman, yemen, bahrain, etc uprisings njama za western world. It is only the mad and insane people can do what this 'shura ya maimamu' do, otherwise there is parochial interest in it
 
PICHA: maandamano ya waislamu kinondoni, wakisupport Gaddafi
 

Attachments

  • Picture 007.jpg
    Picture 007.jpg
    260.6 KB · Views: 661
  • Picture 006.jpg
    Picture 006.jpg
    283.4 KB · Views: 628
  • Picture 001.jpg
    Picture 001.jpg
    222.8 KB · Views: 597
  • Picture 005.jpg
    Picture 005.jpg
    303.4 KB · Views: 599
  • Picture 003.jpg
    Picture 003.jpg
    267.6 KB · Views: 582
  • Picture 002.jpg
    Picture 002.jpg
    252.6 KB · Views: 2,086
  • Picture 009.jpg
    Picture 009.jpg
    311.1 KB · Views: 324
  • Picture 008.jpg
    Picture 008.jpg
    297 KB · Views: 67
  • Picture 004.jpg
    Picture 004.jpg
    275.9 KB · Views: 60
Wewe ni mbumbumbu kweli, na udini uliokukaa mpaka unakuwa kipofu basi pole sana, unadhani mimi naweza kuunga mkono mikristo kama ile iliyoweka kambi pale uwanja wa ndege ili waende ulaya bila viza wala tiketi? unadhani mimi naweza kuunga mkono mikristo mipumbavu kama wale waliodanganywa na kibwetele halafu akawapiga moto? no, mimi sio zuzu, kwa hiyo unataka kukataa hakuna majitu mazembe yasiotaka kufanya kazi ambayo kutwa mzima utayakuta yamelala tu msikitini? au kusema mufti ni darasa la saba huo ni udini? wakati ni kweli kiongozi anewaongoza waislamu ni darasa la saba, lakini kuna maprofesa waislamu, na PHD holders wa kumwaga tu, kama wewe ni mfia dini hii ni changamoto kwamba mufti ajaye muhakikishe anapatikana kwa vigenzo vya elimu dunia pia. tuwe wakweli wa nafsi zetu, na kweli itakuweka huru

Mkuu, wewe endelea kutoa matusi JF yako bwana..
 
Back
Top Bottom