Kidzogolae
Senior Member
- Apr 20, 2008
- 133
- 2
wengi tutajitokeza mtaani siku hiyo kama ni kweli. tumechoshwa na ufisadi tz. watu wako tayari kwa lolote. selikali inabidi iwe makini sana. siku hata jiwe tu likanza kurushwa hapa bongo, nakwambia watu watarusha hadi funguo zao, alimradi tu hasira zao zilizojaa mioyoni mwao ziwatoke. tumechoka jamani.